kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Mbona unaogopa!Mataga matokeo ya Arusha yakitangazwa mtabaki mmetoa macho kama mmebanwa na mlango wa Lumumba floor 5.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaogopa!Mataga matokeo ya Arusha yakitangazwa mtabaki mmetoa macho kama mmebanwa na mlango wa Lumumba floor 5.
Naona Mama Kairuki anagombea kule Same.Lema is an old Story in A city ...
Bro alipokuwa kwetu tulimpongeza kwa kazi nzuri, mapato ya halmashauri yalipaa kwa usimamizi bora.Amefanya nini cha maana?
Lazima awapige miti.Lema arudie ile kazi yake ya zamani...hana issue hapa mjini anatuletea njaa tu..halafu mkabila yule mp##zi top layer ya uongozi wa chadema Arusha kawajazana ndugu ...utafikiri hakuna watu wengine...harakati zake apeleke machame
Kwahiyo mkurugenzi amtangaze lema sio?Trust me,Arusha looks interesting to me....
Lema will eat all these pussies for breakfast,lunch and dinner!
Wakati wewe ukiendelea kulalama, majimbo yanazidi kuisha, Katie Nia mkuu, Acha wivuHuyu anapaswa kupigwa sana.pesa zote walizomhonga bado tu hajaridhika?
Lema will rape all of you in the broad day light!Lema is an old Story in A city ...
Wananchi zaidi ya 3,000 wapo nje ya kituo wamenyanyua mapanga juu...Kwahiyo mkurugenzi amtangaze lema sio?
mimi kuwanyoosha mataga sijaanza leo aisee.Mbona unaogopa!
ana kazi sana asee. . . kuna makada kadhaa wenye potential zaidi yake wana-zoom tu kwa mbaliHuyu alifanya kazi nzuri Sana alipokuwa mayor. Kwenye maswala ya maendeleo aliweka itikadi zake pembeni. Anajiamini, Kama akipewa ridhaa na chama chake anaweza kabisa
Wananchi hawa hawa watanzania sio? Afu unajua ukipiga kula unapaswa kukaa mita ngapi majimbo kama hayo yanayo onekana korofi lazima State i deploy troops wakutosha ku curb situation yoyote isiyoelewekaWananchi zaidi ya 3,000 wapo nje ya kituo wamenyanyua mapanga juu...
Mkurugenzi amtaje nani zaidi,kama sio Lema?
Hapo polisi hasaidii wala ,mawe hayupo maana na yeye atakua chini ya uvungu anapambana na hali yake!
MkuuWananchi hawa hawa watanzania sio? Afu unajua ukipiga kula unapaswa kukaa mita ngapi majimbo kama hayo yanayo onekana korofi lazima State i deploy troops wakutosha ku curb situation yoyote isiyoeleweka
Mkuu kwanza asante kwa Correction ila tu iyo deployment itafanyika kwa Majimbo korofi tu kuna sehemu hakuna haja hata mfano Cost zone haina haja ya Ulinzi ivo ila sehemu kama Arusha, mbeya lazima ziwe under watch closelyMkuu
Sio "kula" ni "kura"!
Halafu ukishapiga kura hata kama utataka wananchi wakae kilometer moja bado huna maana ,maana ukitoka hapo ofisini utatembea na barabara kwenda kwako,baada ya 1 km utawakuta wamejaa na mapanga yao
Kuhusu eti una deploy troops,brother huna troops za kutosha ku-deploy nchi nzima,vituo vyote malaki kadhaa ya kupigia kura
Viaskari vyenyewe unavyo 50,000 tu,huna capacity hiyo...na kama vichwani mwenu mnategemea askari polisi mnafeli kabisa....
Majimbo korofi ni yapi?Mkuu kwanza asante kwa Correction ila tu iyo deployment itafanyika kwa Majimbo korofi tu kuna sehemu hakuna haja hata mfano Cost zone haina haja ya Ulinzi ivo ila sehemu kama Arusha, mbeya lazima ziwe under watch closely