Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Muambie huyo mp#mbav# aliyekutuma hizo enzi zimeisha..kipindi kile watu walikuwa wanataka mabadiliko,kwa hiyo hata jiwe lingewekwa enzi hizo za ujinga jiwe lingepita.Hana issue huyu.Wananchi zaidi ya 3,000 wapo nje ya kituo wamenyanyua mapanga juu...
Mkurugenzi amtaje nani zaidi,kama sio Lema?
Hapo polisi hasaidii wala ,mawe hayupo maana na yeye atakua chini ya uvungu anapambana na hali yake!