Aliyekuwa mgombea nafasi ya Uenyekiti BAVICHA: Lissu na Heche walitia doa kampeni za Uchaguzi wa BAVICHA

Aliyekuwa mgombea nafasi ya Uenyekiti BAVICHA: Lissu na Heche walitia doa kampeni za Uchaguzi wa BAVICHA

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Mgombea Uenyekiti BAVICHA Masoud Mambo akifunguka A to Z kilichotokea kwenye Uchaguzi BAVICHA baada ya wakubwa kuingilia kati.



Source: East Africa Radio

My take: Usafi wa Heche na Lissu uko mdomoni tu- ni wachafu kuliko uchafu wenyewe
 
Too late; Mbuzi waendelee tu kukaa zizini; Haimjengi Mbowe hii wala!
 
Kwa hiyo ili kushinda nafasi ni lazima umuunge "mtu" mkono si kwa weledi,sifa, au kueleweka kwa sera zako?
 
Sasa huyu jamaa naye anaongea nn? Mbona haeleweki?
 
Dogo Mwongo,Lissu alikwenda kutoa salamu za ufunguzi wa mkutano na kuondoka,hawa timu Mbowe ndiyo walikuwa wanagawa rushwa chooni,na wameshikwa live wanatafuta namna ya kuupaka matope upande mwingine. Mbowe amefanya dhambi kubwa sana kukigawa chama kwa uroho wake wa kutaka kuendelea kukaa madarakani.
 
Dogo Mwongo,Lissu alikwenda kutoa salamu za ufunguzi wa mkutano na kuondoka,hawa timu Mbowe ndiyo walikuwa wanagawa rushwa chooni,na wameshikwa live wanatafuta namna ya kuupaka matope upande mwingine. Mbowe amefanya dhambi kubwa sana kukigawa chama kwa uroho wake wa kutaka kuendelea kukaa madarakani.
Wewe ndio muongo. Wote waliodaiwa kuwa walikuwa wanagawa rushwa wameeleza vizuri tu kuwa walikuwa wanalipa stahili za wajumbe wa Kanda zao. Lissu ndie ameleta mpasuko kwa kampeni yake iliyojaa uzushi na kuchafuana majina. Uamuzi wa kama Mbowe aendelee sio wa kwake au wa Lissu. Wapiga kura peke yao ndio wana wajibu huo. Kutaka kumnyima haki Mbowe ya kugombea kunaonyesha kabisa kuwa hiyo demokrasia haiko moyoni mwenu.

Amandla...
 
Apambane na hali yake, yeye alishindwa kusoma upepo akamuunga mkono Mbowe.
Atulie, kesho kutwa atakuwa na furaha. Mwenyekiti wa BAVICHA anajifanya kasoma kisheria chake anajiona bonge la msomi, ataliwa kichwa punde akiendelea kumuona lissu kama Mwenyekiti 22/1
 
Wewe ndio muongo. Wote waliodaiwa kuwa walikuwa wanagawa rushwa wameeleza vizuri tu kuwa walikuwa wanalipa stahili za wajumbe wa Kanda zao. Lissu ndie ameleta mpasuko kwa kampeni yake iliyojaa uzushi na kuchafuana majina. Uamuzi wa kama Mbowe aendelee sio wa kwake au wa Lissu. Wapiga kura peke yao ndio wana wajibu huo. Kutaka kumnyima haki Mbowe ya kugombea kunaonyesha kabisa kuwa hiyo demokrasia haiko moyoni mwenu.

Amandla...
Sababu ya hovyo kabisa ,hao wajumbe wa kanda wanalipiwa chooni huoni hata aibu kutetea visivyo teteekea?
 
Wewe ndio muongo. Wote waliodaiwa kuwa walikuwa wanagawa rushwa wameeleza vizuri tu kuwa walikuwa wanalipa stahili za wajumbe wa Kanda zao. Lissu ndie ameleta mpasuko kwa kampeni yake iliyojaa uzushi na kuchafuana majina. Uamuzi wa kama Mbowe aendelee sio wa kwake au wa Lissu. Wapiga kura peke yao ndio wana wajibu huo. Kutaka kumnyima haki Mbowe ya kugombea kunaonyesha kabisa kuwa hiyo demokrasia haiko moyoni mwenu.

Amandla...
Unalipaje posho stahili za wajumbe kificho, tena chooni wakati zoezi la uchaguzi likiendelea?
 
Back
Top Bottom