Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Ushahidi mkuu. Kwa nini wahusika hawakukamatwa na kufikishwa kwa wenye mamlaka? Ni yale ya pesa za Abduli.Unalipaje posho stahili za wajumbe kificho, tena chooni wakati zoezi la uchaguzi likiendelea?
Amandla...