Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #181
Ha ha has mi nimeleta taarifa tuuYan huyu hana tofauti na watawala wa kiafrika.Rais ana jopo la washaur lakin kila wakikutana badala ya wao kumshauri,yeye ndio anawashauri ππππ
Nakubali mzeeWako wanaojielewa(baadhi).halafu mkuu Mungu alipowaumba Hawa hakuumba kila mmoja aolewe..huyo wako anaangukoa kundi Hilo..."manungayembe"
Could be even better!Statute mnara au ghorofa ajitupe kuepusha gharama
Acha kumshauri ujinga huyo anarudi kwa Matatizo siyo kwa Moyo wake kwamba Umejifunza.Msamehe,mlee watoto pamoja,
Msamehe amekiri kosa hivyo hatorudia tena,msamehe.
Atafute mnara au ghorofa ajirushe sio??Mwambie asitumie sumu au kamba ya bei kubwa.Uchumi mgumu huu asituachie madeni.
Anaropoka tuu huyoAcha kumshauri ujinga huyo anarudi kwa Matatizo siyo kwa Moyo wake kwamba Umejifunza.
Ingekuwa vema sana.Muonye Aangalie chini kabla hajajirusha.Asijekuangukia gari au genge la nyanya halafu wanandugu tuhangaike kumlipia marehemu.Umakini uwepo!Atafute mnara au ghorofa ajirushe sio??
Najua niliyoyapitia mkuu siwezi dhulumu maamuzi yanguUkimrudia Imekula Kwako. Hawa Viumbe Ukipata Upenyo wa Kumuacha ..Waache Mazima usirudi Nyuma.
Kuna Jamaa Humu Alileta Story ya Mchepuko wake unavyomsumbua akaupiga Chini maisha Yalivyomchafua huko alikoenda Akarudi kwa Jamaa. Jamaa akajua Amejifunza Ila Kilichompata hakuaminiAnaropoka tuu huyo
Alafu anajingamba kwamba siwezi muacha kwa watu ngoja nimuonesheKuna Jamaa Humu Alileta Story ya Mchepuko wake unavyomsumbua akaupiga Chini maisha Yalivyomchafua huko alikoenda Akarudi kwa Jamaa. Jamaa akajua Amejifunza Ila Kilichompata hakuamini
Sasa Jiangalie Na Wewe. Huyo atakutoa Roho maana Anakuja Kisa Maisha yamempiga
Unaweza kukuta alikuwa ameenda kozi maalum ya kuua.Awe makini.Kuna Jamaa Humu Alileta Story ya Mchepuko wake unavyomsumbua akaupiga Chini maisha Yalivyomchafua huko alikoenda Akarudi kwa Jamaa. Jamaa akajua Amejifunza Ila Kilichompata hakuamini
Sasa Jiangalie Na Wewe. Huyo atakutoa Roho maana Anakuja Kisa Maisha yamempiga
wanaume Tuna Huruma ila Wanawake wana Imani.. usiruhusu Muonane itakuwa weakness pointi yakoAlafu anajingamba kwamba siwezi muacha kwa watu ngoja nimuoneshe
Maamuzi MemaAlafu anajingamba kwamba siwezi muacha kwa watu ngoja nimuoneshe
Ndo mana anaforce saana tuwe tunaona ila nitasimamia nnachokiamini had mwishoMwanaume Tuna Huruma ila Wanawake wana Imani.. usiruhusu Muonane itakuwa weakness pointi yako
Naelewa mkuu sitorizki maisha yangu kiasi ichoAmerudi analiaaa eeee pole yake usirudi nyuma mkuu huyo mwanamke mwisho wa siku atakuja akuuwe