Nimemaanisha possibly huyo mke hakuwa na means ya kuendelea kujipatia income so no way ! Na mume anataka kumnyanyasa kupitia hilo!Si uniache niwe hata muuliziaji hali ya uendeshaji maisha yako
Moto ushajulikana kipi kilikuwa chanzo hivyo hata mtoa mada anaelewa afanye nini na mimi nam support kwa hilounataka kuchoche kuni huku hujui moto utaelekea upande upi?
Nnamaamuzi tayari ndo mana nimetoa ushauri kwa hawa Masada zetuKwakweli
Mambo ya wanandoa Yana changamoto Sana.
Sema Sasa sijaona mahali kama umeandika unahitaji ushaur,pongezi au maoni.
Zaid zaidi naona umewashaur tu hawa dada zetu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimkanya mwisho wake kabla ya mwanzo akanidharauMsamehe,mlee watoto pamoja,
Msamehe amekiri kosa hivyo hatorudia tena,msamehe.
ngoja uambiww wew ndie ulokuwa unammegaMoto ushajulikana kipi kilikuwa chanzo hivyo hata mtoa mada anaelewa afanye nini na mimi nam support kwa hilo
Kwani nnahamu hata na papuchi yake sasa?hakikisha unatumia kondom na kupima kabisa
We ndo unaelewa vizuri akili yakeHuyo ajakir kosa, karudi kwa sababu alikokimbilia mambo yamekuwa magumu hapo anataka ajipumzishe tu kwa kuwa ana pakukimbilia
Msamehe tu usijali,hayo yalishapitaNilimkanya mwisho wake kabla ya mwanzo akanidharau
Angekomaa tuu na fungu alolichaguaKama naweza kuendesha maisha yangu mwenyewe sitakagi kabisa purukushani.....
Nadhani hajasomaUlisoma nyuzi zake za nyuma kuhusu huyo mwanamke ?
Ndio ameshindwa sasa hana namna mpokee tu mlee watoto kama kujifunza ameshajifunzaAngekomaa tuu na fungu alolichagua
Sins kitu kwakeMOYO wako unasemaje sasa?
Nmepita nmeona,DeepPond ushapita hapa?? .lNi muendelezo wa Ndoa na hekaheka zake tu
Hanhanhaa unapoelekea upepounataka kuchoche kuni huku hujui moto utaelekea upande upi?
Huyo wa kutaka kujiua ningemlipia na jeneza zuri la gharama Nampa risiti akawape ndugu zake watalifuata.!!Mabibi na mabwana,
Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu?
Ila za chini chini nasikia jamaa kambwaga baada yakuona mtelezo hamna tena (walitegemea vi sumli vyangu kundesha mapen zyao)
Ofisi niliyomfungulia ikampa jeuri kupata pesa za kuhonga sasa kapigwa notice ya either ahame au alipekodi mara mbili aiseeh Mungu yuko fast a saana. Sasa hajui ataishije mjini hapa.
Yaani hata mwaka hajatimiza kachakaa mbaya...anakazi yakumsema shetani Mara yule hawara kamwaribia maisha na blaa kibao anasema kama nitamkataa bora afe kuliko kushuhudia NAoa mke mwingine.
Chaajabu alishaanza na process za kudai talaka sa sijui ni msaidiaje mammae huyu bitch??? Kwake naona kinyaaaaa, na nipo natafuta na kuchovya chovya mabitch wengine nipate wakuishi nae tusogeze siku maana hawaeleweki hawa.
Note: Madada sijui mademu wa humu JF msicheze na ndoa Mungu analipa fasta siku hizi kama hujui maana ya ndoa usiing'ang'anie na kusumbua mwanaume utabeba laana na mikosi bure.
Purukushani zinaanza unapohitaji dyudyu!!Kama naweza kuendesha maisha yangu mwenyewe sitakagi kabisa purukushani.....
Sema Mimi huwa nahusudu Sana kumsamehe mtu ambae najua kashaenda uko yamemshinda, afu akarudi mikono nyuma (ILA AKIWA SALAMA, Hana ngoma)[emoji4]Ameyazoa yakuyazoa hukoo ameyabeba yakuyabeba sasa yamemshinda sasa anataka Kurudi....ndoa hiziiiiiiii[emoji134][emoji134][emoji134]!!
Kwamba awainue muwe mnakimbia ndoa mkiwa nacho Ila mkiwa Hamna kitu ndio muwatafute wanaume?Nimemaanisha possibly huyo mke hakuwa na means ya kuendelea kujipatia income so no way ! Na mume anataka kumnyanyasa kupitia hilo!
Mungu atusaidie sana na kutuinua wanawake.
Basi nikupongeze kwa Ilo[emoji4]Nnamaamuzi tayari ndo mana nimetoa ushauri kwa hawa Masada zetu