Aliyekuwa mke wangu, analazimisha kunirudia

Vibaya hivo mkuu mpokee tu mwenzio mlee watoto... Kumbuka ameshanyonyesha sana watoto wako Ndiomana chuchu zikalala! Msamehe jamani
Kabla ya kusamehe amkague kwanza marinda, ahakikishe yapo yote 32 lisipungue hata rinda moja.
Mi naamini kabisa yule muhuni aliifuja sana hii chombo ya moto, mpaka akahakikisha imekua scrapper yaani haiuziki labda ikapimwe kama chuma chakavu.
 
Usikubali anataka kurudi si kwamba anakupenda au katambua makosa yake, hapana bali mambo yameenda kombo anawaza aje apate pa kukaa na kula. Asingekuwa kafulia hata asingerudi. Tena kaza nut taraka itoke
 
Kabla ya kusamehe amkague kwanza marinda, ahakikishe yapo yote 32 lisipungue hata rinda moja.
Mi naamini kabisa yule muhuni aliifuja sana hii chombo ya moto, mpaka akahakikisha imekua scrapper yaani haiuziki labda ikapimwe kama chuma chakavu.
Hahaa... Inasikitisha na kuhuzunisha sana
 
Naaaah,,, girls are fuckn brilliant ,,, but kwanini they are fooled and treated weirdly,?? Because using their brain in full potential hawawezi,,!! Sababu ya fashion ya kupenda easy peasy things,, and kukataa reality
Ukweli mchungu!😜
 
Papuchi haina makombo we endeleza walipoishia wenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…