Naaaah,,, girls are fuckn brilliant ,,, but kwanini they are fooled and treated weirdly,?? Because using their brain in full potential hawawezi,,!! Sababu ya fashion ya kupenda easy peasy things,, and kukataa reality
Huo hapo juu👆! Wa girls are mean to be used kwa kupenda mtelemko!Upi?
And they are lazy,,,Huo hapo juu[emoji115]! Wa girls are mean to be used kwa kupenda mtelemko!
Mabibi na mabwana,
Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu?
Ila za chini chini nasikia jamaa kambwaga baada yakuona mtelezo hamna tena (walitegemea vi sumli vyangu kundesha mapenzi yao)
Ofisi niliyomfungulia ikampa jeuri kupata pesa za kuhonga sasa kapigwa notice ya either ahame au alipekodi mara mbili aiseeh Mungu yuko fast a saana. Sasa hajui ataishije mjini hapa.
Yaani hata mwaka hajatimiza kachakaa mbaya anakazi yakumsema shetani Mara yule hawara kamwaribia maisha na blaa kibao anasema kama nitamkataa bora afe kuliko kushuhudia naoa mke mwingine.
Chaajabu alishaanza na process za kudai talaka sa sijui ni msaidiaje? Kwake naona kinyaaaaa, na nipo natafuta na kuchovya chovya mabitch wengine nipate wakuishi nae tusogeze siku maana hawaeleweki hawa.
Note: Madada wa humu JF msicheze na ndoa Mungu analipa fasta siku hizi kama hujui maana ya ndoa usiing'ang'anie na kusumbua mwanaume utabeba laana na mikosi bure.
Kuna wengine Tania ipo kwenye damu . Kwahiyo hawabadiliki hata ikiwajeSema Mimi huwa nahusudu Sana kumsamehe mtu ambae najua kashaenda uko yamemshinda, afu akarudi mikono nyuma (ILA AKIWA SALAMA, Hana ngoma)[emoji4]
Ile moment huwa naifurahia Sana[emoji4]
Afu Kingine,
Huwa naamini mtu uyo anayo nafas kubwa ya kua mtu Bora Zaid maana najua uko alikotoka keshapata darasa tosha la maisha na upendo maana Ake Ni Nini.
Akili yangu inanambia,
Sidhan Kama mtu uyo anaweza rudia Tena Ujinga ule tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee huu ushauri umetoka kuzimu usijaribu hata kuufikiria.Msamehe,mlee watoto pamoja,
Msamehe amekiri kosa hivyo hatorudia tena,msamehe.
Mbwa ni mbwa tu hata umshonee wiving ili afanane na Simba ila dip down ATABAKI MBWA..!!!Msamehe,mlee watoto pamoja,
Msamehe amekiri kosa hivyo hatorudia tena,msamehe.
Angetulia YASINGEMKUTA.Nimemaanisha possibly huyo mke hakuwa na means ya kuendelea kujipatia income so no way ! Na mume anataka kumnyanyasa kupitia hilo!
Mungu atusaidie sana na kutuinua wanawake.
Kabisaa yaani uko sahihi[emoji28]Anatuenjoy TU Mtoa mada,
Afu reymage hiz kesi za wanandoa huwa sio za kuzishabikia Sana pindi wanapogombana na kutangaza wameachana.
Kesho wakija elewana Unaonekana kwamba wee ndo mbaya wao, WANAKUNUNIA WOTE[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mkate wa chuma mkuuBasi kama SI kawaida yako ngoja nikaongee kdg na mahondaw akampe semina elekezi mkeo akupatie namna gani uingie kwenye laini[emoji4]
Huenda akiwa serious kidg wee unalegeza[emoji4]
HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachoongea ndio uhalisia lakini siwezi ilazimisha nafsi yangu yaan nishaamuaMsamehe tu kwa maslahi mapana ya watoto wenu.
Ni kawaida sana wazazi kuachana tena kwa nyodo na kashfa, ila baada ya muda utakuta wanarudiana.
Mara nyingi, Tukio la kuachana kwa wazazi huwa linakujaga kujirudia kwenye maisha ya watoto, nao wanapokuja kuoa/ kuolewa - wanapogombana kidogo tu wanachofikiria ni kuachana. Hivyo msingi wa kuachana kwenu chanzo chake ni maamuzi ya wazazi wenu, au mwanandoa mmoja hakuwahi kulelewa na uwepo wa Baba na Mama kwenye makuzi yake.
Kwano wakati ameemsa kugawa utami huko Nje watoto walikuwa hawaishi vizuri??? Achana nae tena mwambie asijaribu kukutafuta.. Block kila mahaliUnachoongea ndio uhalisia lakini siwezi ilazimisha nafsi yangu yaan nishaamua
Ilinibidi kwakua alikua ashaanza kutumia watoto kunivurugaUkampa muda.wa kuongea naye.kabisa? Una moyo
Ila Mimi nnamsikitikia tuu kitendo cha kurudi kwangu ndo namshangaahii iko pande zote, hata kwa "Ke" ukiachana na mume aliyekuwa anakunyanyasa halafu mambo yake yasiende alivyokuwa anategemea tunafurahia.
Mawazo duni kabisa kwani wangapi wamekua na mzazi mmoja?Mawazo ya wazaz waki Africa
Sitoingusha nafsi yanguUkimrudia siku akipata mwingine na akakolea ataanza na kutoa roho ili usiwe kikwazo na apate urithi wake na watoto ndio utajua hujui.
Rudia tena hiyo ramliUtamrudia huyo naona dalili zoote
So wote lakin...Kuna wengine Tania ipo kwenye damu . Kwahiyo hawabadiliki hata ikiwaje