CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Acha kejeli, wewe huna makosa , jitathimini! Unajuaje kama utafika asubuhi hujafa, huna dhambi usiku huuApumzike anapostahili,Amen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kejeli, wewe huna makosa , jitathimini! Unajuaje kama utafika asubuhi hujafa, huna dhambi usiku huuApumzike anapostahili,Amen
Kama yeye alishindwa kumtambua/kumuomba mungu kwa mema unategemea wewe ndo utasikilizwa na mungu.yeye aliamua kuwa mtu muovu ndo njia aliyoichagua.Nadhani haya siyo maombi mazuri... Maombi mazuri ni yale ya kusema Mungu amsamehe makosa yote aliyofanya duniani na amuweke mahali pema peponi
Kuna jamaa yuko BoT alikuwa anasema hawatakaa wawe na Boss kama huyu...RIP..
....
Bahati ni kuwa mchepuko hauna alama..
Na hawara hana talaka.....
atakumbukwa kwa mengi hasa kwa upendo ule wa kweli wa kuchota huku na kula yeye na wengine kuwapa tena wale jinsia nyingine .akiwahurumia sana mpaka kuwapa magari na vikubwa zaidi.
Mungu atampa stahili yake kwani kaacha kumbukumbu zisizifutika kwa warembo..
Watakuwa Hoi......Director Joan kapata msiba mkubwa Sana yupo huko insta anaelezea Wema wa marehemu kwake. Maimartha sijui ana hali gani sasa.[emoji1] [emoji1] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mbona watu wapana hivi!RiP A Liyumba! Best ya JK ambae walisalitiana mwishoni sababu ya warembo! Pumzika kwa amani!
Watakuwa Hoi......
Hilo neno litadumu kumhubiria nani wakati viumbe vyote vimefutika/vimetoweka ulimwenguni?Kila bonde litajazwa na milima yote itashushwa.
Halitabaki jiwe hata moja ambalo halitabomolewa. Hakuna kidumucho zaidi ya NENO!.
Lakini si kuna ile uwa tunaambiwa kuwa ndugu wa marehemu na pia watu wake wengine wa karibu kama marafiki wanaomtakia mema wanaweza wakawa wanamtolea sadaka nyingi kanisani kwa kadiri wawezavyo ili kumwombea msamaha kwa Muumba na kisha kupunguziwa adhabu yake? Hivi hili jambo linawezekana?Si sahihi kumpangi au kumuamuru Mungu amuweke wapi nani na kwa lipi bali namna nzuri ni kumuacha amuweke panapostahili...sisi tunachoweza kufanya ni kumuomba Mungu amhurumie...
Umenifanya nicheke...Hilo neno litadumu kumhubiria nani wakati viumbe vyote vimefutika/vimetoweka ulimwenguni?
madada wa bongo movie na baadhi ya wa humu jf.. Msiniulize nimejuajeMTU wa watu gani?
Duh, haya bwana, kazi ipo...Kama yeye alishindwa kumtambua/kumuomba mungu kwa mema unategemea wewe ndo utasikilizwa na mungu.yeye aliamua kuwa mtu muovu ndo njia aliyoichagua.
No more maroon Rav 4 ....RIP A.LAma kweli Kila nafsi itaonja mauti.!
pesa sabuni ya roho,Aiseeee! Kweli pesa makaratasi,pole kwa wafiwa