TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa BoT, Amatus Liyumba afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa BoT, Amatus Liyumba afariki dunia

Umunimu wake ilikuwa ni upi huo?

Muumba ampunguzie yote mabaya aliyotenda hapa Duniani?
aliwasaidia sana mabinti wa kike kimaisha..
Nilishawahi kufanya tempo reception niliona huyu mzee alivyokuwa akiwawezesha wadada
 
Kuna jamaa yuko BoT alikuwa anasema hawatakaa wawe na Boss kama huyu...
Sumu kwako kwa mwenzio maziwa...
Hakuwa na roho nzuri kwa wadada wa mujini peke yake...hata kwa subordinates wake alikuwa good boss
Mabosi wengi wapenda totoz uwa wako social sana kwa subordinates wao na pia upenda sana utani utani mwingi. Utani huo pia uwasaidia kuwanasa kirahisi akina dada wazuri wazuri wanaofanya kazi katika taasisi zao.
 
Dah aiseee, nashindwaga kuelewa hawa wezi wa mali za umma.

Mtu una miaka sitini na ushee halafu unachota mabilioni ya walala hoi huku maisha yako hayafiki hata miaka 30 mbele, halafu mbaya zaidi unaishia kutumbua tu na vimwana mjini.

Laana nyingine huwa ni za kujitakia aisee, kaacha laana kubwa sana kwa watoto wake
Huo ndio huwa tuna ita ulafi mkuu na bado wengi wataziacha hizo noti[/QUOTE]
Alisababisha hasara ya 221 bilion lakini akafungwa mwaka moja tu, hela yenyewe akawanunulia warembo magari, jamani kibaya zaidi hakuwapa hata watoto wake hela ya maana bintiye yuko Lindi kwenye gereza kwa tuhuma za kuuza unga, sijui ataruhusiwa kwenda kuzika huyu?
 
Amatus Lyumba afariki dunia ktk hospital ya Agakhan dar alipokua akitibiwa.

Source: itv
 
Huo ndio huwa tuna ita ulafi mkuu na bado wengi wataziwacha hizo noti
Alisababisha hasara ya 221 bilion lakini akafungwa mwaka moja tu, hela yenyewe akawanunulia warembo magari, jamani kibaya zaidi hakuwapa hata watoto wake hela ya maana bintiye yuko Lindi kwenye gereza kwa tuhuma za kuuza unga, sijui ataruhusiwa kwenda kuzika huyu?[/QUOTE]
Hiyo haki kwa tanzania sidhani kama inaweza kutumika ya kumpeleka mfungwa kwenda kuzika
 
Mwanga wa milele umwangazie eeh Bwana raha ya milele umpe amatus liyumba ampumzike kwa aman. .wote tuseme ameni. !
 
Uzuri hajafia ulaya au marekani kama yule mwingine...apumzike tu kwa amani...hakuna mkamilifu
 
Kwanini mnamtagi mpwa Pdidy
Pdidy aliwahi kuanzisha uzi humu mwaka 2008 akimuulizia sana huyu jamaa, na tukamuelezea kwa undani sana, mjadala wake ulikuwa mpana sana, watu walimwaga mboga za hatari miaka hiyo JF ikiwa bado iko moto kwa habari za jikoni.

Nakumbuka watu tuliishia kupewa life BAN miaka hiyo, ikapelekea kutafuta ID nyingine mpya.

Uzi huo huu hapa Amatus Liyumba: Balaa!
 
Back
Top Bottom