Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
Ahaaa! pole zao. Hakuna tena mgao wa magari mekundu.madada wa bongo movie na baadhi ya wa humu jf.. Msiniulize nimejuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaa! pole zao. Hakuna tena mgao wa magari mekundu.madada wa bongo movie na baadhi ya wa humu jf.. Msiniulize nimejuaje
ALIYEKUWA MKURUGENZI NA MTUMISHI WA BENKI KUU BOT , AMATUS LIYUMBA AMEFARIKI DUNIA , MSIBA HUKO NYUMBANI KWAKE TRIPLE SEVEN MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM
Umeamua kujitangaza?watu tuna wake zetu wazuri kuliko wewe endelea kutafuta labda utampata atakaye kubaliana na tabia zako hizo chafuwe unapumuliwaga si bure.
Duh,! noma aisee!Ku flash muda mwingine kunashindikana. Kipindi hiki cha magufuli wataondoka wengi sana coz hawa watu walikuwa wanatumia safari za njee kikazi kwenda kuflash damu
AbeeeeDirector Joan kapata msiba mkubwa Sana yupo huko insta anaelezea Wema wa marehemu kwake. Maimartha sijui ana hali gani sasa.[emoji1] [emoji1] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yesu kristu unasemaaaaRiP A Liyumba! Best ya JK ambae walisalitiana mwishoni sababu ya warembo! Pumzika kwa amani!
Nimekusomaaliwasaidia sana mabinti wa kike kimaisha..
Nilishawahi kufanya tempo reception niliona huyu mzee alivyokuwa akiwawezesha wadada
Hivi kale ka RAV 4 kako bado unako mama?
Pls reply fasta....
Hilo neno litadumu kumhubiria nani wakati viumbe vyote vimefutika/vimetoweka ulimwenguni?
Njia ya kila chenye pumzi,tangulia tuko nyuma yako.View attachment 340060
Aliyekuwa Mkurugenzi na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia, msiba uko nyumbani kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar.
R.I.P
[emoji12] [emoji12] [emoji12] soon Wakati planet x ikitupondaponda
teh teh teh unaogopa kuogopwa??Haaaa usiache watu waanze kuniogopa... kasi ya pm ipungue lol
Gonga hapa kwenye link: tafadhali someni list ya Amatus... - Wa ukweli ndani na nje ya bongo | Facebook
huyu mzee amekufa na laana za watanzania kwa kuwaibia mabilioni ya hela huku akifungwa kifungo laini kisicholingana na kiasi cha fedha za umma alizoiba. anyway, rip liyumba.View attachment 340060
Aliyekuwa Mkurugenzi na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia, msiba uko nyumbani kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar.
R.I.P