tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
source=JF Jukwaa la Siasa.Source pls
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
source=JF Jukwaa la Siasa.Source pls
Ni bora na huyu aliye iba na kugawia mabinti zetu magari kuliko yule msambaza pingu mwenye kuwachezea watoto zetu na kuwahonga Laki moja moja.Huyu jamaa kafariki aliwahi onga mademu kibao Rav 4,apumzike mahali anapostahili.
View attachment 340060
Aliyekuwa Mkurugenzi na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia, msiba uko nyumbani kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar.
R.I.P
teh teh teh unaogopa kuogopwa??
Ina mana Diamond ndo basi tena, kwishney makorokocho brashblakutela ndimanokoni, yesu upo wap jaman, mbona huyu WEMA kaua hivo jaman yeuwiiiiiiiiiiii auwiiiiiiiiiiiiiiiiiie, kelewiiiiiiieMademu wagawa uchi kama WEMA SEPETU walifaidi sana enzi za Liyumba. Anyway, RIP Liyumba
Kama vile kuna wako watakaobaki na wasife. Kila mmoja kwa wakati wakeAfe tu,kwani aliiba hela nyingi mpk kajaza RUMBESA.
itakuwa umrikisa cha kifo chake ni nini ?
Mwanga wa milele umwangazie eeh Bwana raha ya milele umpe amatus liyumba ampumzike kwa aman. .wote tuseme ameni. !
aliwasaidia sana mabinti wa kike kimaisha..
Nilishawahi kufanya tempo reception niliona huyu mzee alivyokuwa akiwawezesha wadada
Taarifa ya postmortem/sababu ya kifo uwa wanapewa wanafamilia.Kawaida mtu akifariki watu wanataka wajue nini kilimsibu mpaka umauti umemfika. Je amefariki baada ya kuugua muda mfupi? Mrefu amefariki ghafla au vipi? Hivi unaweza kupewa taarifa fulani amefariki bils kugusia amefarikije? Naons wengi wanssema RIP kama vile walijua atakufa
Mkuu hata wewe unaweza kuwa mmojawapo wa walioachiwa moto wa milele kwani ,huo moto ulisambazwa kwa waliomo na wasiokuwemo ni mnyororo mrefu,unanikumbusha ile hadithi ya mbuzi aligoma kula kamba,tuombe Mungu na tutubu dhambi,maana huo mduara alioanzisha marehemu si mchezoHuyu Jamaa kawaachia Moto wa Milele watu wengi sana....RIP
Kiuno bila mfupa,wacha nibwie ngadaHuyo mdingi inaonekana alipata gonjwa pasipo kutarajia so ikampa desperation na kuwa na roho ya ukatili ila i guess kuna possibility labda alikuwa anahonga tu magari pasipo kuchimba dawa vizuri. Maana kwa mwanaume +ve halafu awe mfano anachimba vizuri hao wadada aliopita nao wote tungeskia vilio.. But kwenye hiyo list most wanaonekana wame settle tu na wapo vizur kiafya kimuonekano hata kisaikolojia
No offense ... R.I.P A. Liyumba