TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa BoT, Amatus Liyumba afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa BoT, Amatus Liyumba afariki dunia

Mademu wagawa uchi kama WEMA SEPETU walifaidi sana enzi za Liyumba. Anyway, RIP Liyumba
 
daaaahhh,,hata hivo huyu mtu katumbua sana


embu tujalieni japo wasifu wake.
 
Mademu wagawa uchi kama WEMA SEPETU walifaidi sana enzi za Liyumba. Anyway, RIP Liyumba
Ina mana Diamond ndo basi tena, kwishney makorokocho brashblakutela ndimanokoni, yesu upo wap jaman, mbona huyu WEMA kaua hivo jaman yeuwiiiiiiiiiiii auwiiiiiiiiiiiiiiiiiie, kelewiiiiiiie
 
RIP Liyumba. Ngoja nisubili viongozi wetu watamsifia au wataponda?Maana alikua fisadi labda kwa kua amefariki atasafishwa. Yangu masikio.
 
aliwasaidia sana mabinti wa kike kimaisha..
Nilishawahi kufanya tempo reception niliona huyu mzee alivyokuwa akiwawezesha wadada


Na wewe unapaswa 'uhukumiwe' kwa ku-facilitate, au siyo, comrade.
 
Huyo mdingi inaonekana alipata gonjwa pasipo kutarajia so ikampa desperation na kuwa na roho ya ukatili ila i guess kuna possibility labda alikuwa anahonga tu magari pasipo kuchimba dawa vizuri. Maana kwa mwanaume +ve halafu awe mfano anachimba vizuri hao wadada aliopita nao wote tungeskia vilio.. But kwenye hiyo list most wanaonekana wame settle tu na wapo vizur kiafya kimuonekano hata kisaikolojia

No offense ... R.I.P A. Liyumba
 
Kawaida mtu akifariki watu wanataka wajue nini kilimsibu mpaka umauti umemfika. Je amefariki baada ya kuugua muda mfupi? Mrefu amefariki ghafla au vipi? Hivi unaweza kupewa taarifa fulani amefariki bils kugusia amefarikije? Naons wengi wanssema RIP kama vile walijua atakufa
Taarifa ya postmortem/sababu ya kifo uwa wanapewa wanafamilia.
 
Huyu Jamaa kawaachia Moto wa Milele watu wengi sana....RIP
Mkuu hata wewe unaweza kuwa mmojawapo wa walioachiwa moto wa milele kwani ,huo moto ulisambazwa kwa waliomo na wasiokuwemo ni mnyororo mrefu,unanikumbusha ile hadithi ya mbuzi aligoma kula kamba,tuombe Mungu na tutubu dhambi,maana huo mduara alioanzisha marehemu si mchezo
 
Ki
Huyo mdingi inaonekana alipata gonjwa pasipo kutarajia so ikampa desperation na kuwa na roho ya ukatili ila i guess kuna possibility labda alikuwa anahonga tu magari pasipo kuchimba dawa vizuri. Maana kwa mwanaume +ve halafu awe mfano anachimba vizuri hao wadada aliopita nao wote tungeskia vilio.. But kwenye hiyo list most wanaonekana wame settle tu na wapo vizur kiafya kimuonekano hata kisaikolojia

No offense ... R.I.P A. Liyumba
Kiuno bila mfupa,wacha nibwie ngada
 
Back
Top Bottom