Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apumzike kwa amaniView attachment 340060
Aliyekuwa Mkurugenzi na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia, msiba uko nyumbani kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar.
R.I.P
The amount of money thats in your bank acc at the time of death is the extra work you did which was not necessary... #Adolf HitlerDah habari hizi ni za kweli??
Source ya kifo ni nini, au kale kaugonjwa ketu pendwa??
Maana kuna tetesi kuwa alikuwa carrier mzuri tu na kawasambazia wasanii wa bongo movie wa kuotosha, kwa kuwahonga magari mazuri mazuri
R.IP anyway, japo marehemu hasemwi vibaya, ila ufisadi ulioufanya BoT ni mzito mno na umeua wengi sana kwa kukosa madawa hospitalini, haki za wazee wastaafu kukosa mafao yao na mengine kibao, cha ajabu hela zote umeziacha wengine wakizitafuna.
LolAmekufanamachunguusana wajanjawalichukuamalizake wakadaiwanamfilisi akashangaa ziko.mtaan zikiliwa kama alivyokula dadazetu
Rip
Inawezekana upo sawa kabisapengine,sikupata kumwona anaingia kugonga
Eti finally wakat mwenyewe nawe unakwendafinally ......................
r.i.p
source please
Una maneno!Dah habari hizi ni za kweli??
Source ya kifo ni nini, au kale kaugonjwa ketu pendwa??
Maana kuna tetesi kuwa alikuwa carrier mzuri tu na kawasambazia wasanii wa bongo movie wa kuotosha, kwa kuwahonga magari mazuri mazuri
R.IP anyway, japo marehemu hasemwi vibaya, ila ufisadi ulioufanya BoT ni mzito mno na umeua wengi sana kwa kukosa madawa hospitalini, haki za wazee wastaafu kukosa mafao yao na mengine kibao, cha ajabu hela zote umeziacha wengine wakizitafuna.
pdidy,hivi hawa watu maarufu,ARV wanazichukulia wapi kimya kimya?MUNGU ANISAMEHE KAMA NTAKUWANIMKOSEA NAHISI BONGOMOVIE WAMELIA SANASANA
UKIFIKASINZA MAPAMBANO KUNASIKU ENZI ZA UJANA NILIKUWA NAKAMCHEPUKO ...PALE MAPAMBANO KWA MBELE KUNA SEHEMUYAKUUZIA MAFUTA KAMA UNAENDA BGBON..KULIA KWAKE KWA JUU KUNA UKUTA WANJANO PALE N LODGE AINA JINA KABISA ....SIKUHIYO AKAJA MZEE WETU RIP NA MSANII MMOJA WAKAPIGA GAME MPAKA MCHANA....
YULE BINTI BILA HAYA MZEE AKAONDOKA NA KAGARI CHAKE AKAWAITA WASANII WAWILI WAKUBWA TU KWAMDA TOFAUTI NAWAMBIA NILISIKIA MAUMIVU YA TUMBO...AKAJA R..AKAONDOKA BINTI NAHISI ALIKUWA ANAWAMBIA NAOGA KWANXA...AKAJA MWINGINE AKAFANYAKE SHIDAAA...SASA DAH
POLEN SANA KAMA MKOHUMU NDIONJIA ZETU SOTE
Aisee kina P Diddy wa kitambo sana lkn mbona jamaa anaandikaga kiaina !!?Pdidy aliwahi kuanzisha uzi humu mwaka 2008 akimuulizia sana huyu jamaa, na tukamuelezea kwa undani sana, mjadala wake ulikuwa mpana sana, watu walimwaga mboga za hatari miaka hiyo JF ikiwa bado iko moto kwa habari za jikoni.
Nakumbuka watu tuliishia kupewa life BAN miaka hiyo, ikapelekea kutafuta ID nyingine mpya.
Uzi huo huu hapa Amatus Liyumba: Balaa!
Aisee kina P Diddy wa kitambo sana lkn mbona jamaa anaandikaga kiaina !!?