TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Ninaomba tuache habari za uchochezi. Huyu mzee baada ya tangazo la kufukuzwa kazi, iliwekwa bayana kwamba alikuwa ameomba kustaafu kwa ajili ya afya yake. Iweje leo tusingizie watu wameua ikiwa likuwa dhaifu kwa muda mrefu kiasi hata cha kushindwa kufanya kazi?

Ni vyema tukamheshimu Mungu jamani.
Halafu pia, mtu akifanya makosa akaumiza watu au kuharibu hatima zao makusudi kwa jinsi isiyohalali, makosa hayo hayafutwi na kifo kwa sababu kufa kwake hakubadilishi automatically maumivu ya watu aliowatesa na wengine kuwapotezea maisha. Ndiyo sababu Biblia inasema kufa ni mara moja na baada ya kufa ni hukumu. Hakuna toba wala nini baada ya kufa bali matendo ya kila mtu yanamfuata.

Lakini huyu mzee wetu hajawahi kufanya jema lolote katika maisha yake? Katika kipindi hiki, ninaomba turejee ubindamu wote. Tujengemsiba wake katika heshima ya mazishi bora. Kwamba tuache kulaumiana kwa ushabiki wa kukomoana, lakini pia tutafakari kama kuna jema lolote alilowahi kutenda huyu ndugu, na hilo ndilo tulitaje. Ni binadamu huyu.

Maisha yake baada ya hapa sasa yanakuwa chini ya Hukumu ya Mungu kwa ajili ya roho yake, na sheria za nchi kwa ajili ya matumizi ya mamlaka aliyokuwa nayo.

Ninashukuru kwa walionielewa.
Mkuu tabby, angalau wewe ndo great thinker na wengine wachache waliobakia humu. The rest Mungu anajua status zao...
 
wa pili huyu baada ya yule mkurugenz wa shinyanga hapa kaz tu
 
Nadhani sasa bwan mkub JPM atafua sheria na ataach mihemko yake! Ajue wateule nao ni binadam na wana mioyo ya nyama aw na weledi , afuate sheria na tarati na yule Makonda yule ndio mfitini anasemelea kama vile hana busara! Nae nadhani atajirekebisha hatutaki unafiki vyeo tu hivyo! Ipo siku nao watatoka tu hapo!
 
wilson%2Bkabwe.JPG


Ndugu Wilson Kabwe, aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar na baadae kusimamishwa kazi mwanzoni mwa mwezi Mei, amefariki dunia.

Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana, ila tangu awali inadaiwa alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.

=====
UPDATE: Naithibitisha taarifa hii
do!!!!!!!!!!!!!!
 
haya maisha haya..mahoteli yake,,viwanja vyake , nyumba zake zote ameziacha dah,,,tutendeni mema hapa duniani mali, pesa, zote tutaziacha..R.I.P
Very well said !Natamani kila mtu angekua anawaza haya always.
 
Nadhani sasa bwan mkub JPM atafua sheria na ataach mihemko yake! Ajue wateule nao ni binadam na wana mioyo ya nyama aw na weledi , afuate sheria na tarati na yule Makonda yule ndio mfitini anasemelea kama vile hana busara! Nae nadhani atajirekebisha hatutaki unafiki vyeo tu hivyo! Ipo siku nao watatoka tu hapo!
kama ni wezi watumbuliwe tu wakati wanaiba hawakujua kama ni binadamu
 
Ukiwa na nafasi na cheo kama alichokuwa nacho marehemu mzee Kabwe RIP unasahau kwamba kuna vijana kama Makonda ambao wanaweza kukuchukulia hatua ambazo ni "extra ordinary".

Ila Mheshimiwa Makonda ni jasiri sana na akiliweza jiji la Dar basi atafaa kupanda cheo cha juu zaidi huko mbele.
swala si ujasiri swala ni hekima na ndo mana kama umeenda shule lazima ufundishwe jinsi ya kupresent feedback to the people lazima uelewe mtu atajisikiaje.
 
Siku zake za kuishi duniani zimekwisha...hata mimi na wewe siku zetu zitakwisha.Mazuri tuyafanyayo ndiyo yatakayotusaidia huko tuendako.Tumuombe Mungu amsamehe makosa yake na sisi pia.
Kama yeye binafsi hakuomba msamaha kwa makosa yake, Mungu hatamsamehe kwa sisi tuliobaki kumwombea msamaha. Mark that.
 
Bila shaka moyo ulikosa nguvu za kuhimili ile aibu.......nimtumbue au nisimtumbue.......tumbuaaaaa........dah......so sad.......Pumzika kwa amani.
Yani very sad,hakuna aibu mbaya kama ya kuhadhirishwa hadharani,kunavitu kama huamini vitakukuta vinaweza kukuua kwa msongo wa mawazo,nilijifunza kitu katika movie ya 3idiot pale mwanafunzi alipojinyonga kisa mwalimu kumuumbua kwa kile alichokitengeza,msibani kila mtu alikua anamshtmu mwalimu tujifunze,hawa viongozi kama makonda ni jeraha tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom