Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 758
Hata wasiojitambua watamwelewa tu TL, huu utumbuaji usiofuata utaratibu wa sheria za utumishi wa umma utaondoa watu wengi sana.
usipofanya kazi kwa uadilifu utumbuliwe tu na hata ukifa haituhusu..cha msingi tunahitaji mwadilifu