TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Ila naona sisi tunajipa majibu kwamba kifo chake ni kwasababu ya msongo wa mawazo, blood pressure baada kutumbuliwa, mbona huyu kabwe alikuwa yupo vizuri kiuchumi kwa deal tu, mimi naamini muda wake ulifika mauti pia yakamkumba

RIP KWABWE,
 
Watu wengi hasa matraffic police ambao wamezoea kuishi kwa kujipatia kipato kisicho halali hupata shida sana baada ya kustaafu au kutumbuliwa. Wengi hu-succumb to magonjwa presha..
 
Baba sheria ipi bambayo haifatwi au ipi imevunjwa

Nb
Kama hujui mambo ya sheria ni vyema usiyaseme yahusuyo sheria
'Mlimhukumu bila kumsikiliza', na hukumu yenyewe ikatolewa kwa kuuliza watu mkutanoni-nimtumbue au nisimtumbue.....haya tunakusubiri wewe mwanasheria utueleze...
 
Umeambiwa
alikuwa anaumwa kabla hajatumbuliwa

Nimeambiwa na nani mkuu, soma haya maneno kwenye huu uzi...

...Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.

Kuna vitu vingi sana vya kuangaliwa hapo.
 
Wengi wanaoenda kutibiwa India hufa, wengine wakiwa huko huko India na wengine mara baada ya kurudi ndani ya mwaka mmoja. Sijui India wanapata matibabu sahihi au la?
 
Wengi wanaoenda kutibiwa India hufa, wengine wakiwa huko huko India na wengine mara baada ya kurudi ndani ya mwaka mmoja. Sijui India wanapata matibabu sahihi au la?
hizo data umezitoa wapi!!!
 
Your
This shows der s something wrong in other way I can say Wisdom is needed in the way of taking decisions..............
You are right, but also those who embezzle public funds and perform unethically must be wise enough before they decide to commit or omit
 
Aisee!! Maisha ya kuwekeza akili kwenye ajira ni nuksi sana
Huyu jamaa humfahamu vizuri, kawekeza sehem nyingi sana ... Arusha wana hoteli kama paradiso na mwanza ana vitega uchumi .. Mererani wadogo zake wana migodi etc
 
Huyu jamaa humfahamu vizuri, kawekeza sehem nyingi sana ... Arusha wana hoteli kama paradiso na mwanza ana vitega uchumi .. Mererani wadogo zake wana migodi etc
Ooohh kumbe!! Basi kama aliwekeza kwa mungu akale bata huko.
 
Ooohh kumbe!! Basi kama aliwekeza kwa mungu akale bata huko.
Ni msabato. Kumbuka usihukumu ... Anayehukumu sio binadamu.. Unaweza kuhukumu kumbe wewe kifo chako umepangiwa kwenda kufia gesti na mke wa mtu..
 
Ikute Makonda ndo atakuwa frontline kwenye kuaga mara ya mwisho,dah si mchezo.Ila jamani kutumbuliwa hadharani inatakiwa baadae uwaone washauri wa kisaikolojia aisee other wise waweza ondoka kabla ya siku zako
Anayetakiwa kuzingatia masuala ya kisaikolojia na utu wa binadamu ni MTUMBUAJI na siyo MTUMBULIWA. Tukiendelea na style hii ya kudhalilisha viongozi hadharani bila kuzingatia sheria na kanuni za uongozi bora tutapoteza wengi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom