TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Jipu Lilikuwa kubwa Mno.Sasa lilipasuliwa bila kufuata utaalam wa kimatibabu.Hata sindano ya ganzi kulikuwa hakuna.
 
haya maisha haya..mahoteli yake,,viwanja vyake , nyumba zake zote ameziacha dah,,,tutendeni mema hapa duniani mali, pesa, zote tutaziacha..R.I.P

majumba warithi watafanya guest house ili watu wafanyiee zinaa na viwanja watahonga tu
 
Hata wasiojitambua watamwelewa tu TL, huu utumbuaji usiofuata utaratibu wa sheria za utumishi wa umma utaondoa watu wengi sana.

Baba sheria ipi bambayo haifatwi au ipi imevunjwa

Nb
Kama hujui mambo ya sheria ni vyema usiyaseme yahusuyo sheria
 
wilson%2Bkabwe.JPG


Inadaiwa amefariki dunia akiwa nchini India alikokuwa kwa matibabu.

Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.

=====
UPDATE: Naithibitisha taarifa hii
Huyu jamaa alikuwa mgonjwa hata kabla ya kutumbuliwa. Yamkini kutumbuliwa kumechangia kifo, lakini kutotumbuliwa pia sio protective kwenye kifo.
 
Mali na fedha zote tutazihacha.
Binadamu tupo busy kutafuta pesa na mali na kumsahau Muumba wetu.
Mwisho tunazihacha.

Ni funzo kwetu tunaopumua.
 
wilson%2Bkabwe.JPG


Inadaiwa amefariki dunia akiwa nchini India alikokuwa kwa matibabu.

Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.

=====
UPDATE: Naithibitisha taarifa hii
 
wilson%2Bkabwe.JPG


Inadaiwa amefariki dunia akiwa nchini India alikokuwa kwa matibabu.

Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.

=====
UPDATE: Naithibitisha taarifa hii
ALIKUWA MZARENDO,MWADILIFU NA MCHAPAKAZI.RIP!
 
Yawezejana alikuwa mgonjwa lakini siyo kweli kuwa alikuwa mgonjwa kiasi cha kushindwa kufanya kazi. Hata siku alipokuwa anasimamishwa alikuwa kazini. Na waliokuwa naye siku akisimamishwa wanasema alionesha utulivu mkubwa tofauti na walivyotegemea.

Hadithi ndefu hazisaidii lakini kilicho muhimu ni kuwa Kabwe kafariki wakati jina lake likitajwa kila mahali kuanzia magazetini, bungeni mpaka vinywani mwetu tulio wengi. Kilichokuwa kikitamkwa zaidi ni kuwa aliondolewa kazini kwa namna ambayo ni kinyume na kanuni za utumishi.

Wewe ndiye unalazimisha alikuwa mzima. Mimi ninajua alikuwa kaomba likizo ya ugonjwa!. Hadi watu wakasema, wanamsimamishaje mtu aliyeomba kujistafia kwa maradhi?

Kama kutajwa kungelikuwa ni kifo, bila shaka Lowasa tusingekuwa naye leo. Lakini pia tungeungana tulitaja adui kubwa la nchi hii kwa jina life ili tanzania ipone.

Acha kuwa na mawazo mafupi. Kabwe was sick and he was sick kweli. Ni mganga wa kienyeji tu ndiye atasema hakuwa anaumwa ati kafa kwa kutajwa!. Ridiculous!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom