TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Ukiwa na nafasi na cheo kama alichokuwa nacho marehemu mzee Kabwe RIP unasahau kwamba kuna vijana kama Makonda ambao wanaweza kukuchukulia hatua ambazo ni "extra ordinary".

Ila Mheshimiwa Makonda ni jasiri sana na akiliweza jiji la Dar basi atafaa kupanda cheo cha juu zaidi huko mbele.

Ninasikia alikuwa expert wa kucheza na kalamu. R.I.P kila nafsi itaonja mauti.
 
Poleni wote mlioguswa kwa namna moja au nyingine.. Mungu amuweke panapostahili.
 
Unafki mbaya Sana.Malaika wa mwenge watahudhuria nakumwabia mjane"Kabwe was good man".
 
wilson%2Bkabwe.JPG


Inadaiwa amefariki dunia akiwa nchini India alikokuwa kwa matibabu.

Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.

=====
UPDATE: Naithibitisha taarifa hii
wamemtanguliza wabia(ccm) wenzie asijechafua hali ya hewa,ccm no hence hatari
 
Poleni sana familia ya Wilson Kabwe watoto na wajukuu kazi ya Mungu haina makosa.... Ktk vyote ulivyofanya urithi wa Elimu uliowachia wanao ndo nguzo kwao
 
Hichi kifo Makonda na Magu wamechangia kwa asilimia kubwa.
Ni vizuri kuandika vitu unavyovijua. Mzee watu amekuwa mgonjwa for a long time, alihitaji kustaafu kwa sababu ya maradhi kwa muda mrefu, ila hawakumstaafisha.
 
RIP. My former bocy



wilson%2Bkabwe.JPG


Inadaiwa amefariki dunia akiwa nchini India alikokuwa kwa matibabu.

Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.

=====
UPDATE: Naithibitisha taarifa hii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom