Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na nafasi na cheo kama alichokuwa nacho marehemu mzee Kabwe RIP unasahau kwamba kuna vijana kama Makonda ambao wanaweza kukuchukulia hatua ambazo ni "extra ordinary".
Ila Mheshimiwa Makonda ni jasiri sana na akiliweza jiji la Dar basi atafaa kupanda cheo cha juu zaidi huko mbele.
Kwani marehemu alikuwa mtu wa aina gani? Hebu tuambiePoleni sana wafiwa!
Sasa utasikia marehemu alikuwa mtu mnyenyekevu,mpole,mchapakazi, n.k.Sisi binadamu bwana ni viumbe wa ajabu sana!!
Ulikuwepoo???? MxiuMakonda kamuua huyu jamaa hiv hiv
wamemtanguliza wabia(ccm) wenzie asijechafua hali ya hewa,ccm no hence hatari![]()
Inadaiwa amefariki dunia akiwa nchini India alikokuwa kwa matibabu.
Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.
=====
UPDATE: Naithibitisha taarifa hii
Ataenda vizuri na tena kwa huzuni kali, unawachezea wabongoNauliza tu, hivi Makonda ataenda kwenye mazishi ya huyo Mzee?
Na wewe ukiwa mwizi mzee, kuibia fedha za wananchi kiujanja ujanja halmashauri, utafia India.Makonda kamuua huyu jamaa hiv hiv
We unaishi nyumbani kwa kabwe?Mbona hiyo taarifa ya kutumbuliwa ilimkuta nyumbani kwake baada ya kutoka India? Karudi lini India?
[B said:Watanzania wote ni kama NYUMBU, tunafuata matukio na kusahau nini kilitokea jana[/B]
Ni vizuri kuandika vitu unavyovijua. Mzee watu amekuwa mgonjwa for a long time, alihitaji kustaafu kwa sababu ya maradhi kwa muda mrefu, ila hawakumstaafisha.Hichi kifo Makonda na Magu wamechangia kwa asilimia kubwa.
![]()
Inadaiwa amefariki dunia akiwa nchini India alikokuwa kwa matibabu.
Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.
=====
UPDATE: Naithibitisha taarifa hii