Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malipo ya fanana na pressure za luchelele kama sio Uchaguzi."Rais hajatumia busara kutangaza kumsimamisha kazi Kabwe kwenye halaiki ya watu, tena nimesikia anaumwa, vipi akimsababishia mauti?"
(Maneno ya Bi Hellen Kijo-Bisimba)
Malipo ya fanana na pressure za luchelele kama sio Uchaguzi.
Shut up!! Huna haki ya kuhukumuPoleni sana wafiwa!
Sasa utasikia marehemu alikuwa mtu mnyenyekevu,mpole,mchapakazi, n.k.Sisi binadamu bwana ni viumbe wa ajabu sana!!
Labda ututhibitishie kuwa marehemu alikufa kwa ugonjwa wa "Post kutumbuliwa stress disorder"Makondakta kaua.
Makonda akae nyumbani tu atulie..Msibani wanaweza kumpopoa na maweIkute Makonda ndo atakuwa frontline kwenye kuaga mara ya mwisho,dah si mchezo.Ila jamani kutumbuliwa hadharani inatakiwa baadae uwaone washauri wa kisaikolojia aisee other wise waweza ondoka kabla ya siku zako
Hahhahaa wewe subiri tu utasikia[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
umewaza mbali sana mkuru!
Ukiwa na kiongozi mpenda sifa tabu sana aisee"Rais hajatumia busara kutangaza kumsimamisha kazi Kabwe kwenye halaiki ya watu, tena nimesikia anaumwa, vipi akimsababishia mauti?"
(Maneno ya Bi Hellen Kijo-Bisimba)
Siku ikifika hakuna wa kuzuia wala kuichelewesha, wakati mwingine haihitaji hata "sababu" ya kufika ila kwa vile Imefika, basi ndio ishafika, no way out but through Death! Tuache ku speculate if we ain't sure....kikubwa tumuombee Dua kwa Muumba huko aendako "akapumzike"!!
Kwa hiyo kutumbuliwa inaweza kuwa sababu ya kifo chake?
Ikute Makonda ndo atakuwa frontline kwenye kuaga mara ya mwisho,dah si mchezo.Ila jamani kutumbuliwa hadharani inatakiwa baadae uwaone washauri wa kisaikolojia aisee other wise waweza ondoka kabla ya siku zako
wazee chamuhimu tumtakie mapumziko mema. nadhani hata yeye hakufikilia kifo siku za uhaiUchunguzi wake ulifikia wapi
Yaani unatumia hoja mfu kuhararisha wizi wa mali za umma? kwahiyo watu wasipishe uchunguzi kisa watakufa? we lofa sana,nakama ni ndugu yako jua imekula kwako,wanaomwelewa TL Ni wale malofa kama wewe wasio na huruma na %70 ya watanzania masikini,Hata wasiojitambua watamwelewa tu TL, huu utumbuaji usiofuata utaratibu wa sheria za utumishi wa umma utaondoa watu wengi sana.
Pole Sana ndugu. Mzee huyu kwa jeuri na dharau inatosha.Walichotufanyia luchelele kinaudhi sana.
Ninaeneo mita 40x104 lakini hata kiwanja.
wamepima 2010, wakaweka xuio kujenga.
Ok labda niseme tena hat fidia hatujawahi lipwa maana hata thaminisho bado
ha ha ila we jamaa na wasiwasi wewe ndio le mutu.. unajipaisha kwa namna hiyoataenda si huwa ana miwani nyeusi kama ya Lemutuz
huku walevi wanatimuliwa. ...yaani duh!....
.....Huku msiba huku sukari dahh