Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,025
- 2,261
Kwa hiyo mjane hatakubali kushikwa mkono na bwana mkoa?Makonda akae nyumbani tu atulie..Msibani wanaweza kumpopoa na mawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mjane hatakubali kushikwa mkono na bwana mkoa?Makonda akae nyumbani tu atulie..Msibani wanaweza kumpopoa na mawe
mkuu kwa jinsi ulivyoandika ni kama marehemu amekanusha habari wakati tayari ameshafariki.Sio kweli kuwa marehemu aliugua kutokana na shock... Kwa Maelezo yake mwenyewe ni kuwa tangu mwaka jana afya yake haiko sawa na alishaandika barua ya kuomba kustaafu kwa sababu za kiafya.
Tuondoe upotoshaji...
...unasema??....kama tabia yako utarudia tu...,kuku wewe!!Makonda yupi?hakuna kesi hapa nashinda bila wakili.
usibishane naye, anaweza kuwa ndo bwana mkoa mwenyewe...mwombe tu atuwekee hiyo letter humu tuionemkuu kwa jinsi ulivyoandika ni kama marehemu amekanusha habari wakati tayari ameshafariki.
Hajajibu mashtaka yapi? Maneno ya Makonda ndio criminal charge sheet?maweeeeeee mbona kaondoka mapema hivyo hata hajajibu mashtaka ya ile mikataba aliyosaini??i
Kama sio PIRKama kweli RIP
Hajajibu mashtaka yapi? Maneno ya Makonda ndio criminal charge sheet?
Tujifunze kuwapa watu due process of law. Ungempeleka akajitetee angeweza labda kukupa majina makubwa zaidi. RAS is a lightweight kwenye utawala na maamuzi ya jiji. Rais kashtukizwa hadharani na maneno ya Makonda akataka kufurahisha umati kwa kum fire RAS. Mbona kamuacha RC Sadick, alikuwa wapi wakati hii mikataba inapitishwa? Kwa nini AG nae hakuihakiki? Pesa iliyoingiwa mkataba ilikuwa north of the threshold which triggers Attorney General mandatory review. Inakuaje mtu mmoja ajiamulie peke yake kuingia mkataba wa mabilioni bila kufuata sheria? Haiwezekani. Basi angeweza kuuza Uwanja wa Taifa peke yake. Your problem here is bigger than just one individual.
RC Makonda alisema hawezi kufanya kazi na Mr Kabwe, itashangaza wengi endapo ataudhuria msibani. Kwani utampendaje mtu baada ya kufariki? Huo utakuwa unafiki mkubwa sana.
we hizo tetesi umezipatia wapi? hebu funguka vzr
RipNi breaking news siyo retesi. Read between the lines and pay attention to detail. Hata hivyo apumzike kwa amani.
![]()
Inadaiwa amefariki dunia akiwa nchini India alikokuwa kwa matibabu.
Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.
=====
UPDATE: Naithibitisha taarifa hii
Watu Msiunganishe, Kama amefariki atakuwa alikuwa ni Mgonjwa.Du,jamani usiombe kabisa kutumbuliwa kukute,RIP Mkurungezi mtumbuliwa
Binadamu hatupendi kuambiwa ukweli.Shut up!! Huna haki ya kuhukumu
Mkuu mbona umeniibia wazo aseee, so itabd ipi iwe hot hapo maana zote za moto si unajua tunaendeshwa na matukioLabda jamaa alijua mapema akaamua kubalance stori kwa kumtumbua mzee wa Lugumi Kitwanga ili asubuhi watu wahamishe stori toka msiba na madhara ya utumbuaji hadharani kwenda kwa Kitwanga....