Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Huyu mpare wahome wangu kafa dah!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....Poleni sana wafiwa!
Sasa utasikia marehemu alikuwa mtu mnyenyekevu,mpole,mchapakazi, n.k.Sisi binadamu bwana ni viumbe wa ajabu sana!!
Basi ujue mwanadamu si kitu, mthamini sana binadamu mwenzako, Na si Mali.haya maisha haya..mahoteli yake,,viwanja vyake , nyumba zake zote ameziacha dah,,,tutendeni mema hapa duniani mali, pesa, zote tutaziacha..R.I.P
Makonda kamuua huyu jamaa hiv hiv
worry not mkuu dunia sio mahali pa kujivunia so wakati fulani kukumbuka kua ipo isiku hutakuepo duniani ni vizuri mkuu.Mkuu, this is too conditional!
[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Presha ya kutumbuliwa hiyo. Ngoja tuone atakavyosifiwa. Utasikia "MAREHEMU ALIKUWA MCHAPA KAZI MWAMINIFU KWA UMMA NK".....R.I.P
Utu uzima dawa."Rais hajatumia busara kutangaza kumsimamisha kazi Kabwe kwenye halaiki ya watu, tena nimesikia anaumwa, vipi akimsababishia mauti?"
(Maneno ya Bi Hellen Kijo-Bisimba)
"Rais hajatumia busara kutangaza kumsimamisha kazi Kabwe kwenye halaiki ya watu, tena nimesikia anaumwa, vipi akimsababishia mauti?"
(Maneno ya Bi Hellen Kijo-Bisimba)
Bisimba naye ni Jipu.Utu uzima dawa.
Napata shida ya nini ndugu? Hiyo sentensi 'change is real' inahusiana nini na taarifa za msiba?Ndugu unapata shida sana, you'll never be right.. Change is real
We nawe ni jipu...P.I.R
Mungu awafariji ninyi mliofurahia huzuni yake......Mungu aipumzishe roho yake kwa Amani na awafariji wafiwa wote kwa msiba huu mzito. AMINA