Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tena atakua wa kwanza kiti cha mbele na mawani nyeusiiiiiNauliza tu, hivi Makonda ataenda kwenye mazishi ya huyo Mzee?
apumike kwa amani itokanayo na matendo yakeee aliyo ishi hapa dunianiHabari mbaya sana hii, apumzike kwa amani.
Ndugu unapata shida sana, you'll never be right.. Change is realMbona hiyo taarifa ya kutumbuliwa ilimkuta nyumbani kwake baada ya kutoka India? Karudi lini India?
Pole sana ndugu....
.....Huku msiba huku sukari dahh
Watu hatuaminiani mbona? Hawezi kutoa kitu public ilhali hana ukweli.....
.....Mkuu Msome INFOMA sikuzote
Makonda kaua.
Mkuu, this is too conditional!apumike kwa amani itokanayo na matendo yakeee aliyo ishi hapa duniani