Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
....Hata usipokuwa navyo kudanja palepale heri yake alikuwa navyo.Inalillahi wainailaihi rajiun.
...kule waziri chapombe yani ni tabu tupu....
.....Huku msiba huku sukari dahh
Mkuu angalia kauli hiyo, kuna alimwita mshikaji flani bwege mpaka sasa Yuko mahakamaniMakonda kaua.
ataenda si huwa ana miwani nyeusi kama ya LemutuzNauliza tu, hivi Makonda ataenda kwenye mazishi ya huyo Mzee?
Makonda yupi?hakuna kesi hapa nashinda bila wakili.Mkuu angalia kauli hiyo, kuna alimwita mshikaji flani bwege mpaka sasa Yuko mahakamani