Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
- #121
Watanzania kujifanya wataalamu kwenye kila kitu na kutukana watalaam ndio kinachoigarimu hii nchiNi kanjanja kweli, nilitaka kuandika hivyo pia nikamuhurumia tu, amekariri tu sheria wakati mambo hubadilika kulingana na makubaliano ya pande mbili kimkataba.
Mtu sio mwanasheria ila unakuta anamtukana mwanasheria mwenye CV kubwa aliyeaminika na TFF hadi kufanywa mkurugenzi Mkuu wa sheria