Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sheria TFF amaliza utata: Asema Fei Toto amekosea, mkataba hauvunjwi kienyeji vile

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sheria TFF amaliza utata: Asema Fei Toto amekosea, mkataba hauvunjwi kienyeji vile

Mtu kama ameajiriwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na chombo kikubwa kama TFF hiyo inakupa ujumbe gani kuhusu uelewa wake wa masuala ya sheria? Huyo sio layman
Ha ha ha ha kuajiriwa kwake TFF ndio kunakutisha ndugu, vipi mawakili wa serikali au DPP huwa hawashindwi kesi mahakamani. Tena hao wamechaguliwa kwa vipengele vya ubora wa juu, lakini nao hukutana na walio Bora zaidi yao.
 
Hata mimi najiuliza kwa hiyo Yanga wanataka waambiwe na Fei kuwa mimi navunja mkataba baina yetu kwa mujibu wa makubaliano then Yanga wakatae kivipi sasa watakataa wakati mtu kaamua kuvunja mkataba?
Ni hisia tu zinawasumbua viongozi wa Yanga na mashabiki wao, naona wanamtega Fei ili akikubali kukaa nao chini wamtongoze upya abadili mawazo ya kuondoka, lakini kimsingi hawana hoja yoyote ya maana kwenye hili.
 
Hivi Azam imeshasema lolote? Kama azam haijasema imemsajili tayari huyo ni wa kumpuuza.
 
Hizo sheria na taratibu zilikuwepo kwenye vipengele walivyo saini Fei Toto na Yanga SC?

Haiwezekani nyie wenyewe mmempa mchezaji uhuru wa kuvunja mkataba atakapoweka pesa, halafu amewawekea pesa mnagoma kuipokea, inamaana mlikuwa hamjui mnachofanya wakati wa kusaini mkataba.
Bro unachekesha sana. Hivi unajua mahakamani watu huwa wanashindaje kesi?

Yan hapo Yanga aliposhikilia ndio utaona mambo yanavyokwenda. Ndio maana wenye uelewa wameshasema ni kheri wakae chini wamalizane kwa sababu washaelewa wapi haya mambo yanakwenda. Dogo na washauri wake warudi Jangwani na Salamander waombe radhi halafu mazungumzo yaendelee ataishia pabaya huyo
 
Du hata picha huoni.

Feisal anao mkataba hai hadi May 2024. Hivyo sio free agent ni mali ya Yanga.

Pili Feisal au Yanga wanayo haki ya kuvunja mkataba. Na utaratibu wa kuvunja ni lazima mdaliane na kufikia muafaka wa kuvunja.

Tatu, timu yeyote inaweza kumnunua mchazaji yeyote ikiwa timu hiyo itafikia makubaliano na timu inayommiliki mchezaji huyo. Kwa mchezaji ambaye mkataba wake umeisha(bado timu inawajibika kutoa taarifa ya nia ya kumchukua)

Mchezaji anayetaka kuvunja mkataba lazima wakubaliane pande zote mbili(fuatilia Ronaldo na Man United hivi karibuni). Klabu yake ikishatangaza wazi wamevunja mkataba na mchezaji baada ya mashauriano. Kama hakukua na timu iliyomuhitaji kabla ya kuvunja mkataba basi mchezaji atahesabika kuwa yupo huru. Lakini bado timu itakayomtaka italazimika kutoa taarifa kwa timu yake ya zamani.

Dogo Feisal anatamani kupata mshiko mkubwa ila uelewa mdogo wa maswala ya mkataba.
Azamu wanamtaka kwa hudi na uvumba na wamemchanganya kwa kutumia nguvu ya hela pasipo kufuata taratibu na sheria

Yanga bado wanamhitaji Feisal lakini pia wapo tayari kumuuza ila sio kwa 112.0m maana Feisal ni mtaji mkubwa.

Solution
Feisal akae na yanga wakubaliane kuvunja mkataba.

Azamu wakubaliane na Yanga kiasi wanachotaka kumnunua Feisal. Hapo transfer zitafanyikapasipo na kelele.
Umenena vyema kabisa, uwewa , tamaa ya ela alizowekewa.mezani, pamoja na kudnganywa na hawa washabiki wa pembeni. Mbaya zaidi kakimbilia kwenye media kujaribu kuhalalisha alichokifanya, kumbe anazidi kufanya makosa.
Siamini kama Azam hawajui sheria za usajili au ni ignorance tu.
Mpaka hapo ikibainika tu kuwa kweli Azam imengia nao mkataba azabu watakayopewa na FIFA wanaijua.
 
Bro unachekesha sana. Hivi unajua mahakamani watu huwa wanashindaje kesi?

Yan hapo Yanga aliposhikilia ndio utaona mambo yanavyokwenda. Ndio maana wenye uelewa wameshasema ni kheri wakae chini wamalizane kwa sababu washaelewa wapi haya mambo yanakwenda. Dogo na washauri wake warudi Jangwani na Salamander waombe radhi halafu mazungumzo yaendelee ataishia pabaya huyo
Kumbe watu huwa wanashindwa kesi mahakamani kwa kufuata masharti ya vipengele vya kimkataba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tapping up
Ni jaribio la kumshawishi mchezaji aliyepewa kandarasi ya timu moja kuhamia timu nyingine, bila ufahamu au ruhusa ya timu ya sasa ya mchezaji huyo.
Sheria za usajili za FIFA zinakataza sana hicho kitu. Kama timu iliyofanya hivyo itapelekwa kwa pilato itakumbana na azabu kali.
 
Hivi ile clause ya kuvunja mkataba wa kazi kwa masaa 24 kwenye mpira haipo?
Hicho kipengele cha masaa 24 ndo ukiandika barua na kuweka mshahara wa miezi mitatu unakuwa tayari umeacha kazi? Hivi kumbe walipofaulu 26 pekee ilikuwa sahihi?
 
Alikuwa mkurugenzi wa sheria mbona ni wasiwasi sana

Jambo dogo tu hapo hajui hayo mengine aliwezaje sijui.
Huyu mkurugenzi wa sheria asiyejua sheria anashangaza, unasema vipi suala la mkataba ni la kukaa pamoja walimalize wakati kuna kipengele kwenye mkataba kilimruhusu mchezaji kuvunja mkataba kama akiweka kiasi fulani cha pesa kwenye akaunti ya klabu?

Zaidi, anaposema mchezaji anapovunja mkataba hakai peke yake, lazima akae na klabu yake, napo anakosea, akumbuke pande zote kwenye mkataba kisheria huwa zipo sawa, hapa asilete ukubwa wa klabu akadhani ndio advantage kwa Yanga SC, hapa Yanga SC walijichanganya wenyewe kuweka kipengele kilichowabana kwenye mkataba.

Pia, klabu inayomhitaji mchezaji sio lazima iandike barua ikimhitaji mchezaji husika, kuna.mazingira yanayolazimisha kufanya hivyo hasa ikiwa mchezaji bado ana mkataba na timu yake, na mkataba wake unambana kwenda timu nyingine bila makubaliano ya timu mbili.

Lakini kwa Fei Toto hali haiko hivyo, yeye habanwi na mkataba kwasababu ameshatimiza takwa la kimkataba lililomtaka anunue sehemu ya mkataba wake kama akitaka kuondoka akiwa huru, huyu mwanasheria anaonekana mchanga halafu amekariri mambo ya usajili, hajui kutofautisha mazingira.
 
Huna hoja za msingi na kinachowauma ni Yanga kuendelea kuongoza ligi na ndio maana mnatetea ujinga kwa hoja nyepesi.
Yaaani wewe una uwezo mdogo sana wa kuelewa mambo tena mambo yote sio mpira tu

Mambo ya sheria unaleta upinzani wa jadi hilo suala la mkataba ni wapi ulisikia linamuhusu SIMBA hadi uiingize SIMBA

TULIZA KICHWA AKILI IKAE VIZURI.
 
Una akili mbovu nani amedhulumiwa? Kama anaona mil 4 ni ndogo kwanini alikubali kusaini mkataba?
Wachezaji wetu shule imewapitisha kushoto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji41][emoji39][emoji28]
 
Mechi miezi minne imepangwa ichezwe saa 11 jioni,siku ya mechi timu ipo kwenye basi inaelekea uwanjani unaleta taarifa mechi saa 12 sijui saa 1,yanga siyo timu ya ndondo,haichezi bonanza,kilichofanya muda ipelekwe mbele unakijua Hadi Leo!?..Sheria inasemaje kuhusu kubadili muda!?
Kama ni sheria ilikiukwa na TFF na kwamba Yanga mlikuwa na haki imekuwaje tena yule yule failure aliyeshindwa kutafsiri sheria tumchukulie serious kwenye ishu hii ya Feisal?
 
Ni prove kweni nabishana na mtu hapa
Mi nimesema huyo aloleta alete na kipande Cha chini yake maana hicho ni kipande kidogo sana alicholeta.
Basi nalazimika kuamini na wewe unaongea maneno matupu.Ungekuwa na uhakika na hicho kipengele kuwa kipo ungekiweka hapa.
 
Kumbe watu huwa wanashindwa kesi mahakamani kwa kufuata masharti ya vipengele vya kimkataba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yan unachonishangaza wewe umeshikilia upande mmoja tu. Amefuata masharti ya mkataba lakini hajafuata taratibu za FIFA hivi vitu lazima viende pamoja huwezi tu kuamka na kupindisha pindisha
 
Tapping up
Ni jaribio la kumshawishi mchezaji aliyepewa kandarasi ya timu moja kuhamia timu nyingine, bila ufahamu au ruhusa ya timu ya sasa ya mchezaji huyo.
Sheria za usajili za FIFA zinakataza sana hicho kitu. Kama timu iliyofanya hivyo itapelekwa kwa pilato itakumbana na azabu kali.
Hiki ndicho ambacho wengi humu hawaelewi. Wanakaza fuvu tu
 
Utaratibu wa kufuatwa ni Fei kuweka pesa zote Yanga SC walizohitaji kimkataba, sharti ambalo Fei alilitimiza, kama unalo sharti jingine ambalo lipo kimkataba Fei hakulitimiz weka hapa tulione.

Kulazimisha Fei akaongee na Yanga Sc, ikiwa tayari ameshafanya kile mkataba unachotaka ni sawa na kumshusha wakati pande zote kimkataba zipo sawa kisheria.

Huwezi kusema Fei amevunja masharti ya mkataba kwa kukiuka jambo ambalo halikuwepo ndani ya mkataba baina yao, Yanga wapokee pesa waache malumbano.
Kwamba ajiwekee tu hela kimya kimya na kuondoka !
 
Kama ni sheria ilikiukwa na TFF na kwamba Yanga mlikuwa na haki imekuwaje tena yule yule failure aliyeshindwa kutafsiri sheria tumchukulie serious kwenye ishu hii ya Feisal?
Ndiye aliyeakhirisha mechi!?
 
Back
Top Bottom