Lazima watu wakuambie ukweli maana mko hapa kumwombea mabaya Makonda! Lakini kwa taarifa yenu anapesana maisha makubwa ambayo nyi nyi na koo zenu hamnayo!tafuta Mali wajukuu wapende kuishi Kwa Babu ukizeeka ,kuendelea kufuatilia ya watu yatakuangukia unapataje muda kujus makonda kafungua hiki na kile.
Hivi huu ujinga kumbe unatoka kwako! Yaani akili zako ni za kuvukia bara bara tu! Yaani?kijana siasa za upinzani anazimudu ccm wameona mbali
MmmmHii ni habari mpya kabisa kijana mchapakazi Paul Makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa Shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kuna maridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejua jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.
Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Watu wana anza kupowa machungu lakini kwa uroho wenu wa Madaraka mnatukumbusha tena huyu Maliyamungu killing machine ya Idd Amin wa Chato?Hii ni habari mpya kabisa kijana mchapakazi Paul Makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa Shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kuna maridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejua jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.
Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Jinai haifi. Kuna siku lazima atasimama kizimbani.Nyie wote mnaomshutumu makonda ana damu za watu... sijui kaua watu.... sijui kateka watu... sijui kamteka MO... sijui kafanya hivi... sijui Vile...
Mna ushahidi wa mnayoyasema?! Kama kweli shutuma hizo anazo vyombo vya kwenda kushitaki si mnavijua?! Andaeni ushahidi nendeni mkamshitaki msilete unafiki hapa! Kwani wao hawamuoni?! Mbona wanamuacha?! Watu wanataka EVIDENCE!
Hao wauza unga, labda walikuwa washirika wake. Mbona hatukuwaona mahakamani? Unaweza kuorodhesha majina ya hao wauza unga ambao walikamatwa na kupatikana na hatia?Afadhali jambazi anayekupiga risasi unakufa mwenyewe kuliko muuza unga anayeharibu vijana wa taifa letu milele.
Hii ndio mida ya watchmen kupostTafuta Hela angalia hata mida tuna post tuko busy mkuu holiday na vacation zimeisha sisi sio waandishi wa habari kukaa kwenye keyboard , narudia kufuatilia yasiyokuhusu ni kujitengenezea uzee utakaokuwa mzigo kwa watoto wako na wajukuu , pambana tafuta Hela.
Ukiwa primitive utafanya kwa namna unayosema. Lakini kwa kiongozi wa watu ni lazima ufanye kwa kuangalia matarajio ya unaiwaongoza maana mamlaka ya mwisho ni ya kwako.Naunga Mkono hoja Ateuliwe Akafanye Maendeleo Shy Town!
MUNGU hasimami na wafanya Visasi…Kisasi ni Cha MUNGU kama kipo!
Ndio Maana Nilikuwa Nampenda Magu…
Akitaka Kufanya Jambo haangalii Usoni eti nani atasema nini,Naani atamuudhi akiamua kufanya anafanya tuu Over…
Siyo asahau kwa muda bali kwa uchafu alioufanya, asahau maisha yake yote. Na atakuwa na bahati sana kama atabakia kama alivyo, kuna siku yaja huyu muuaji na mtekaji atakokotwa na pingu mkononi.Kama kinana ni makamu mwenyekiti na Chongolo ni katibu mkuu basi uyo jamaa asahau kwa muda kuwa mkuu wa mkoa
Endelea kupiga kelele, haziwezi kubadilisha kitu.Rais hajali upuuzi wenu! MSIJIDANGANYE [emoji2]
Anaweza kumteua yeyote amtakae mwenye vigezo anavyovitaka yeye na Cabinet yake... ni swala la muda. Mbona mtoto mdogo wa miaka chini ya 18 kalamba teuzi juzi?! Chuki hizo dhidi ya makonda mnazo nyie sio Rais. ni swala la muda, riziki na maamuzi yake tu. Kama wanaongea kwenye simu, barua pepe au wanatumiana ujumbe (SMS) nyie mnajua?!
Tufike mahali tuache kujazana ujinga. Makonda hakufanya hayo! Kama alifanya pelekeni ushahidi uliokamilika mahali husika na uwe tayari kukutana na lolote mambo yakiwashinda na kuwageuka.
Hakuna kinachodumu milele, ukombozi unakaribia.Ikiwa ni kweli huenda kuna Mtu kwa Makusudi anataka na anapenda Kudharaulika na Watanzania Wote.
Katika uovu wote ambao mwanadamu anaweza kufanya, mauaji ndio uovu wa juu kabisa.Wakati akiwa DC Kinondoni jamaa alikuwa yuko vizuri sana. Alipiga kazi hatari. Hakuwa na tatizo. Ushenzi aliuanza akiwa RC. Mwendazake alimharibu huyu kijana. Namshauri ahamie CHADEMA hata kwa mwaka mmoja ili wamsafishe kabla ya 2025 arudi CCM. Kama walimsafisha Lowassa basi kwa Makonda itakuwa kazi ndogo sana.
Unampaisha tu ila hana lolote huyokijana siasa za upinzani anazimudu ccm wameona mbali
Kweli wewe ni mnyarwandaHii ni habari mpya kabisa kijana mchapakazi Paul Makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa Shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kuna maridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejua jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.
Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Uwezo wako ni mdogo sana kwenye kufikiria. Fisadi ni mtu katili kuliko unavyofikiria.Katika uovu wote ambao mwanadamu anaweza kufanya, mauaji ndio uovu wa juu kabisa.
Mh. Lowasa hakuwahi kuua mtu, wala kumteka au kudhulumu. Huwezi kumweka kwenye kapu moja na hilo juha lenye damu za watu.
Kwa uhakika, japo Rais Samia hajachukua hatua dhidi ya mtu huyo mwovu, lakini kwa hakika hawezi kufanya kosa la kumteua hata kwenye nafasi ndogo kabisa.