Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

tafuta Mali wajukuu wapende kuishi Kwa Babu ukizeeka ,kuendelea kufuatilia ya watu yatakuangukia unapataje muda kujus makonda kafungua hiki na kile.
Lazima watu wakuambie ukweli maana mko hapa kumwombea mabaya Makonda! Lakini kwa taarifa yenu anapesana maisha makubwa ambayo nyi nyi na koo zenu hamnayo!
 
Hii ni habari mpya kabisa kijana mchapakazi Paul Makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa Shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kuna maridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejua jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Mmmm
 
Hii ni habari mpya kabisa kijana mchapakazi Paul Makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa Shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kuna maridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejua jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Watu wana anza kupowa machungu lakini kwa uroho wenu wa Madaraka mnatukumbusha tena huyu Maliyamungu killing machine ya Idd Amin wa Chato?

Makonda anachostahili ni kuwa jela au kunyongwa tu na si vinginevyo.
 
Nyie wote mnaomshutumu makonda ana damu za watu... sijui kaua watu.... sijui kateka watu... sijui kamteka MO... sijui kafanya hivi... sijui Vile...


Mna ushahidi wa mnayoyasema?! Kama kweli shutuma hizo anazo vyombo vya kwenda kushitaki si mnavijua?! Andaeni ushahidi nendeni mkamshitaki msilete unafiki hapa! Kwani wao hawamuoni?! Mbona wanamuacha?! Watu wanataka EVIDENCE!
Jinai haifi. Kuna siku lazima atasimama kizimbani.

Kwa sasa kumsimamisha Makonda kizimbani kwa mauaji na utekaji, ni kumsimamisha marehemu kizimbani. Kufanya hivyo, kwa utawala wa sasa inahitaji ujasiri wa pekee. Lakini wakati utafika tu.
 
Afadhali jambazi anayekupiga risasi unakufa mwenyewe kuliko muuza unga anayeharibu vijana wa taifa letu milele.
Hao wauza unga, labda walikuwa washirika wake. Mbona hatukuwaona mahakamani? Unaweza kuorodhesha majina ya hao wauza unga ambao walikamatwa na kupatikana na hatia?

Ule ulikuwa ni usanii uliolenga kujipatia pesa kwa blackmailing au kweli kulikuwa na waovu?
 
Tafuta Hela angalia hata mida tuna post tuko busy mkuu holiday na vacation zimeisha sisi sio waandishi wa habari kukaa kwenye keyboard , narudia kufuatilia yasiyokuhusu ni kujitengenezea uzee utakaokuwa mzigo kwa watoto wako na wajukuu , pambana tafuta Hela.
Hii ndio mida ya watchmen kupost
 
Naunga Mkono hoja Ateuliwe Akafanye Maendeleo Shy Town!
MUNGU hasimami na wafanya Visasi…Kisasi ni Cha MUNGU kama kipo!
Ndio Maana Nilikuwa Nampenda Magu…
Akitaka Kufanya Jambo haangalii Usoni eti nani atasema nini,Naani atamuudhi akiamua kufanya anafanya tuu Over…
Ukiwa primitive utafanya kwa namna unayosema. Lakini kwa kiongozi wa watu ni lazima ufanye kwa kuangalia matarajio ya unaiwaongoza maana mamlaka ya mwisho ni ya kwako.

Kufanya unavyotaka wewe, yaani ukitaka kuua, kuteka au kupoteza watu uwe sawa, usiwe kiongozi, ukaufanye huo uchafu kwenye familia yako, nako utafuatwa na sheria.

Tulikuwa na watu primitive sana awamu ya 5. Awamu ya 5 itabakia kwenye historia kama awamu ya uongozi wa kishetani na kijuha kuliko utawala wowote uliowahi kutokea.

Tunamwomba Mungu wetu wa rehema na haki, azidi kuwalaani wote waliondesha mauaji na dhuluma na mawakala wao dhidi ya watu wasio na hatia.
 
Rais hajali upuuzi wenu! MSIJIDANGANYE [emoji2]

Anaweza kumteua yeyote amtakae mwenye vigezo anavyovitaka yeye na Cabinet yake... ni swala la muda. Mbona mtoto mdogo wa miaka chini ya 18 kalamba teuzi juzi?! Chuki hizo dhidi ya makonda mnazo nyie sio Rais. ni swala la muda, riziki na maamuzi yake tu. Kama wanaongea kwenye simu, barua pepe au wanatumiana ujumbe (SMS) nyie mnajua?!

Tufike mahali tuache kujazana ujinga. Makonda hakufanya hayo! Kama alifanya pelekeni ushahidi uliokamilika mahali husika na uwe tayari kukutana na lolote mambo yakiwashinda na kuwageuka.
Endelea kupiga kelele, haziwezi kubadilisha kitu.

Muuaji ataendelea kuwa muuji hata kama hajafikishwa mahakamani. Jinai haifi. Ukiwa mwovu, Mtawala anaweza kukulinda kwa muda ambao yupo madarakani, lakini huna garentii ya kulindwa wakati wote wa maisha yako.
 
Wakati akiwa DC Kinondoni jamaa alikuwa yuko vizuri sana. Alipiga kazi hatari. Hakuwa na tatizo. Ushenzi aliuanza akiwa RC. Mwendazake alimharibu huyu kijana. Namshauri ahamie CHADEMA hata kwa mwaka mmoja ili wamsafishe kabla ya 2025 arudi CCM. Kama walimsafisha Lowassa basi kwa Makonda itakuwa kazi ndogo sana.
Katika uovu wote ambao mwanadamu anaweza kufanya, mauaji ndio uovu wa juu kabisa.

Mh. Lowasa hakuwahi kuua mtu, wala kumteka au kudhulumu. Huwezi kumweka kwenye kapu moja na hilo juha lenye damu za watu.

Japo Rais Samia hajachukua hatua dhidi ya mtu huyo mwovu, lakini kwa hakika hawezi kufanya kosa la kumteua hata kwenye nafasi ndogo kabisa.

Huyo anatakiwa kutoka mbele za watu, kuyatubu aliyoyatenda.
 
Kwani wanaostahili teuzi ni wale wale jamani kuna vijana wapo vizuri tu na ni wachapa kazi? Ndo maana watu wanataka upinzani nao watawale nchi sio kwamba watatuneemesha sisi raia au kutuletea maendeleo la hasha watu wanataka kubadili pattern ya ndugu na jamaa wataokuwa kwenye system ya utawala. Sio kila siku ma mtu yale yale yanahama wizara.
 
Ikawe kheri kwake.ana kipaji chake binafs cha mobilisation.
 
Hii ni habari mpya kabisa kijana mchapakazi Paul Makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa Shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kuna maridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejua jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Kweli wewe ni mnyarwanda
 
Kama nikweli nitadharau sana usalama wa taifa milele!
Huyu mtu alitakiwa kuwa jela moja na sabaya sema kuna mkubwa mmoja anamkingia kifua kwa sababu zake binasfi!
 
Katika uovu wote ambao mwanadamu anaweza kufanya, mauaji ndio uovu wa juu kabisa.

Mh. Lowasa hakuwahi kuua mtu, wala kumteka au kudhulumu. Huwezi kumweka kwenye kapu moja na hilo juha lenye damu za watu.

Kwa uhakika, japo Rais Samia hajachukua hatua dhidi ya mtu huyo mwovu, lakini kwa hakika hawezi kufanya kosa la kumteua hata kwenye nafasi ndogo kabisa.
Uwezo wako ni mdogo sana kwenye kufikiria. Fisadi ni mtu katili kuliko unavyofikiria.
 
Back
Top Bottom