Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

Hakika hizi ni habari njema haswa kama huyo Bwana amekuwa nje ya ajira kwa kipindi chote hicho bila shaka hizi ni habari za matumaini kwake na familia.

Basi na akawe mchapa kazi ili anayempa ajira aone kuwa hajakosea.

Naunga Mkono hoja Ateuliwe Akafanye Maendeleo Shy Town!
MUNGU hasimami na wafanya Visasi…Kisasi ni Cha MUNGU kama kipo!
Ndio Maana Nilikuwa Nampenda Magu…
Akitaka Kufanya Jambo haangalii Usoni eti nani atasema nini,Naani atamuudhi akiamua kufanya anafanya tuu Over…
 
Huu ndiyo ukweli!!
 
Majibu mengine hamna zaidi ya hili
Unataka kujitia wewe mtoto wa kikwete au unatoka familia ya Kikwete?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Fala wewe! Hebu kajifunze Forex huko au kawe dalali upate hela usogeze maisha yako acha Ukalagabaho
 
Unataka kujitia wewe mtoto wa kikwete au unatoka familia ya Kikwete?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Fala wewe! Hebu kajifunze Forex huko au kawe dalali upate hela usogeze maisha yako acha Ukalagabaho
Ha ha ha ha unanichimba sijachimbika, mkwere yupo mmoja tu Tanzania.
 
Sawa Chawa wa Paulo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…