Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini, Komanya Kitwala ahukumiwa kulipa fidia ya Tsh. milioni 80

Alikuwa anaiga mbinu za kina Mbowe za kumkataa hakimu akijua atachomoka🤣🤣
 
Aaah kufa hata wewe utakufa.

Ila fisadi walikuwa wanalala hoi.
Kufa ni lazima kwa kila mwanadamu ila kuna kifo ambacho kikitokea huwa ni furaha kwa jamii mfano Putin akifa leo Ukraine watafurahi sana na vita vitaisha hapo hapo na havitaendelea tena pia Warusi wengi watapumua na kuendelea na shughuli zao kama kawaida.
 
Mafisadi na walamba asali wanafurahi ee?
 
Wapi katajwa kwenye hiyo hukumu?
Anatajwa kwa mema au maovu!!??
Umechelewa uzi umeshabadilishwa.. mara ya kwanza ulisoma mteule wa JPM,..Sasa umekuwa DC.

Taja vyote vyote..as long aligombea hawezi kosa mpinzani na wa kumuunga mkono..

Wengi wanamtaja kwa mema.
 
Ni muhimu kesi kama hizi akaunganishwa mwajiri. Mshitakiwa anaweza kuwa hana uwezo wa kulipa.
Hii itafanya pia mwajiri awe makini kuajiri watu wenye akili nzuri na busara katika kufanya maamuzi.
 
Duh, jamaa mbona alikua mtu WA hovyo
Alipataje hicho cheo mjinga huyu
Wakati ule maharamia, katili na wadhulumaji walikuwa ndio wanaotakiwa, na walijipachika majina ya wazalendo wa Taifa kama vile Taifa linalenga kuwa Taifa dhulumati.

Na walikuwa wengi. Niliwahi kushuhudia DC akitoa amri mtu aliyeuliza swali kukamatwa na kuwekwa ndani, na pale pale akawekwa ndani. Kosa lake ni kwa nini ameuliza swali.
 
MaDC wa Jiwe wameanza kuonja joto ya jiwe. Mahakama ya Hakimu Mkazi Tabora yatoa amri alipe milioni 80. Hizi Hela walipe wenyewe, sio serikali, serikali huwa haiwajibiki kwa mtu anayefanya jambo nje ya maelekezo ya kisheriaView attachment 2463696
Na akishindwa kulipa, mali zake zipigwe mnada, na yeye akawekwe huko alikokuwa anawaweka asiowataka.
 
Nimebahatika kuwa kwenye domitory Moja na katibu mkuu na viranja mkuu

Ni Kweli kunawakat tulizozana Sana [emoji38] ila tulikuja kuelewana mnk nilikuwa sitaki maonevu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
isije ikawa dc alikuwa anatafuna mke wa jamaa
 
Huyu jamaa Komanya namkumbuka alisoma sheria pale UDSM na alikuwa kama siyo hakimu basi mwanasheria wa serikali. Mara kwa mara nilikuwa namuona pale mahakama ya Kinondoni. Mbona alikuwaga poa alimsaidia mwanangu asiende kulala lupango, nn kilimkumba huko kwenye madaraka
 
Huyu mpumbavu naye amefungua kesi dhidi ya AG kupinga kustaafishwa kwa manufaa ya umma. Anataka aendelee na ajira yake ya zamani ya PSSSF
 
Alikuwa mshenzi sana huyu Komanya Kitwala
 

Jamaa alilewa sifa sanaaa akawa mshenz kifo cha Mwendazake kinamuumbua
 
Alisha lipa hiyo fidia?
Kuna mwingine alikua Korogwe, alishindwa kazi kabisa Sasa hivi analia Lia kwenye media. Pumbavu kabisa.
Badala ya kucheza na vitukuu, yeye anawalaumu watu walipokua chini yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…