Alikuwa anaiga mbinu za kina Mbowe za kumkataa hakimu akijua atachomoka🤣🤣Katika utetezi wake mbele ya Hakimu Katto huku akiongozwa na wakili wa kujitegemea, Issa Mavulla, Komanya alidai kuwa amefunguliwa shauri hilo kwa nia ya kumkomoa na kumkomesha.Katto alikuwa Hakimu wa tatu kusikiliza shauri hilo ambalo awali lilianza kusikilizwa na Hakimu Sigwa Nzige, lakini mdaiwa alimkataa na kubadilishiwa mwingine
Akitajwa tu mashetani wanaongeza kuni huko aliko ili azidi kuungua.Ila JPM buana. Ataishi sana huyu jamaa, japo amekufa ila ataishi sanaaa. Siku haiishi bila kutajwa.
Aaah kufa hata wewe utakufa.Akitajwa tu mashetani wanaongeza kuni huko aliko ili azidi kuungua.
Kufa ni lazima kwa kila mwanadamu ila kuna kifo ambacho kikitokea huwa ni furaha kwa jamii mfano Putin akifa leo Ukraine watafurahi sana na vita vitaisha hapo hapo na havitaendelea tena pia Warusi wengi watapumua na kuendelea na shughuli zao kama kawaida.Aaah kufa hata wewe utakufa.
Ila fisadi walikuwa wanalala hoi.
Mafisadi na walamba asali wanafurahi ee?Kufa ni lazima kwa kila mwanadamu ila kuna kifo ambacho kikitokea huwa ni furaha kwa jamii mfano Putin akifa leo Ukraine watafurahi sana na vita vitaisha hapo hapo na havitaendelea tena pia Warusi wengi watapumua na kuendelea na shughuli zao kama kawaida.
Kwa hiyo Ukraine ni mafisadi.Mafisadi na walamba asali wanafurahi ee?
Wapi katajwa kwenye hiyo hukumu?Ila JPM buana. Ataishi sana huyu jamaa, japo amekufa ila ataishi sanaaa. Siku haiishi bila kutajwa.
Umechelewa uzi umeshabadilishwa.. mara ya kwanza ulisoma mteule wa JPM,..Sasa umekuwa DC.Wapi katajwa kwenye hiyo hukumu?
Anatajwa kwa mema au maovu!!??
Wakati ule maharamia, katili na wadhulumaji walikuwa ndio wanaotakiwa, na walijipachika majina ya wazalendo wa Taifa kama vile Taifa linalenga kuwa Taifa dhulumati.Duh, jamaa mbona alikua mtu WA hovyo
Alipataje hicho cheo mjinga huyu
Na akishindwa kulipa, mali zake zipigwe mnada, na yeye akawekwe huko alikokuwa anawaweka asiowataka.MaDC wa Jiwe wameanza kuonja joto ya jiwe. Mahakama ya Hakimu Mkazi Tabora yatoa amri alipe milioni 80. Hizi Hela walipe wenyewe, sio serikali, serikali huwa haiwajibiki kwa mtu anayefanya jambo nje ya maelekezo ya kisheriaView attachment 2463696
Nimebahatika kuwa kwenye domitory Moja na katibu mkuu na viranja mkuuUmenikumbusha enzi hizo Vijana walikuwa watukutu balaa lakini Viranja Wakuu walikuwa miungu watu.
Yani wanafunzi mnahangaika na mauji shuleni lakini wao wanapata chai yao spesho wakiwa pamoja na Walimu.
Kimbembe sasa uingie kwenye 18 za Kiranja Mkuu ndipo utapoita maji mma.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
isije ikawa dc alikuwa anatafuna mke wa jamaaMahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemhukumu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini, Komanya Kitwala kumlipa fidia ya shilingi milioni 80 Alexander Ntonge mkazi wa kata ya Ipuli Tabora mjini, baada ya kupatikana na hatia katika mashitaka aliyofunguliwa ya kuwaamuru Askari Polisi kumkamata Ntonge na kumdhalilisha isivyo halali.
Akisoma hukumu hiyo katika shauri la madai namba 4 la mwaka 2021, Hakimu Mkazi, Jovith Kato alisema, mahakama imepitia ushahidi wa pande zote mbili na kujiridhisha kwamba Komanya Kitwala alitenda kosa hilo Januari 5 mwaka 2020, na hivyo mahakama imemuhukumu kulipa shilingi milioni 80 badala ya shilingi milion 140 ambazo mlalamikaji alidai kulipwa kutokana na makosa ya udhalilishaji.
Awali, wakili wa mlalamikaji, Kelvin Kayaga aliiambia mahakama kuwa, Komanya Kitwala alikwenda nyumbani kwa mlalamikaji akiwa na Askari Polisi ambao aliwaamuru kumkamata na kumtesa, kisha kumuweka ndani katika Kituo Kikubwa cha Polisi Tabora mjini bila kuwa na kosa lolote, ambapo baadaye aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora kwa wakati huo, ACP Safia Jongo aliagiza mlalamikaji Alexander Ntonge kuachiliwa huru kwa madai kulikuwa hakuna kosa lolote alilofanya.
Alikuwa mshenzi sana huyu Komanya KitwalaWajinga hao huyu kenge mi nilishafanya nae kazi akanidhulumu na hela yangu ni mpumbavu ,mjinga alipata nafasi ya kushauriwa akashupaza shingo.
Imagine alishamweka ndani muuza chips kisa kamcheleshea kumuhudumia, alishawasweka ndani jamaa kisa birthday hizo ni case chache tu.
Anavuna alichokipanda.
Kasumbua sana watu fikiria mtu anakuja ofisini halafu anadai ana hamu ya kugombana na watu na anagombana nao kweli na anawalaza kwenye ubaridi.Alikuwa mshenzi sana huyu Komanya Kitwala
mabaki ya takatakaMabaki ya mwendazake
Huyu jamaa Komanya namkumbuka alisoma sheria pale UDSM na alikuwa kama siyo hakimu basi mwanasheria wa serikali. Mara kwa mara nilikuwa namuona pale mahakama ya Kinondoni. Mbona alikuwaga poa alimsaidia mwanangu asiende kulala lupango, nn kilimkumba huko kwenye madaraka