Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MNEC CCM Jumaa: Hebu salimia kichama kwanza kwani wewe askari wa nani, Chadema?Mojawapo ni video inayosambaa kwa kasi katika mitandao kuanzia juzi ikimuonyesha mjumbe wa NEC ya CCM Mkoa wa Pwani, Haji Abuu Jumaa akimshurutisha ofisa wa Polisi ambaye jina lake halikujukana mara moja kutoa salaam ya kichama nayo.
Hahahahaha.... Wewe mwenzanguUlikuwa unazama uswekeni kula mbege, asubuhi unamalizia na katizi
mmiliki unamfahamu lakiniMajembe Auction Mart Waende Kusimamia Hukumu DC Amlipe Chap Millions 80
Sio poa... Yaani HP alikuwa km mwalimu vile... Ana uwezo wa kukuchapa viboko...Umenikumbusha enzi hizo Vijana walikuwa watukutu balaa lakini Viranja Wakuu walikuwa miungu watu.
Yani wanafunzi mnahangaika na mauji shuleni lakini wao wanapata chai yao spesho wakiwa pamoja na Walimu.
Kimbembe sasa uingie kwenye 18 za Kiranja Mkuu ndipo utapoita maji mma.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Siku form four wanamaliza, walimsaka ndugu Komanya wakamuweka mtu Kati.. Kichapo alichochezea nilijua atajifunza... Lakini tabu tuliipata sisi tuliokuwa madarasa ya chini baada ya wale form four kuondoka.. Jamaa ndio asili yake uonevuKumbe ni hulka ya tangu utotoni.
Alidhalilisha mtu kwa kiburi
DC kulipa milioni 80/- kwa udhalilishaji
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora, imemhukumu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Erick Kitwala, kumlipa, Alexunder Ntonge Sh. Milioni 80 kwa kumdhalilisha mbele ya familia yake.www.ippmedia.com
Amehukumiwa.Kwa hiyo?
Inatuhusu nini sisi?Amehukumiwa.
Kamaikuhusu umepost kwa nini?Inatuhusu nini sisi?
Usimpangie.Endelea kumpenda JPM.
Nini siku, miaka na miaka ili iwe funzo kwa kizazi kijacho kuwa wasije ruhusu tena kuwa na Rais kutoka Sukuma gang tena.Ila JPM buana. Ataishi sana huyu jamaa, japo amekufa ila ataishi sanaaa. Siku haiishi bila kutajwa.
Uvccm wa zamani. Ndip hawa wameongoza kwa kutukana na kutisha watu hapa humu JFsKatika shauri hilo la madai namba 4 la mwaka 2022, mdai alitaka alipwe Sh. milioni 80 kutokana na kuzuiwa uhuru wake, Sh. milioni 30 kutokana na tendo la kukamatwa na kushtakiwa kwa nia ovu na Sh. milioni 30 kwa kudhalilishwa utu wake.Ntonge kupitia kwa wakili wake, Kelvin Kayaga, alidai kuwa siku hiyo, Komanya akiwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora akiwa ameambatana na askari polisi, walifika nyumbani kwa mdai eneo la Ipuli na kumkamata na kisha kumdhalilisha.
Kwa sababu MaDC wana uwezo wa kuamrisha mapolisi basi ni full kutesa watuAlipe haraka iwezekanavyo, ili iwe pia funzo kwa wapenda sifa wenzake.