Aliyekuwa Mrakibu wa Polisi, Kinondoni akata rufaa dhidi ya hukumu yake ya kunyongwa hadi kufa

Afe na yeye aone uchungu kama ni muhusika
 
Mrakibu ni nani? Je ni sawa na Mratibu?
Poleni familia za marehemu.
 
Kwa nini rufaa imekatwa awamu hii ya tano baada ya mda mrefu sana toka hukumu?
Huenda tangazo la polisi kutoshtakiwa kwa awamu hii likamuokoa mhalifu na muuji kisa ni polisi. Kwa sasa hivi inaonekana sheria haiwahusu polisi
Hata hukumu (ya Rufaa) ilitolewa awamu ya tano lakini rufaa yenyewe ilikatwa awamu ya nne.
 
Anyongwe tu mpaka afe hakuna jinsi,Litakuwa ni fundisho kwa watu wangine wenye tamaa kama hao.
 
Mrakibu ni nani? Je ni sawa na Mratibu?
Poleni familia za marehemu.
Mrakimu ni superintendent of polisi. Hii ni ngazi ya tano kwa maafisa wa polisi.
1. Assistant inspector of police
2. Inspector of police
3. Senior inspector of police
4. Assistant superintendent of police
5. SUPERINTENDENT OF POLICE
Ni ngazi kubwa. Hua anasimamia wilaya au kituo kama Urafiki. Mabatini. Oysterbay na police post za sehemu sugu kama Kigogo na Kwa aziz ally
 
Mh hiyo kesi ilisikitisha sana kwanza mashahidi walikua wengi mpaka wakapunguzwa kwa sababu ushahidi wengine ulikua unafanana cha ajabu Zombe hakupatikana na hatia...ila police wengine walioachiwa kwa kesi hiyo nao walitangulia mbele ya haki hata yule Mwanamke pekee pia alishafariki...
 
Your out of your mind.ngonja cku moja mtoto ako achinjwe then ndio utajua umuhimu wa adhabu kama hii. Keep in your mind kuwa, adhabu inapotolewa inakuwa ni fundisho kwa wengine.think twice we mwanamke.useless!
 
Katika hii kesi kuna dogo mmoja polisi ambae alikufa katika mazingira ya kutatanisha. Alieleza ukweli kabla hajafia gerezani. Dogo mmoja mchagga nasahau jina. Naona nafsi na imani yake ya kidini vilikua vinamsuta
Itakuwa walimuua kupoteza ushahidi , hizi kesi hizi zina mambo.
 
walikufa na nini? ila kwenye hii kesi nasikiaga kuna mmoja alikuwa au alitaka kusema ukweli nasikia huyu walimuwahishaga mapemaaaaa ili baadhi watoke sijui hapo kuna ukweli au
Sijahusisha na kesi ila walikufa tuu Mkuu baada ya kutoka na kusahau kabisa kuhusu kesi ,huyo alitaka kusema ukweli nadhani alifia jela na yeye ndio ilikua inambana upande wake na huyo Bagenda kwa hiyo ili wengi watoke ilibidi apotezwe na kumuangukia huyo Bagenda....damu ni nzito Mkuu ilihuzunisha sana mpaka dereva wa taxi wa Sinza alipotezwa na hawa wezi na hapo ndipo Wananchi walipiga kelele kuwa sio Jambazi huyo dereva kuja kufatilia Wananchi walikotoka jamaa wakatoa taarifa walikuja Dar kuuza Madini mziki ukaanzia hapo mpaka redio call zao zilirekodiwa walivyokua wanatoa maelekezo ya jinsi cha kufanya...aisee watu wanatumia kodi zetu kukaba na kuua iliniumiza sana...
 
Utendaji wa haki natamani uendelee kuwa hivyo ili kudhibiti mauaji ya kiholela holela.
Hata hivyo ni soma kubwa sana kwa wenye masikio ya kusikia na wasikie na kujifunza. Maisha ni mzunguko na siyo mstari ulionyooka.
 
Akata rufaa kuwa ameonewa ( hakuhusika) kuwapiga risasi wafanyabiashara wa madini wasiokuwa na hatia au anakata rufaa kuwa adhabu ya kifo ni kubwa sana kwake?[emoji41][emoji1787][emoji113][emoji119]
 
Your out of your mind.ngonja cku moja mtoto ako achinjwe then ndio utajua umuhimu wa adhabu kama hii. Keep in your mind kuwa, adhabu inapotolewa inakuwa ni fundisho kwa wengine.think twice we mwanamke.useless!
thanks,mimi sio mke,haya ni opinions zangu ambazo ni haki yangu na next time play the ball sio mtu,maamuzi ya kihasira kama haya inaonekana maambukizi yameshaanza kukupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…