Aliyekuwa Mrakibu wa Polisi, Kinondoni akata rufaa dhidi ya hukumu yake ya kunyongwa hadi kufa

Aliyekuwa Mrakibu wa Polisi, Kinondoni akata rufaa dhidi ya hukumu yake ya kunyongwa hadi kufa

Naomba ni-declare interest kwamba niliwahi kufanya kazi Jeshi la Polisi tena Kikosi hicho hicho cha kupambana na majambazi na mpaka naacha kazi nilikuwa hapo hapo Oysterbay,na askari wote waliokumbwa na kesi ninawafahamu maana nilifanya nao kazi,hukumu ya Jaji Kipenka ya kuwaachia huru watuhumiwa wote ilikuwa sahihi maana askari aliyewafyatulia wale marehemu hakuwahi kukamatwa mpaka leo!! wengine wote walirudisha silaha zao Armory zikiwa na risasi kamili kama walivyochukua isipokuwa huyo mmoja,ndio maana Jaji Kipenka wakati anawaachia huru watuhumiwa alisema kabisa "MLETENI MTUHUMIWA ALIYEUA MAANA YEYE NDIE ALIRUDISHA SILAHA IKIWA HAINA RISASI"kwa hiyo naamini hili Jopo la Majaji wa Mahakamani ya Rufaa nitamuachia huru Christopher Bageni maana hakufyatua risasi hata moja kuua marehemu
 
Kaniulia ndugu yangu..hahhaa..ningekuwa marehem na mm au jela..!mambo ni live bila chenga .yaan ningeua kwa mkono wangu..
Kama amekata rufaa ina maana hakubaliani na hukumu aliyopewa inawezekana hakua na hatia au ushahidi uliotumika kumtia hatiani una walakini (hakubaliani nao) mfano umuue mtu kama huyu huoni utakuwa umetenda kosa hilo hilo (mauaji) kwa mtu ambae kuna uwezekano hakua na hatia? Hicho kitakuwa kisasi au dhulma?
 
Naomba ni-declare interest kwamba niliwahi kufanya kazi Jeshi la Polisi tena Kikosi hicho hicho cha kupambana na majambazi na mpaka naacha kazi nilikuwa hapo hapo Oysterbay,na askari wote waliokumbwa na kesi ninawafahamu maana nilifanya nao kazi,hukumu ya Jaji Kipenka ya kuwaachia huru watuhumiwa wote ilikuwa sahihi maana askari aliyewafyatulia wale marehemu hakuwahi kukamatwa mpaka leo!! wengine wote walirudisha silaha zao Armory zikiwa na risasi kamili kama walivyochukua isipokuwa huyo mmoja,ndio maana Jaji Kipenka wakati anawaachia huru watuhumiwa alisema kabisa "MLETENI MTUHUMIWA ALIYEUA MAANA YEYE NDIE ALIRUDISHA SILAHA IKIWA HAINA RISASI"kwa hiyo naamini hili Jopo la Majaji wa Mahakamani ya Rufaa nitamuachia huru Christopher Bageni maana hakufyatua risasi hata moja kuua marehemu



Sasa kwanini wasimpeleke??

Bdw Kwanini askari polis mnaua ua watu km njiwa unavyompiga manati??akili zenu wap zina shida nyie watu nyie??

mara mtulipue mibomu..shukuruni mtaa naoishi hakuna askari walah ningelala na m1 mbele...ningemtega akategeka..angekunywa sumu bila kupenda shenzy typ
 
Kama amekata rufaa ina maana hakubaliani na hukumu aliyopewa inawezekana hakua na hatia au ushahidi uliotumika kumtia hatiani una walakini (hakubaliani nao) mfano umuue mtu kama huyu huoni utakuwa umetenda kosa hilo hilo (mauaji) kwa mtu ambae kuna uwezekano hakua na hatia? Hicho kitakuwa kisasi au dhulma?



Kisasi
 
Naomba ni-declare interest kwamba niliwahi kufanya kazi Jeshi la Polisi tena Kikosi hicho hicho cha kupambana na majambazi na mpaka naacha kazi nilikuwa hapo hapo Oysterbay,na askari wote waliokumbwa na kesi ninawafahamu maana nilifanya nao kazi,hukumu ya Jaji Kipenka ya kuwaachia huru watuhumiwa wote ilikuwa sahihi maana askari aliyewafyatulia wale marehemu hakuwahi kukamatwa mpaka leo!! wengine wote walirudisha silaha zao Armory zikiwa na risasi kamili kama walivyochukua isipokuwa huyo mmoja,ndio maana Jaji Kipenka wakati anawaachia huru watuhumiwa alisema kabisa "MLETENI MTUHUMIWA ALIYEUA MAANA YEYE NDIE ALIRUDISHA SILAHA IKIWA HAINA RISASI"kwa hiyo naamini hili Jopo la Majaji wa Mahakamani ya Rufaa nitamuachia huru Christopher Bageni maana hakufyatua risasi hata moja kuua marehemu
Umeandika askari aliyefyetua risasi hakuwahi kukamatwa,umeandika tena walirudisha silaha zikiwa na risasi kamili isipokuwa mmoja ambaye ndio aliyetiwa hatina na umemaliza kusema hakufyatua risasi hata moja mbona kama hueleweki? Kama hakufyetua hata moja je risasi zake zilienda wapi na alirudisha pungufu?
 
Umeandika askari aliyefyetua risasi hakuwahi kukamatwa,umeandika tena walirudisha silaha zikiwa na risasi kamili isipokuwa mmoja ambaye ndio aliyetiwa hatina na umemaliza kusema hakufyatua risasi hata moja mbona kama hueleweki? Kama hakufyetua hiyo mmoja risasi zake zilienda wapi?


Hujamwelewa.kuna bunduki 1 ilirudi haina risasi..na inajulikana nani aliibeba..iweje wamfiche muuaji...!Mimi jaman ningejitoa uhai kwa hii kesi..singekubali kbs..!
 
Wewe Proved ndio hujaelewa,askari mnapoingia kazini kama ni Doria kwa mfano mnaandikwa majina ya kupewa silaha na Mkuu wenu mfano Bageni anasaini kile kibali chenye majina kisha mnakipeleka kwa mtunza Silaha naye anawapa Silaha kama ni SMG na Risasi 30 au Bastola na risasi zake kisha mnaingia kazini,mnapomaliza shift mnarudisha silaha na risasi(Armory Keeper)anahesabu risasi zako kama zipo sawa,unasaini unasepa
 
Hujamwelewa.kuna bunduki 1 ilirudi haina risasi..na inajulikana nani aliibeba..iweje wamfiche muuaji...!Mimi jaman ningejitoa uhai kwa hii kesi..singekubali kbs..!
Yaani bunduki moja ilirudi ikiwa haina risasi.....aliyeibeba anafahamika ila aliyefyetua hakuwahi kukamatwa...duh! hii Kali!!
 
MTU wa dizaini yako ni hatari sana wewe mwenye damu ya cdm, hujui jinsi watu wanavyocheza na vifungu vya sheria wanavipindisha pindisha mpaka waliotenda kosa wanakuwa nje wasiotenda kosa wanakuwa ndani ngoja ashinde rufaa yake uone aibu mnyama wewee
Majaji watatu walimkuta na hatia, unyama wape hao majaji!!!
Anyongwe kama hukumu inavyoelekeza.
 
sasa kwa waliokuwa Doria siku hiyo ya tukio wote walirudisha silaha zao zikiwa na risasi kamili isipokuwa huyo askari mmoja ambaye alirudisha silaha bila risasi,isu ilipoanza kubuma baada ya kuanza kuongelewaongelewa akakimbia,so wakati wenzake wanakamatwa yeye alikuwa ameshasepa
 
Eti mimi nilifanya kazi ya police aliefyatua risasi hajakamatwa ila waliohusika kufanya mpango mpaka wa mauaji hawana hatia wakati hela na Madini waliondoka nayo hukumu ya kesi ile ilikua haipo sawa kwa wengine kuachiwa ni vile walikua police na hukumu ilikua inawabeba ilitaliwa wachukuliwe kama majambazi tuu asingetoka mtu pale....majambazi yameteka na kuua mambo ya huyu alirudisha risasi sawa wapi na wapi wakati wote walitenda njama ya kuteka,kuua na kuondoka na Mali... hakuna hukumu nyepesi ya vile kwa wengine kuachiwa uraiani...
 
kuna wadau kuelewa ni wagumu,aliyerudisha silaha ikiwa haina risasi ndie aliyewafyatulia wale marehemu wote risasi,namaanisha wote waliokuwa Doria walikuwa na silaha,but silaha iliyotumika ni moja tu ya huyo aliyekimbia
 
kuna wadau kuelewa ni wagumu,aliyerudisha silaha ikiwa haina risasi ndie aliyewafyatulia wale marehemu wote risasi,namaanisha wote waliokuwa Doria walikuwa na silaha,but silaha iliyotumika ni moja tu ya huyo aliyekimbia
 
Umeandika askari aliyefyetua risasi hakuwahi kukamatwa,umeandika tena walirudisha silaha zikiwa na risasi kamili isipokuwa mmoja ambaye ndio aliyetiwa hatina na umemaliza kusema hakufyatua risasi hata moja mbona kama hueleweki? Kama hakufyetua hata moja je risasi zake zilienda wapi na alirudisha pungufu?
Labda nilichomuelewa au kuna mwenzie alimuazima siraha Ndio a kafanya mauaji wakat akijua kuwa yeye Ndio mwenye dhamana ya siraha
 
walikufa na nini? ila kwenye hii kesi nasikiaga kuna mmoja alikuwa au alitaka kusema ukweli nasikia huyu walimuwahishaga mapemaaaaa ili baadhi watoke sijui hapo kuna ukweli au
Inasemekana eti....

Ushahidi wa yule jamaa ulikuwa unamtia Zombe hatiani moja kwa moja..aliishia kututumka na kubabuka ngozi Kisha kufariki...
 
kuna wadau kuelewa ni wagumu,aliyerudisha silaha ikiwa haina risasi ndie aliyewafyatulia wale marehemu wote risasi,namaanisha wote waliokuwa Doria walikuwa na silaha,but silaha iliyotumika ni moja tu ya huyo aliyekimbia
Hapo nimekuelewa mkuu
 
sasa kwa waliokuwa Doria siku hiyo ya tukio wote walirudisha silaha zao zikiwa na risasi kamili isipokuwa huyo askari mmoja ambaye alirudisha silaha bila risasi,isu ilipoanza kubuma baada ya kuanza kuongelewaongelewa akakimbia,so wakati wenzake wanakamatwa yeye alikuwa ameshasepa
Ok! Nimekuelewa
 
Back
Top Bottom