Acha mkwala.Ndg za marehem nao wazembe..huyu mm nisingemwacha salama
Mbaya sana maana wale walikuwa wafanyabiasharaKweli mnyonge hana haki. Nakumbuka namna wafanyabiashara wale walivyouwa na polisi huku madini yakichukuliwa. Yeye kufa anaona si haki yake
Hii ya kulinganisha rate of crimes kwa nchi zinazotekeleza adhabu ya kifo cha wingi na zile zimazotekeleza kwa uchache na kisha kuweka hitimisho, sio sahihi sana, ni kweli, kwa mfano Marekani ni moja ya nchi zinazotkeleza kwa wingi adhabu ya kunyonga, tena wao hawanyongi, wana kiti cha umeme, lakini uharifu wa mauaji ni mkubwa zaidi ukilinganisha na nchi zingine.. Hii siyo hoja..
Wingi wa uharifu unatofautiana nchi na nchi kutokana na nature ya nchi husika na sababu nyingine nyingi, Pulchra Animo unataka kusema kuwa Marekani ikiondoa adhabu ya kifo kwenye sheria zake uharifu utapungua? Not likely!!
Wewe unapendekeza nini badala ya adhabu ya kifo? kifungo tu basi?!
ninatanguliza pole zangu kwa ndugu na familia za wafanya biashara hao waliopoteza maisha yao kinyama mno ,familia hizi zinaishi bila wapendwa wao na bread winners wao its tough life;ILA kwa upande wa pili wa adhabu hii ya KIFO,hivi ikitekelezwa itaifanya familia za waliouawa kuwa happy?,je utarudisha uhai wa ndugu zao?,je na familia za waliohukumiwa kifo zitakuwa ni familia bora zaidi?je kunyongwa hadi kufa kwa mtuhumiwa kutaleta better closure kwa wanandugu waliopoteza ndugu zao?,binafsi ninachukia adhabu hii ya kifo,ni adhabu inayoonyesha kuwa bado tunaishi maisha very primitive,na adhabu hii sio kuwa unafanya watu waogope kutenda kosa la kuuwa eti na wao watauliwa.ni wakati sasa Tanzania ifute hii adhabu ya kifo maana haina faida yeyote kwa jamii.
Kama utaweza kunipa vielelezo na mifano ya kutosha kuwa adhabu hiyo haisaidii kupunguza uhalifu, hoja yako ni nzito sana!Ninachojaribu kusema hapa ni kwamba capital punishment haina impact kwenye crime rate, kwa mujibu wa hizo tafiti. Ukizungumzia USA, kila state ina criminal system yake. Ukiangalia hata states zinazopakana na watu wake kuwa na interaction kubwa, crime rates zake haziakisi presence au absence ya capital punishment.
Zipo adhabu nyingi mbadala wa capital punishment. After all, kama capital punishment sio effective deterrent ya crime, uwepo wake hauna maana yoyote kwenye jamii. Anayenyongwa mwenyewe has a very short period of time to even regret his or her criminal action(s).
Sambamba na swala la capital punishment kutokuwa effective deterrent ya crime, kumbuka kuwa our judiciary systems aren’t foolproof. Kuna watu wengi tu wamefungwa (na hata wengine kunyongwa) kimakosa. Kumfunga mtu kimakosa is a lesser evil kuliko kumnyonga kimakosa. Akiwa hai kunakuwepo na chembe ya matumaini ya siku moja ukweli kujianika na kifungo chake kufutwa!
Hivi hajafa?Yupo kitaa,anakula maisha
Kama utaweza kunipa vielelezo na mifano ya kutosha kuwa adhabu hiyo haisaidii kupunguza uhalifu, hoja yako ni nzito sana!
Hio kesi nakumbuka kuna Koplo Saad jamaa hajapatikana wala kujulikana alipokua pia kulikua na Koplo Lema huyu ilibaki kama wiki akatoe ushahidi ila alikua hospitali anaumwa aisee jamaa alifariki wiki moja kabla hajatoa ushahidi ila tuseme tu ukweli polisi kwa aina ya maisha yalivyo jamaa ni watu wa njaa njaa sana yani hawashindwi kukuuza kisa kapewa 10,000 tuKumuua BAGENI hakutarudisha uhai wa kina Chigumbi ila itakua fundisho kwa polisi wengine wanao ua watu wasio na hatia na kuwaibia. Vile vile kutaonyeaha kwamba institutions za serikali hii ziko hai na serikali inasimamia haki sio serikali ya wacha wapigwe tu kama untouchable mmoja alivyosemaga. Binafsi najua Bageni alihusika kuwaua wale watu huku akijua ni kosa mbele ya binadamu na dhambi mbele za Mungu.
Otherwise atuambie walikufaje au nani aliwau?
Hata mwanao au baba yako akiwa polisi mambo yako ya maana usimuambie. Sio watu. Hata mkeo akiwa polisi muwe na akaunti tofauti benki. Na mipango yako ya maendeleo usimshirikisheHio kesi nakumbuka kuna Koplo Saad jamaa hajapatikana wala kujulikana alipokua pia kulikua na Koplo Lema huyu ilibaki kama wiki akatoe ushahidi ila alikua hospitali anaumwa aisee jamaa alifariki wiki moja kabla hajatoa ushahidi ila tuseme tu ukweli polisi kwa aina ya maisha yalivyo jamaa ni watu wa njaa njaa sana yani hawashindwi kukuuza kisa kapewa 10,000 tu
Hio kesi nakumbuka kuna Koplo Saad jamaa hajapatikana wala kujulikana alipokua pia kulikua na Koplo Lema huyu ilibaki kama wiki akatoe ushahidi ila alikua hospitali anaumwa aisee jamaa alifariki wiki moja kabla hajatoa ushahidi ila tuseme tu ukweli polisi kwa aina ya maisha yalivyo jamaa ni watu wa njaa njaa sana yani hawashindwi kukuuza kisa kapewa 10,000 tu
Jamaa hawa wana roho dhaifu sana sijui ni shida au dhiki yani wanaweza fanya vitu mpaka mtu unashangaaHata mwanao au baba yako akiwa polisi mambo yako ya maana usimuambie. Sio watu. Hata mkeo akiwa polisi muwe na akaunti tofauti benki. Na mipango yako ya maendeleo usimshirikishe
Akili ndogo wewe!sawa mkuu ila fanya kautafiti kadogo ndani ya nchi yetu,je adhabu hii imepunguza hayo makosa uliyoyaorodhesha hapo juu?na elewa hizi adhabu mara nyingi zinakuja na makosa mengi ya kunyonga watu wasio na hatia
Ni muhimu iwepo ilikupunguza rate ya watu kufanya makosa,imagine leo hii itangazwe haipo usalama utapungua sana.Hata hivyo wanaonyongwa ni wachache sana wengi wapo gerezani tuninatanguliza pole zangu kwa ndugu na familia za wafanya biashara hao waliopoteza maisha yao kinyama mno ,familia hizi zinaishi bila wapendwa wao na bread winners wao its tough life;ILA kwa upande wa pili wa adhabu hii ya KIFO,hivi ikitekelezwa itaifanya familia za waliouawa kuwa happy?,je utarudisha uhai wa ndugu zao?,je na familia za waliohukumiwa kifo zitakuwa ni familia bora zaidi?je kunyongwa hadi kufa kwa mtuhumiwa kutaleta better closure kwa wanandugu waliopoteza ndugu zao?,binafsi ninachukia adhabu hii ya kifo,ni adhabu inayoonyesha kuwa bado tunaishi maisha very primitive,na adhabu hii sio kuwa unafanya watu waogope kutenda kosa la kuuwa eti na wao watauliwa.ni wakati sasa Tanzania ifute hii adhabu ya kifo maana haina faida yeyote kwa jamii.
Kuweka sign ili fulani afe its not a jokeMpaka leo hajanyongwa tu?
Nadhani ni udhaifu wa rais ndio chanzo kwa huyu muuaji anaendelea kutusumbua.
Afungwe kifungo cha maisha na nusu ya Mali zake ziuze ipewe familia ya marehemu isaidie wategemezi wake.We unapendekeza adhabu gani?