Fmruma
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 498
- 783
Kujua kama silaha ipi imetumika ni issue rahisi ya kusoma striations marks za bullets kwa kila silaha na hapo utajua silaha ipi imetumika na hyo silaha nani alikua amekabidhiwa..hao wananchi waliuwawa in point blank range na hawakua na hakukua na dalili za kusema walitoa silaha kuwatishia police..hii case ingekua nchi za wenzetu hao jamaa wangekua washanyongwa na wengine kula kifungo cha maisha siku nyingiii sana