Aliyekuwa Mrakibu wa Polisi, Kinondoni akata rufaa dhidi ya hukumu yake ya kunyongwa hadi kufa

Kwahiyo Mkuu, Unapendekezeje? Je Alichokifangaya, Aachiwe Tu Huru Aendelee Ilihali Wafiwa Huwez Jua Ni Magumu Na Maumivu Kias Gani Wamekutana Nayo Kwa Kuondokewa Na Wapendwa Wao?.
 
Alafu Huyu Jamaa Mbona Kama Anakula Bata Tu![emoji1][emoji1]
 
Kwahiyo Mkuu, Unapendekezeje? Je Alichokifangaya, Aachiwe Tu Huru Aendelee Ilihali Wafiwa Huwez Jua Ni Magumu Na Maumivu Kias Gani Wamekutana Nayo Kwa Kuondokewa Na Wapendwa Wao?.
no mkuu jitahidi usome vema kabla ya kujibu,hakuna sehemu niliyoandika kuwa aachiwe huru,nilichokiandika mimi suing mkono death sentence kwa sababu hazisaidii kurekebisha chochote kwenye jamii,bado nchi yetu tunashuhudia watu wakiua huku wakielewa kuwa tuna death sentence ndani ya nchi yetu,kinachotakiwa ni kuwa na adhabu mbadala kwa serious offences kama za murder,rapping,drugs etc etc,kama life sentences.nimekujibu ili next time usijibu kama hivi hii ni sawa na kuniwekea maneno kwenye kinywa change wakati mimi mwenyewe nina uwezo huo,always read to understand.
 
Ni muhimu iwepo ilikupunguza rate ya watu kufanya makosa,imagine leo hii itangazwe haipo usalama utapungua sana.Hata hivyo wanaonyongwa ni wachache sana wengi wapo gerezani tu
yaaa,lakini adhabu hii haionyeshi kuwa inaleta uoga kwa watu kuuwa,few weeks ago tumeshuhudia mauaji mengi tu ,kuanzia visasi,wivu wa kimapenzi,maiti za kwenye viroba,maiti za pale mto Ruvu etc etc watu bado wanaua,ni wakati sasa tuachane na death sentence na tuangalie adhabu mbadala.
 

Faida ipo humuoni huyo aliyehukumiwa anapata mateso makali? Ndio anaonja ladha ya kutenda uhalifu, unataka aachwe tu astarehe?
 
Akili ndogo wewe!
lengo la mada ni kujadili,na tuna haki ya kutofautiana ndio mjadala,hatuwezi wote kuongea kitu kimoja otherwise hatuhitaji mjadala,ninakuona ni mtu mwenye hasira ambaye hata familia yako unailea kwa hasira na bila shaka ni mmoja wa watu wanaochangia nchi yetu kuanza kuwa na watu wenye hasira.,akili ninazo na nimeenda shule wakati nchi ina heshima na adabu,nikafundisha ,nikasafiri mno duniani and iam enjoying my life na nimeishi maisha yangu bora and I work to my ass
 
Ni kweli, si adhabu nzuri kabisa kwa binadamu.Lakini, ili kuifeel vizuri, ufanyiwe unyama wa aina hiyo ,yani mtu awaue watu wako wa karibu,hapo ndipo utaweza kutoa maoni sahihi.kuhusu adhabu hii.

Haya mambo yapo tata sana
nimekuelewa mkuu wote sisi ni binadamu ila kutekelezwa kwa adhabu hii hakutarudisha mpendwa wako uhai wake,na sidhani utapata any closure,na haisaidii chochote maana mauaji bado ni mengi mno na ndio yanazidi.
 
Sijui kwanini huwa naamini Bageni hakufanya kosa lolote na namuonaga Zombe akiwa mtuhumiwa No 1,ni kwa vile tu kwenye jeshi unapokea order ya mkubwa but to me Zombe ana hatia!
 
Subiri na wewe uuawe kwanza ndio utajua kama hukumu hiyo inafaa au haifai [emoji3]
no mkuu this debate kuhusu hii mada tuna haki ya kutofautiana,ila tuijadili kwa facts sio hasira na dharau,sio lazima wote tukubaliane,na kwa taarifa yako hii death sentence ni adhabu ambayo haijapunguza watu kutokuuwa,mauaji yanaongezeka mno na kwa sasa wivu wa kimapenzi watu wanaamua kuuwa.
 
Faida ipo humuoni huyo aliyehukumiwa anapata mateso makali? Ndio anaonja ladha ya kutenda uhalifu, unataka aachwe tu astarehe?
NOOOOOO sijasema aachiwe huru why wakati kushapatikana na hatia?ni lazima ahukumiwe swali je death sentence aliyopewa ataleta closure kwa waliofiwa?je atafanya watu wengine to think twice kabla ya kuuwa?majibu hapa ni NO,HII ADHABU HAISAIDI JAMII YETU.
 
Kwani,jamaa waligeukwa.CCM,sio ya kuaminka.mnapewa kazi,baadae mnageukwa
 
Wewe haustahili kufanya mjadala na yeyote! Don't infect people with your DISEASE!
 

Inasaidia kusudu la kumnyonga ni kutoa funzo kama wewe funzo halikufikii bac pole yako ila aliyeua nae auwawe
 
Katika hii kesi kuna dogo mmoja polisi ambae alikufa katika mazingira ya kutatanisha. Alieleza ukweli kabla hajafia gerezani. Dogo mmoja mchagga nasahau jina. Naona nafsi na imani yake ya kidini vilikua vinamsuta
Alieleza nn
 
Ok. Tufanye kama debate basi, wewe unapendekeza iwe hukumu gani mbadala?

Labda nikuulize, kwanini kwanza huwa kuna sheria? Na ikivunjwa kwanini kuna kuwa na kesi? Na kwanini maamuzi yanayotokana na kesi yaitwe hukumu? Lengo la hukumu ni nini? Kisha tuambie mtu aliyeua kwa makusudi afanywe nini?

Mimi sina hasira, ingawa kwenye mijadala kama hii inayogusa hisia za watu ni ngumu kutenganisha hisia na uhalisia, wewe mwenyewe hapo unasukumwa na hisia kwamba adhabu ya kunyonga haifai ingawa unaamini hutumii hisia ila uhalisia. Na ukichomoka hapo itabidi tuje kwenye mjadala mwingine hisia ni nini.

Ni sawa na wanaosema hawapendi au hawafuatilii mambo ya siasa wakati huohuo ana lalamikia baadhi ya mambo yanayokera au kukwamisha jamii...bila siasa hamna kitu kitafanyika. Tatizo ni aina gani ya siasa inatumika.
 
huyu alitakiwa awe ameresti anakostahili
 
Katika maisha yangu,wazazi wangu walinilea na kunieleza kuwa kwa kazi yoyote ambayo nitakayoifanya inabidi kuwaheshimu watu wengine na kumtanguliza Mungu siku zote kwa kufata amri zote kumi za mwenyezi Mungu.Kinachokosekana kwa watu wengi wa kisasa ni hekima,ambayo hupelekea kukosa kiasi na utu katka maisha au hata kazi zao za kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…