Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Masahihisho : Chadema haina Mpango wa kupeleka Wabunge wa viti maalum bungeni , sababu zinajulikana , Na wala hatuzuii hawa Wasaliti kuwa Wabunge bali wasitumie jina la Chadema maana walishatimuliwaHili suala la aibu kwa mhiimili wa mahakama ……., watu ambao ushahidi wa wadi unaonyesha kuwa hawapo tena kwenye Chama wanachodaiwa kuwakilisha…ingekua vyema mahakama ingeruhusu tu Chadema wapeleke wabunge wengine hasa kwa hawa ambao kuna ushahidi wa wazi kuwa wanatumikia ccm…
Aibu kwa familia yake .Profesa Ibrahim Juma ataingia kwenye vitabu vya historia kama CJ bogus kupata kutokea na kuruhusu mahakama kuwa vijiwe vya kufanya mambo ya hovyo kabisa.
Aibu ya milele itamuandama hadi kaburiniDuuh hata siamini nachoona. Hivi ni huyu "Nusrat binti chadema" aliyekua chadema lia lia kipindi anazunguka na kamanda mawazo kanda ya ziwa kujenga chama?
Aisee kweli "politics" is a game of opportunities.
Lakini nchi hii kwa hila hizi na dhambi hiklzi, kamwe ni rais Hamas kuendelea kuliko TanzaniaHivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Kwani unafikiria kupitia TUI LA NAZI?Kapendeza Maa shaa Allah, kijani na njano havimkatai mtu[emoji169][emoji172],
Nawe pia wakaribishwa kwenye kijani na njano,
Hata hivyo amevaa tu shati la kijani kuna bendera ya taifa na jina lake, sijaona nembo ya CCM.
Naona kaamua kufuta hukumu …iliyoharamisha chaguzi kusimamiwa na wabakaji…. Hawa ndio Majaji wanaotumbua pesa za wallpa kodiAibu kwa familia yake .
Maneno tu haya, hata kwenye kanga yapo. Ccm ni ile ile na amri yao kwa polisi iko pale pale.2025 itakua kivumbi na jasho.Kila mtu atajipigania.Polisi watafikiria kwa kila watendalo.Hakuna kupita bila kupingwa.
"Politics a game of opportunities"?Duuh hata siamini nachoona. Hivi ni huyu "Nusrat binti chadema" aliyekua chadema lia lia kipindi anazunguka na kamanda mawazo kanda ya ziwa kujenga chama?
Aisee kweli "politics" is a game of opportunities.
Duh kwamba wafanye eliminate elimination methodChadema ndo imelea huo upumbavu ilitakiwa iwatafutie makaburi
Ukweli mchungu huu hili la usaliti liko Tanzania na Hakuna sample hata Moja aliwahi fanyiwa hili hat hvyo kesi za namna hi Kuna wengi watakomolewa na serekaliMkuu ujinga huu upo TZ tuu, kwingine ambako watu wako seriously hawawezi kuishi na watu ndumila kuwili.
Unajua kwa nini Mungiki kule Kenya ilikuwa ni tishio? Unaleta siasa za kipumbavu kwenye maslahi ya umma kwa kuwafanya wengine wajinga basi wao wanaamua kukutenda!
Au ili wakuumize usiwachezee tena wanagusa familia yako, mke au mume au mtoto ili ujue uchungu wanaosikia wengine.
Hapa hajapigwa pipe mtu akaelewa kuwa siasa sio uhuni, huwezi kujifanya unatetea kundi fulani nalo likakupa nafasi kumbe wewe ndio unalisaliti! Ukitendwa huwezi rudia ujinga huo wala mwingine hawezi iga.
Nawashanga aga Sana mnavyosema uchuguz ujao utakuwa tishio mm binafs nimeshiriikishwa uchaguz kuazia mwaka 2005 Hadi had hi ya 2015 ndio nikasema sipigi Tena kura kwa ninayo yaona2025 itakua kivumbi na jasho.Kila mtu atajipigania.Polisi watafikiria kwa kila watendalo.Hakuna kupita bila kupingwa.
I always speak aloud, hakuna mkombozi wa kukupigania, jitambue jipiganie mwenyewe, hawa wanasiasa wako kwa matumbo yao, na sio kwa ajili yako mtanzania, jipiganie ili uishi vizuri wewe na familia yako, mlango wa kupigania utauchagua mwenyewe aidha uwe nabii uzichote za wajinga, aidha uwe mwanasiasa uchwara uwadanganye wajinga uupate ubunge, na njia zingine 1001,zote hizi ni ili uishi vizuri kwa MGONGO wa wajinga watakaokufuatilia na kukuamini,Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Wasaliti hawapazwi kuishiSasa wakale wapi! Wanawake wenyewe wachache kwenye siasa acha walambe hata hiyo asali, kuna wanaume mpaka sasa ni mawaziri mbona kimya tu!
Very beautifulNa ni mbeautiful pia 🤣🤣
Na kutukana !Wanasiasa wanaangalia upepo wapo kwaajili ya kutengeneza maisha yao kuhamahama ili waifaidi keki vizuri ndo michezo yao, mashabiki wa vyama mnaishia kupiga kelele
Njaa ni balaa haina baunsaDuuh hata siamini nachoona. Hivi ni huyu "Nusrat binti chadema" aliyekua chadema lia lia kipindi anazunguka na kamanda mawazo kanda ya ziwa kujenga chama?
Aisee kweli "politics" is a game of opportunities.