Anajua anachokifanyaHuwezi kufumwa mbele ya umati wa watu, mtu anafumwa hukoooo vichochoroni au chobingo
Kama ni mbele ya hadhira tena kwenye tukio la kitaifa ukiachilia mbali hometown ambako kila raia anakujua, basi tambua hilo ni kusudio, kwa kifupi bado hamjasema na mtasema ni lazima mseme
Kwa style hio CCM ingeua wanachama wengi sanaaa,Mkuu ujinga huu upo TZ tuu, kwingine ambako watu wako seriously hawawezi kuishi na watu ndumila kuwili.
Unajua kwa nini Mungiki kule Kenya ilikuwa ni tishio? Unaleta siasa za kipumbavu kwenye maslahi ya umma kwa kuwafanya wengine wajinga basi wao wanaamua kukutenda!
Au ili wakuumize usiwachezee tena wanagusa familia yako, mke au mume au mtoto ili ujue uchungu wanaosikia wengine.
Hapa hajapigwa pipe mtu akaelewa kuwa siasa sio uhuni, huwezi kujifanya unatetea kundi fulani nalo likakupa nafasi kumbe wewe ndio unalisaliti! Ukitendwa huwezi rudia ujinga huo wala mwingine hawezi iga.
Usaliti kwenye siasa ni sawa na maji na samaki mkuu,Ukweli mchungu huu hili la usaliti liko Tanzania na Hakuna sample hata Moja aliwahi fanyiwa hili hat hvyo kesi za namna hi Kuna wengi watakomolewa na serekali
We mshamba koma kunifatilia, hua sipendi shobo na matahira,Kwani unafikiria kupitia TUI LA NAZI?
Wabunge wote 19 watalamba U DC baada ya 2025 election.Mashinji yupo serikqlini,huyu alikuwa Katibu Mkuu,Mtatiro yupo kimya sasa anakula kiulaini.Maisha ni mafupi.Mrema kaondoka kachoka,Cheyo anatembelea choke,Lipumba kwishney,Slaa angalau aliambulia.Kuwa upinzani ni kujitoa mhanga.Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Tayari kawa Chawa wa Mama huyo!Kapendeza..
Hivyo ndivyo walivyopanga lakini haitowezekana , ccm inaangushwa 2025Wabunge wote 19 watalamba U DC baada ya 2025 election.Mashinji yupo serikqlini,huyu alikuwa Katibu Mkuu,Mtatiro yupo kimya sasa anakula kiulaini.Maisha ni mafupi.Mrema kaondoka kachoka,Cheyo anatembelea choke,Lipumba kwishney,Slaa angalau aliambulia.Kuwa upinzani ni kujitoa mhanga.
usiishie hapo, sema mchepuko wa salum mwalimu wavaa sare za ccm. hapo jioni akivua hayo magwanda wanakutana pamoja na kujifunika shuka moja. ndo maana tunasema kitafutwe chama kingine kipya kitakachobadili hii chadema ya mbowe.Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Nani anataka kufa njaa?Tayari kawa Chawa wa Mama huyo!
Jikite kwenye madausiishie hapo, sema mchepuko wa salum mwalimu wavaa sare za ccm. hapo jioni akivua hayo magwanda wanakutana pamoja na kujifunika shuka moja. ndo maana tunasema kitafutwe chama kingine kipya kitakachobadili hii chadema ya mbowe.
Wangapi mmeshawatoa uhai? Anza na hao ambao tayari ni mawaziri wengine wakuu wa wilayaWasaliti hawapazwi kuishi
Jpm
Ila kwa hao 19 roho zinawapwita wawaacheWabunge wote 19 watalamba U DC baada ya 2025 election.Mashinji yupo serikqlini,huyu alikuwa Katibu Mkuu,Mtatiro yupo kimya sasa anakula kiulaini.Maisha ni mafupi.Mrema kaondoka kachoka,Cheyo anatembelea choke,Lipumba kwishney,Slaa angalau aliambulia.Kuwa upinzani ni kujitoa mhanga.
Nadhani huelewi tunaongea nini. Mtu kujitanabaisha kuwa ni CCM haina shida kwa wa Chadema hivyo hivyo kinyume chake.Kwa style hio CCM ingeua wanachama wengi sanaaa,
Mana wapinzani karibu 98% wametoka CCM
Hawa tunawajua tangu enzi za mwendazake walichagua kuangalia matumbo yao badala ya kupigania hakiHivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Bora tu awe huru ndani ya chama kipya.....kila la kheriHivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Na Sasa ni DC ,na wewe Toka huko utachakaa 😂😂
Mbona kazeeka haraka? Huko ccm kuna nini? Vijana kamq wazeeHivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Shida ni pale unapokuwa Yanga na bado una deal na AzamNi kama vile Fei toto akatoka Yanga akahamia Azam, John Boko akatoka Azam akaenda Simba...
...au mtu atoke Vodacom ahamie Tigo au Airtel. Pipo zinaangalia maslahi, nadhani hata siasani ni the same, japo inabeba sana hisia za watu.