Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kiazi huyoHivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Unakuwa snitch kiaina. Kuna wakati maisha yanawafosi watu kufanya hivyo, mtu anaifikiria fame, kipato kikubwa anaona isiwe tabu ngoja niangalie upepo.Shida ni pale unapokuwa Yanga na bado una deal na Azam
Hawakustahili kufukuzwaHivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Wana account ya pamoja ya kuhonga kila upande ili kesi zao zikawie waendelee ubunge hadi 2025. Saa hizi wamechukua mbinu ya low profile ili shauri lao litoke kwenye vichwa vya habari huku wakipiga hela ya umma isivyo halali.Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Kumbe we nguchiro upo hai????mana nilipata taarifa hitima yako imepita mwezi wa jana!!!!!Yaani wewe wivu utakuua[emoji23]
Ni kweli kapendeza. Hayo magwanda ya kaki yalikuwa yanawaharibia hadi kukosa wanaume wa kuwaoa. Kumbe ni warembo hivyo. Wekeni basi na ile ya Halima (kutoka photo shops zenu) akiwa kwenye kijani.Kapendeza..
Binuka nikubamize.Kumbe we nguchiro upo hai????mana nilipata taarifa hitima yako imepita mwezi wa jana!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Halima atapendeza sana yaani, aguswe tu huko alipo😀Ni kweli kapendeza. Hayo magwanda ya kaki yalikuwa yanawaharibia hadi kukosa wanaume wa kuwaoa. Kumbe ni warembo hivyo. Wekeni basi na ile ya Halima (kutoka photo shops zenu) akiwa kwenye kijani.
PandikiziHivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Hapana, mbona ni unifomu kwani inabendera yataifa na jina lake.Hivi ndivyo alivyofumwa mmojawao, jionee mwenyewe.
View attachment 2783997
Hawa wakiongozwa na Msaliti mkuu Halima Mdee wamefungua kesi Mahakamani kupinga kutimuliwa CHADEMA.
Kesi inaendeshwa kwa spidi ya konokono ili wamalize ubunge wao haramu.
Bali Kanuni ya Mungu ni ile ile, kila Ubaya Utalipwa.
Fame na kipato kikubwa kimepeleka vijana kubaya mno.Unakuwa snitch kiaina. Kuna wakati maisha yanawafosi watu kufanya hivyo, mtu anaifikiria fame, kipato kikubwa anaona isiwe tabu ngoja niangalie upepo.
Huyu binti nilimuona mara ya kwanza kwenye kipima joto... alikuwa mpambanaji kweli kweli... lakini kama Yuda alikaa na Yesu na bado akamsaliti, itakuwa CHADEMA.Duuh hata siamini nachoona. Hivi ni huyu "Nusrat binti chadema" aliyekua chadema lia lia kipindi anazunguka na kamanda mawazo kanda ya ziwa kujenga chama?
Aisee kweli "politics" is a game of opportunities.