TANZIA Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mstaafu Frederick Werema afariki dunia

Huu mwaka uishe tu.
Pole wafiwa wote.
Kwa kweli huu mwaka umekuwa na vifo vingi sana Tanzania na duniani kwa ujumla. Duniani ni katika vita vya urusi dhidi ya Ukraine, vita vya Israel dhidi ya hayo makundi anayopambana nayo ya ktk nchi za kiarabu, majenerali wa Sudan, ajali za ndege, generation z, nk,nk. Kwa Tanzania kuna ajali zimeua takribani mamia ya watu, utekwaji na upoteaji wa watu, watu maarufu nk,nk.
 
Jaji warioba akiondoka watanzania watamkumbuka kama Nyerere wa pili hata kama siasa za Tanzania zinaweza zisimkumbuke kiviiile.
 
Jamaa alikua mjeuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…