mangonifera indica
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 845
- 1,467
Ndo sijui bossKwahiyo watu wote ambao faulo imesababisha vifo vyao wasizikwe????
Yap so tukiwa na Mali tukiwa na majeshi hayana maana yoyote Sababu zote hizo ni fahari za Dunia tutaziacha muhimu tuishi kwa upendo maana sote ni wa Mungu na kwake tutarejeaMwisho wa maisha yetu sote ni kaburi...
Yap so tukiwa na Mali tukiwa na majeshi hayana maana yoyote Sababu zote hizo ni fahari za Dunia tutaziacha muhimu tuishi kwa upendo maana sote ni wa Mungu na kwake tutarejea haifai kujiMwambafyMwisho wa maisha yetu sote ni kaburi...
Ngoja tuone kama ni kweli,
ila mama janeti magufuli anaonekana bado mbichi sana. Ana umri gani hivi?
Mweeee!!!ila mama janeti magufuli anaonekana bado mbichi sana. Ana umri gani hivi?
🙆♀️aunt nimekumis ila kila nikitaka kuja nyumbani napotea njia😂Auntie usiamini hizo ramli. Koromije kuna jua kali
🙆♀️aunt nimekumis ila kila nikitaka kuja nyumbani napotea njia😂
Walioenda Mwanza Jana watuambie hali ilikuwaje?
na ambao pia mpo Dsm hali ipoje huko?
ila mama janeti magufuli anaonekana bado mbichi sana. Ana umri gani hivi?
Nimechanganyikiwa na msiba aunt, watanirudisha wasamaria wema😬Binti wa ajabu wewe sijapata kuona anayepotea njia ya home kwao
Sio kila sehemu Dar mvua imenyeshaDar imenyesha mvua kubwa sana na ngurumo za radi
Vipi kwingine
Kweli kabisa haujakoseaAisee bora wamalize hii kitu watu waendelee na shuhuli za ujenzi wa taifa la uchumi wa kati chini kabisa.