Nimechanganyikiwa na msiba aunt, watanirudisha wasamaria wema😬
Sasa jamani vibarakoa ni vya nini? Si Tanzania hakuna corona?
😢Kuongoza nchi sio jambo rahisi sana.
nawaza mtu ana mke na watoto wawili ila hawezi kuongoza familiya migogoro kibao,sembuse magufuli kuongoza hili linchi looote? Lawama zote kwake?....
Anamaanisha niniTusicheze ngoma kwa mdundo wa adui yetu - J KIKWETE.
Duh...
Kwani miaka 91 ulidhani umri hujaenda?Mzee mwinyi hakika umri umeenda
Mkuu taratibu🤣🤣nasikia kuna nabii kajitokeza kumfufua akiruhusiwa
Wengi Wanao Jifanya Kulia Lia eti Shujaa Wa Chato alikua ni Mtetezi wa Wanyonge. Wengi Wao ni Watu wenye Roho za Kimasikini waliokua Wakishangilia Matajiri wakiporwa Mali zao na Kumbikiwa Kesi za Ukwepaji Kodi. Walitamani Matajir Waish kama Maisha Wanayoish wao Roho za KimasikinKuongoza nchi sio jambo rahisi sana.
nawaza mtu ana mke na watoto wawili ila hawezi kuongoza familiya migogoro kibao,sembuse magufuli kuongoza hili linchi looote? Lawama zote kwake?...