TANZIA Aliyekuwa Sultani wa Mwisho Zanzibar, Sultan Sayyid Jamshid Al Said, Afariki Usiku Huu, Omani

TANZIA Aliyekuwa Sultani wa Mwisho Zanzibar, Sultan Sayyid Jamshid Al Said, Afariki Usiku Huu, Omani

All the barbaric and uncouth acts he carried out in the name of "Trade" to our people will never be forgotten.

Nje ya mada: Pasco ulikurupuka sana na uzi wa juzi hapo "Kurudi Zenji" huyu Sultani. Na wewe najua umefahamu kwamba ulikurupuka, ila fresh yameisha. 😁
 
All the barbaric and uncouth acts he carried out in the name of "Trade" to our people will never be forgotten.

Nje ya mada: Pasco ulikurupuka sana na uzi wa juzi hapo "Kurudi Zenji" huyu Sultani. Na wewe najua umefahamu kwamba ulikurupuka, ila fresh yameisha. 😁
Alitawala miezi mitatu tu kabla ya kupinduliwa, biashara gani alifanya?
 
Alitawala miezi mitatu tu kabla ya kupinduliwa, biashara gani alifanya?

Nitakujibu japo sijajua lengo la swali lako ni kutaka kujua au kubishana.

Usultani ni Bloodline wenye lengo kutawala na kufanya biashara. Said Bin Sultan muasisi wa Usultani wa Zanzibar alitoka Muscat Oman mpaka Stone Town Zanzibar kwa lengo la kuanzisha biashara ya Karafuu (Clove), alime hapo Zanzibar na aiuze Oman huku akiwatumia wenyeji wa hapo kama watumwa (Cheap labours). Alifanikiwa kuanzisha Usultani hapo na Zanzibar ikawa kitovu cha Biashara kutoka Persia, Uarabuni na India huku yeye akitawala Zanzibar na kusimamia biashara. Wafanyabiashara kutoka pande hizo Zanzibar likawa chimbo lao kupata Malighafi ambazo nyingi zilikuwa hazitoki Zanzibar ila zinakuja kama kituo cha biashara. Pembe za Ndovu, Madini na Vito n.k

Jibu la swali lako: Seyyid Said alirithi Usultani wenye lengo lile lile, kutawala, kusimamia, kufanya na kuendeleza biashara. Zanzibar ni kitovu cha biashara cha kihistoria. Hujaridhika tutaendelea Darasa la Sita B.
 
Wanabodi

Vyanzo vya kuaminika vimethibitisha kwa "Atheer" taarifa za kifo cha Mheshimiwa Sayyid Jamshid Al Said, Sultan wa mwisho wa Oman aliyekuwa Zanzibar, akiwa na umri wa miaka 95, baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Vyanzo hivyo vimeeleza kuwa Sultan huyo wa zamani alifariki dunia Jumatatu jioni katika Hospitali ya Kifalme na atazikwa katika Makaburi ya Familia ya Kifalme huko Muscat.

====================
Breaking News!, Talk of a devil, and a devil appear!.

December 30, 2024
Information for “Atheer”: The Passing of His Highness Jamshid

Exclusive sources have confirmed to “Atheer” the passing of His Highness Sayyid Jamshid Al Said, the last Omani Sultan in Zanzibar, at the age of 95, following a long struggle with illness.

The sources stated that the late Sultan passed away on Monday evening at the Royal Hospital and will be laid to rest in the Royal Family Cemetery in Muscat.

Follow Atheer on WhatsApp:
fXodo
@Atheeroman
www.Atheer.om

December 28 lilipanda bandiko hili Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

December 29 likapanda bandiko hili Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

Leo December 30 ndio yametokea haya!.
RIP
Sultan Jamshed
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ. To God we belong and to Him we return.

Paskali
Hii ni Taazia ya Mkuu Maalim Mohamed Said

Rejea za Mwandishi kumhusu Sultan huyu
Kwanini alitaka aje kufia Zanzibar?
 
Sultan Jamshid kapewa hifadhi Dar es Salaam yeye na familia yake na baadhi ya watu.
Aisee
kumbe nyerere mwenyewe alimpa hifadhi Dar kabla kuondoka
Hata huko UK alikuwa mkimbizi tu wa kawaida
Inaonekana Waingereza walimwanguishia jumba bovu, maana ni wao waliomtwaza mfalme
Hata walimuandika kwenye magazeti yao, naona alitua Portsmouth ndio akaanzia maisha hapo, maana miaka ile ilikuwa moja bandari kubwa UK
1735602595068.png



Hata ukiaangalia CV ya mtoto wake ambaye ni CEO wa Bank of Oman inasema alisoma Portsmouth University
1735602860630.png




Ndio maana nilikuwa na hii fikra nyerere alikuwa kibaraka UK, maana ukiangalia mfuatano historia...

1964: Mara baada ya Uhuru nyerere alishtukiwa aliwekwa mtu kati na kuomba msaada UK kumsaidia ndio chanzo Oscar Kambona kukimbia, hapa kulikuwa na mchezo mchafu wa nyerere, alilijifanya yeye ni mwana demokrasia ili aokolewe na UK, ndio maana wakamsapoti huku akimchomea Kambona kama mkomonisti kwa waingereza , huku kificho yeye mwenyewe ni mjamaa akisapoti Marxisist na Maoist...
Ndio maana walimtema wakati wa Uganda war, japo UK hawakumtaka Jemedari Idd Amin ambae aliwageuka pia baada kumuweka kutokanana kumshtukia Obote anaendeshwa na nyerere kuusapoti ukomonisti,
Lakini kwa kuwa hawakupendezwa na unafiki wa nyerere, ndio maana walimtosa....
 
Wanabodi

Vyanzo vya kuaminika vimethibitisha kwa "Atheer" taarifa za kifo cha Mheshimiwa Sayyid Jamshid Al Said, Sultan wa mwisho wa Oman aliyekuwa Zanzibar, akiwa na umri wa miaka 95, baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Vyanzo hivyo vimeeleza kuwa Sultan huyo wa zamani alifariki dunia Jumatatu jioni katika Hospitali ya Kifalme na atazikwa katika Makaburi ya Familia ya Kifalme huko Muscat.

====================
Breaking News!, Talk of a devil, and a devil appear!.

December 30, 2024
Information for “Atheer”: The Passing of His Highness Jamshid

Exclusive sources have confirmed to “Atheer” the passing of His Highness Sayyid Jamshid Al Said, the last Omani Sultan in Zanzibar, at the age of 95, following a long struggle with illness.

The sources stated that the late Sultan passed away on Monday evening at the Royal Hospital and will be laid to rest in the Royal Family Cemetery in Muscat.

Follow Atheer on WhatsApp:
fXodo
@Atheeroman
www.Atheer.om

December 28 lilipanda bandiko hili Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

December 29 likapanda bandiko hili Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

Leo December 30 ndio yametokea haya!.
RIP
Sultan Jamshed
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ. To God we belong and to Him we return.

Paskali
Hii ni Taazia ya Mkuu Maalim Mohamed Said

Rejea za Mwandishi kumhusu Sultan huyu
Siulisema anakuja Tanzània?
 
Wanabodi

Vyanzo vya kuaminika vimethibitisha kwa "Atheer" taarifa za kifo cha Mheshimiwa Sayyid Jamshid Al Said, Sultan wa mwisho wa Oman aliyekuwa Zanzibar, akiwa na umri wa miaka 95, baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Vyanzo hivyo vimeeleza kuwa Sultan huyo wa zamani alifariki dunia Jumatatu jioni katika Hospitali ya Kifalme na atazikwa katika Makaburi ya Familia ya Kifalme huko Muscat.

====================
Breaking News!, Talk of a devil, and a devil appear!.

December 30, 2024
Information for “Atheer”: The Passing of His Highness Jamshid

Exclusive sources have confirmed to “Atheer” the passing of His Highness Sayyid Jamshid Al Said, the last Omani Sultan in Zanzibar, at the age of 95, following a long struggle with illness.

The sources stated that the late Sultan passed away on Monday evening at the Royal Hospital and will be laid to rest in the Royal Family Cemetery in Muscat.

Follow Atheer on WhatsApp:
fXodo
@Atheeroman
www.Atheer.om

December 28 lilipanda bandiko hili Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

December 29 likapanda bandiko hili Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

Leo December 30 ndio yametokea haya!.
RIP
Sultan Jamshed
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ. To God we belong and to Him we return.

Paskali
Hii ni Taazia ya Mkuu Maalim Mohamed Said

Rejea za Mwandishi kumhusu Sultan huyu
watu wameruka na Brand! Mtu mliyemtimua baada ya kuwafunga minyororo leo hii anarud tena! haya mleteni akiwa ndani ya jeneza
 
Back
Top Bottom