TANZIA Aliyekuwa Sultani wa Mwisho Zanzibar, Sultan Sayyid Jamshid Al Said, Afariki Usiku Huu, Omani

TANZIA Aliyekuwa Sultani wa Mwisho Zanzibar, Sultan Sayyid Jamshid Al Said, Afariki Usiku Huu, Omani

Aliyekua Sultan wa Zanzibar Sultan Jamshid bin Abdullah amefariki Dunia jana tarehe 30-12-2024 akiwa na umri wa miaka 95
Aliitawala Znzibar kuanzia tarehe 1 July 1963 mpaka 12 January 1964

Baada ya mapinduzi aliishi Uingereza kabla ya kuhamia Oman mpaka mauti yalipomkuta,

Inna lillahi waina ilaihi rajioon
Sisi ni wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
wanazika pemba au wanasafirisha?
 
si mlisema anakuja zanzibar kutalii kama raia tu wa kawaida na hata akitaka kuishi zanzibar rukhsa tu? Hiyo ziara imeishia wapi na leo mnatujulisha tanzia?
 

Attachments

  • Screenshot_20241231-084442.jpg
    Screenshot_20241231-084442.jpg
    351 KB · Views: 3
Aliyekua Sultan wa Zanzibar Sultan Jamshid bin Abdullah amefariki Dunia jana tarehe 30-12-2024 akiwa na umri wa miaka 95
Aliitawala Znzibar kuanzia tarehe 1 July 1963 mpaka 12 January 1964

Baada ya mapinduzi aliishi Uingereza kabla ya kuhamia Oman mpaka mauti yalipomkuta,

Inna lillahi waina ilaihi rajioon
Sisi ni wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
Ist real news!!?
 
Wanabodi

Vyanzo vya kuaminika vimethibitisha kwa "Atheer" taarifa za kifo cha Mheshimiwa Sayyid Jamshid Al Said, Sultan wa mwisho wa Oman aliyekuwa Zanzibar, akiwa na umri wa miaka 95, baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Vyanzo hivyo vimeeleza kuwa Sultan huyo wa zamani alifariki dunia Jumatatu jioni katika Hospitali ya Kifalme na atazikwa katika Makaburi ya Familia ya Kifalme huko Muscat.

====================
Breaking News!, Talk of a devil, and a devil appear!.

December 30, 2024
Information for “Atheer”: The Passing of His Highness Jamshid

Exclusive sources have confirmed to “Atheer” the passing of His Highness Sayyid Jamshid Al Said, the last Omani Sultan in Zanzibar, at the age of 95, following a long struggle with illness.

The sources stated that the late Sultan passed away on Monday evening at the Royal Hospital and will be laid to rest in the Royal Family Cemetery in Muscat.

Follow Atheer on WhatsApp:
fXodo
@Atheeroman
www.Atheer.om

December 28 lilipanda bandiko hili Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

December 29 likapanda bandiko hili Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

Leo December 30 ndio yametokea haya!.
RIP
Sultan Jamshed
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ. To God we belong and to Him we return.

Paskali
Hii ni Taazia ya Mkuu Maalim Mohamed Said

Rejea za Mwandishi kumhusu Sultan huyu
Saa100 amefiwa na Mjomba wake!
 
Back
Top Bottom