Bwana Bima
JF-Expert Member
- Jul 29, 2014
- 429
- 929
🤣🤣🤣 Na Bado kawaingiza Chaka mamilion aisee daaah! Mbaya zaidi ukiongea vibaya tu wanakimbilia kutishana mambo ya motoMudy alikua na akili fupi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Na Bado kawaingiza Chaka mamilion aisee daaah! Mbaya zaidi ukiongea vibaya tu wanakimbilia kutishana mambo ya motoMudy alikua na akili fupi
Kichaa aniambie mwehu 😄 Poleni Israel ananza kulalamika eti hatukutegemea Hamasi kuwa wananguvu vile na bado wataliona Jua Usiku 😄
AmeenKuna siku Allah atakujaalia utatoka katika Ukiristo utaingia ktk nuru
Wewe leta source za Arabs, mimi nimeleta za Israel.
Huyu nae nabiiYesu ni nabii aliezaliwa na Maryam. Mungu hawezi kuwa mtu. Kamuulize mwamposa
Wayahudi walimuambia ukweli KUA WEWE SIO MJUMBE WA MUNGU WETU YEHOVA,,,bas akawaua,,,,na kuanzisha uhasama nao🤣🤣🤣 Na Bado kawaingiza Chaka mamilion aisee daaah! Mbaya zaidi ukiongea vibaya tu wanakimbilia kutishana mambo ya moto
ukweli ni upi ?! Kwamba "makomando" ya Ham-ass yamewatwanga IDF ampaka mazayuni yamekubali masharti yote ya Ham-assholes ?Propaganda za kijinga.
Alhamdulillah nuru ya ya kusaka bikra 72 na mifereji ya vodka ?Kuna siku Allah atakujaalia utatoka katika Ukiristo utaingia ktk nuru
Pepo yenyewe ndio hii yakugida mipombe?Hakuna mkiristo atakaengia peponi. Na akina papa hilo wanalijua lkn wao wanafata utajiri makanisani
Mwanamgambo mwenzenu ameshapata bwana bado nyie wa JFMm sijaumbwa na huyo mungu wa kiarabu mwenye ushirika na majini.
Mm nimeumbwa na El shadai Mungu mwenye nguvu wa wayahudi..
Hapana idf wamewatwanga hamas mpaka wakakomboa mateka wao woteukweli ni upi ?! Kwamba "makomando" ya Ham-ass yamewatwanga IDF ampaka mazayuni yamekubali masharti yote ya Ham-assholes ?
Nuru ya kufuga majini ?Kuna siku Allah atakujaalia utatoka katika Ukiristo utaingia ktk nuru
Mr Uharo unahangaika sana halafu vitu vingi ufahamu kuhusu Palesitna ngoja nikupe darasa kiduchu…Asema Gaza imefutwa, imerudishwa nyuma miaka 200, hamna kitu pale hata watu wakirudi, amekiri lilikua kosa kubwa sana na kwamba uongozi wa HAMAS ni machizi wasiojielewa wala kuelewa chochote.....
Aise kuua Wayahudi itabidi uwe tayari kufanyiziwa.
===========
Former Hamas communications minister Yousef al-Mansi heavily criticized the current leadership of the terror group in Gaza as a group of “crazy people” led by Yahya Sinwar, in footage of his interrogation published by the Shin Bet security agency Sunday.
“They destroyed the Gaza Strip. Set it back 200 years,” al-Mansi, who served under the Strip’s former ruler Ismail Haniyeh — currently the head of Hamas’s political bureau — and in several other roles, said in translated excerpts provided by the Shin Bet. “There is no opportunity to live.”
Israel has labeled Sinwar — who rules the enclave and has been marked as the mastermind of Hamas’s devastating October 7 onslaught — a “walking dead man,” along with the rest of the terror group’s senior leadership.
Huyu kibaraka uliza anaishi wapi Israel😂Propaganda za kijinga.
Huyo sio Mungu wa yahudi wao walimkana Mungu wa kweli wa Mussa wakatengeneza ndama hivyo mungu wako inabidi awe ndama wayahudi walilaaniwa kwa kitendo kile ndio maana hawana nuru Wala amaniMm sijaumbwa na huyo mungu wa kiarabu mwenye ushirika na majini.
Mm nimeumbwa na El shadai Mungu mwenye nguvu wa wayahudi..
University of Texas siyo Arab, Israel wala KiberaView attachment 2839173
Urusi Hali kadhalika si Lamu.
Propaganda za kij
Huyu jamaa ni zero! Hao wafu walio mifupa, ungeanza na Mohamad , nae mifupa bado imo ardhiniAmekufanya wewe uzaliwe na halafu ufe na uliwe na funza. Hayo hafanyi ?maana bibi zako wote hivi ukienda kumfukua mulipomfukia utakuta mifupa tu
KAMA WEWE MJANJA KIMBIA KIFO