Aliyemaliza Form 4 anawezaje kusoma degree moja kwa moja?

Aldonae

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
598
Reaction score
394
Habar wakuu. Kuna bro huku kaniambia kwamba unaweza kusoma degree bila ya kupitia A level/diploma. Kaniambia ndo maana katika kuomba scholaship wanatumia chet cha o-level.

Mwenye kujua zaid wakuu..
 
Kakudanganya huwez toka o-level to degree ata kama una division 1 bro
 
Habar wakuu. Kuna bro huku kaniambia kwamba unaweza kusoma degree bila ya kupitia A level/diploma. Kaniambia ndo maana katika kuomba scholaship wanatumia chet cha o-level.

Mwenye kujua zaid wakuu..

Hebu muulize vizuri halafu ukipata jibu sahihi uje utuambie hizo mbinu za kufuata.
 
Na tujue n course gani
 
Mnazingua bhana ndoalizixema roma izo za kikuda
 
Kuna baadhi ya vyuo Unaweza kufanya briging course ya kukuweka sawa na A level au college diploma kabla hujaanza first year degree. Lakini form4 direct first year degree sijasikia
 
Hapo inawezekana aidha kwa kupitia diploma iff umefaulu vizuri na kwenda bachelor. vinginevyo piga certificate, dip to bachelor kama hukuwa naatokeo mazuri. St Joseph wanakupiga equivalent kwa 2 yrs then unaendelea na bachelor.
 
Unaweza Kusoma Miaka Mitatu Na Ukalipa Ada Lakn Cheti Unaenda Kuchukulia NECTA au TAKUKURU
 
Kuna baadhi ya vyuo Unaweza kufanya briging course ya kukuweka sawa na A level au college diploma kabla hujaanza first year degree. Lakini form4 direct first year degree sijasikia

Hii kozi ipo kwa watu ambao hawakufanya vizuri fom6 na sio kwa watu wa form4.
 
Habar wakuu. Kuna bro huku kaniambia kwamba unaweza kusoma degree bila ya kupitia A level/diploma. Kaniambia ndo maana katika kuomba scholaship wanatumia chet cha o-level.

Mwenye kujua zaid wakuu..

Kwanini unamsingizia "bro" kama ni wewe si useme tu!!! Anyway ..hakuna short cut hapo...degree ni lazima uwe na diploma au uwe umefika form6 na zaid ya yote uwe umefaulu!!!
 
Hii mitoto ya dotcom na shortcut! Kasome form 5 & 6 Acha uvivu!



QUOTE=Al-Akhy Unger;11855605]Habar wakuu. Kuna bro huku kaniambia kwamba unaweza kusoma degree bila ya kupitia A level/diploma. Kaniambia ndo maana katika kuomba scholaship wanatumia chet cha o-level.

Mwenye kujua zaid wakuu..[/QUOTE]
 
nenda mzumbe pale penye mtelezo , kasome mwaka moja certificate then utaweza kuingia degree
 
Wadau wenzangu wa elimu,

Naomba tujadili hili swala la kupata degree bila kupitia Advance level, Hivi ni halali kweli kupata hiyo shahada bila kupitia mchujo wa Advance? mi naona ni kuhishushia Heshima A-Level,

Ni bora wangefuta hii advance tujue moja, siyo kupoteza muda miaka miwili then mtu kirahisi tu. Form 4 mwenye fani hususani ya ualimu anapiga jiwe kiurahisii.

Dah! hii elimu tunaipeleka. wapi?

KARIBUNI WADAU WOTE TUJADILI.
 
Elimu ndiyo inayoendesha siasa,sio siasa itawale elimu.Tanzania inaongeza vyeti na kupunguza ubora wa elimu si kuboresha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…