Mbuzi Mzee
JF-Expert Member
- Feb 5, 2015
- 348
- 82
Elimu ndiyo inayoendesha siasa,sio siasa itawale elimu.Tanzania inaongeza vyeti na kupunguza ubora wa elimu si kuboresha.
Kweli mkuu....umeliona hili....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu ndiyo inayoendesha siasa,sio siasa itawale elimu.Tanzania inaongeza vyeti na kupunguza ubora wa elimu si kuboresha.
I guess upo kwenye deep sleepd dreaming....
Siku.hizi na chet tu unapga jiwe wanasema wanapiga cozi flan then ndo wanpga jiwe....dah huu ni umbururaaaaKwani sinilazima kama ukitokea form 4 upitie certificate thn diploma ndio akachukue degree!? Au sijaelewa mada!?
hapa mm sijaelewa, hizo degree za aina hiyo zinatolewa chuo gani?
sekomu
sekomu
Kwani sinilazima kama ukitokea form 4 upitie certificate thn diploma ndio akachukue degree!? Au sijaelewa mada!?
sekomu
umeongea kweli mtoa mada, yaani mtu amefeli form 4 hakupata matokeo ya kuenda A/level halafu mnaenda kumaliza degree pamoja. hii kweli sio haki
Siku.hizi na chet tu unapga jiwe wanasema wanapiga cozi flan then ndo wanpga jiwe....dah huu ni umbururaaaa
sekomu