Aliyemaliza Form 4 anawezaje kusoma degree moja kwa moja?

MAHANJU, Kama nilivofanya mimi,nko na gamba la dip in civil engineering wenzangu wanalia na bodi ya mikopo, tena nko full maujuzi yaani professionally na life kwa ujumla wao wanawaza kuomba hela nyumbani wakanunue smartphone,mwenzao nawaza habari za kumalizia ujenzi ..........
 
Last edited by a moderator:
Kama huna uhakika na uelewa wako juu ya jambo bora ukae kimya kabisa. Mkuu cheti kinakuwa contained humohumo coz miaka inaongezeka pia baadala ya miwili inakuwa mitatu.

Basic technician certificate:NTA 4

Full technician certificate:NTA 5

Ordinary diploma:NTA 6

ACHA UVIVU SOMA SANA, SIKILIZA SANA , ANGALIA SANA NA TAFAKARI SANA UJUE SANA.
 
Hata mi nimetoka zangu form 4 mwaka jana nw nipo kcmc napiga dip ya optometry. Nikimaliza naweza kuamua kuendelea na digri pia 2naxoma na wa 4m six weng 2.xo ni uamuz wako 2
 
Hata mi nimetoka zangu form 4 mwaka jana nw nipo kcmc napiga dip ya optometry .nikimaliza naweza kuamua kuendelea na digri pia 2naxoma na wa 4m six weng 2.xo ni uamuz wako 2

Xo ukimaliza xo unapata kazi xo unaanza kupiga mihela, xo 2naanza kuibiana mademu xo 2nakupa kichapo😀
 
Mbuzi mzee

Mbona kawaida tu, ukiamua unaanza na certificate, unapiga diploma, tayari unasoma digrii, wewe ndio hujui tu.
 
Last edited by a moderator:
Tena kwa taarifa yako kupitia certificate na diploma ndio kuna mjenga mtu kati fani yake kuliko huko Advance.
 
Tena kwa taarifa yako kupitia certificate na diploma ndio kuna mjenga mtu kati fani yake kuliko huko Advance.

Mwamba ngoma....

Ila ninachojua advance ni jiwe kwelikweli kuliko hata chuo.
 
Mwamba ngoma....

Ila ninachojua advance ni jiwe kwelikweli kuliko hata chuo.

Aises unajidanganya sana, mtu aliesoma certificate akasoma diploma anakuwa tofauti sana na yule aliemaliza form6. Kumbuka huyu wa Chuo anasomea professional.
 
Aises unajidanganya sana, mtu aliesoma certificate akasoma diploma anakuwa tofauti sana na yule aliemaliza form6. Kumbuka huyu wa Chuo anasomea professional.

Waweza kuwa sahihi ila nilishatoka huko kitambo na sikuona tofauti yoyote ya mtu aliyepita kwenye dip/ftc na yule wa advance.
 
Waweza kuwa sahihi ila nilishatoka huko kitambo na sikuona tofauti yoyote ya mtu aliyepita kwenye dip/ftc na yule wa advance.

Ww huoni mtu akifeli form6 anaenda kusoma diploma badala ya bachelor degree???

Mm mwanangu akimaliza form4 sitaki aende form5, ataenda kuanza NTA 4, NTA5&6 then degree
 
Ww huoni mtu akifeli form6 anaenda kusoma diploma badala ya bachelor degree???

Mm mwanangu akimaliza form4 sitaki aende form5, ataenda kuanza NTA 4, NTA5&6 then degree

Kama mtu ana mashaka na uwezo wake kwenye ACSEE hata mimi nitamshauri apite huko kwenye certificate na diploma mkuu.
 
umeongea kweli mtoa mada, yaani mtu amefeli form 4 hakupata matokeo ya kuenda A/level halafu mnaenda kumaliza degree pamoja. hii kweli sio haki

Kuna mdogo wangu alipata four ya 27 0 level ..nikamshauri aende akachukue certifiacate ya sheria , akaunga na diploma . Juzi kapata kazi halmashauri kama mtaa executive officer.

Na hapa sasa yupo mwaka wa pili tumaini kurasini hao unaosema wewe kutoka advance anao hapo chuo anasema anawakimbiza ile mbaya kwenye course work na test . Na alipiga upper second certificate na diploma.

Ninachotaka kukwambia si kila aliyefail form four ni kiraza wengine ni bahati mbaya tu na wanauwezo mzuri tu darasani. Na sasa dogo kaomba evening class kwa sababu ya ajira pale halmashauri ya manispaa ya temeke.
 
ukute na viform four vyao na degree za kuunga unga wanaponda walimu tena wabachelor au diploma
 
Piteni uko uko kwenye short cuts tu ADVANCE tulipita sisi wenye vichwa vyetu vinavyonasa...wewe kama kilaza nenda uko NTA4/5/6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…