Aliyemdanganya Rais kwamba kuna waliofungwa kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe akamatwe haraka

Aliyemdanganya Rais kwamba kuna waliofungwa kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe akamatwe haraka

naomba kwa heshima na taadhima uende youtube sikiliz mazungumzo ya Furaha Dominic na Nyanda wa Star tv. Ndio utajua hii nchi ikoje
Wewe kijana huyo ulikuwa unanjua kabla ya kuletwa na Magufuri?mala ngapi ulikuwa unamsikia Magufuri anatoa data za wasaidizi wake wakati akiwaapisha?Wwe unafikilia wote alikuwa anawajua.Narudia tena hauwezi kumficha rais wa nchi chochote Kama anataka kujua ukweli.Samia wako anajua ukweli wote
 

Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi .
Akili Mbovu mbovu,wamechanganyikiwa hadi kumpotosha sultan
 

Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi .
Mh. Raisi hakutakiwa kujibu hili swali. Angeeleza tu ni issue ipo mahakamani tayar na hawezi kuizungumzia. Ingekua bora zaidi kuliko fedheha tunazozipata sasa
 

Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi .

Mh Rais alitoa kauli hii hadharani tena kwa kujiamini kabisa , Alipokuwa anahojiwa na BBC ambalo ni shirika la Utangazaji la kimataifa, maana yake ni kwamba habari yake hiyo ilisikika Duniani mote .

Bali sasa ni dhahiri shahili kwamba kauli ile haikuwa ya kweli baada ya Mpelelezi Mkuu na nguli wa kesi hii mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye kitengo hicho , aliyesomea Botswana , Inspector Tumaini Swilla kukanusha jambo hilo Mahakamani mbele ya Mtukufu Jaji Tiganga , Swilla akijibu swali la Wakili wa Utetezi Kibatala , ameiambia mahakama kwamba Watuhumiwa wa Ugaidi wako wanne na ni ambao wameshitakiwa Mahakamani na wala hakuna mwingine yoyote aliyefungwa miongoni mwao .

Kwa kufupisha : Ni nani alimdanganya Mh Rais kuhusu jambo hili kiasi cha kumdhalilisha mbele ya jamii ? je anastahili kuendelea kubaki ofisini , na kwanini asikamatwe na kushitakiwa kwa kumdanganya Rais?


View attachment 2120063

Pia, soma: Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa
Kama Jaji atadai kuna kesi ya kujibu na kama akina Kibatala watakomaa basi Maza, Sirro, Boaz na afande Nuru nao waletwe mahakamani kutoa ushahidi.
 
Kama Jaji atadai kuna kesi ya kujibu na kama akina Kibatala watakomaa basi Maza, Sirro, Boaz na afande Nuru nao waletwe mahakamani kutoa ushahidi.

..Nahisi Jaji anataka kutoa uamuzi kwamba kuna kesi ya kujibu.

..Jaji hataki upande wa utetezi wafanye ORAL SUBMISSION baada ya jamhuri kufunga ushahidi.

..Kwa maoni yangu Jaji hataki hoja za utetezi ziwekwe wazi na kujulikana kwa wananchi.

..Jaji hataki wananchi wasikie ushahidi wa jamhuri unavyokuwa challenged kisheria na mawakili wa utetezi.

..Ninahisi kilichotokea wakati wa " trial within a trial " kinakwenda kutokea hiyo tarehe 18.

Cc Erythrocyte
 
..Nahisi Jaji anataka kutoa uamuzi kwamba kuna kesi ya kujibu.

..Jaji hataki upande wa utetezi wafanye ORAL SUBMISSION baada ya jamhuri kufunga ushahidi.

..Kwa maoni yangu Jaji hataki hoja za utetezi ziwekwe wazi na kujulikana kwa wananchi.

..Jaji hataki wananchi wasikie ushahidi wa jamhuri unavyokuwa challenged kisheria na mawakili wa utetezi.

..Ninahisi kilichotokea wakati wa " trial within a trial " kinakwenda kutokea hiyo tarehe 18.

Cc Erythrocyte
Sisi tuko tayari kwa uamuzi wowote , kwanza tulijiandaa kuendelea na mashahidi wa Jamhuri hadi waishe
 
Kwanza kabisa umeandika kishabiki halafu hujaandika alicho kisema rais mpendwa na wananchi samia suluhu hassan, alichokisema ni kuwa kuna wengine wameshahukumiwa sasa wewe kwa akili yako fupi unajuwa mtu akihukumiwa anaenda jela tu hata ukiachiiwa ni hukumu yako hiyo sasa kama watu walikuwa saba na sasa wako wanne wengine wako wapi? Inamaana hao wengine hukumu yao walitoka waliobaki ndiyo magaidi unamshutumu rais? Huna akili wewe
Acha kuwafanya watu wajinga au ni wakenya, wakongo, ambao hawajui kiswahili vizuri!!toka lini neno ameshahukumiwa tu!!likatumika kuwa ni kuachiwa huru, ?!!na toka lini polisi ndio wakatoa hukumu, ina maana mpelelezi akikukamata na kukuhoji then akakuachia baada ya muda fulani hiyo unaiita hukumu?!!

Kati ya hao walioachiwa kuna hata mmoja aliachiwa kupitia mahakama?!!kama sio ni lini polisi wameanza kutoa hukumu?!badala ya mahakama??acha upimbi wewe
 
fanyeni kazi mjenge taifa nyie watu,kesi ya mbowe haiwasaidii chochote kuinua uchumi wako ,wa taifa.
mipuuzi km nyinyi utakuta mmejazana maofisini humo mnapiga porojo tu za kesi sijui ya nini upuuzi mtupu.huku kazi za watu zinalala
"Bora wewe unakazi lakini kumbuka kazi kukazana na endelea na kazi ili serikali ipate tozona"
 
Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
 
Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Majaji wenye hofu ya Mungu walijitoa kwenye kesi hii walijua.
 
Back
Top Bottom