Aliyemdanganya Rais kwamba kuna waliofungwa kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe akamatwe haraka

Aliyemdanganya Rais kwamba kuna waliofungwa kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe akamatwe haraka

Kabla haujaandika makala ulitakiwa ujue ugaidi ni nini na kesi za ugaidi ni zipi... Then ukue siro aliulizwa swali gani na katika mazingira gani na uyo mahakamani anaulizwa swali gani ja katika mazingira gani.

Issue za ugaidi sio kama kesi za kuiba kuku...

Ugaidi na kuuwa kwa kutumia silaha unajua kama ni kesi tofauti kabisa ingawaje zoote zinaweza sababisha mauaji ?????
 
Kwa nchi za wenzetu yangeandaliwa maandamano ya kumg'oa kwa kutoa taarifa za uongo na kuingilia uhuru wa mahakama, hii ilikuwa kashifa kubwa sn kwa mhimili moja
Mbona alipolibananga bunge kwa kumkaripia spika mlishangilia?
 
Kwanza kabisa umeandika kishabiki halafu hujaandika alicho kisema rais mpendwa na wananchi samia suluhu hassan, alichokisema ni kuwa kuna wengine wameshahukumiwa sasa wewe kwa akili yako fupi unajuwa mtu akihukumiwa anaenda jela tu hata ukiachiiwa ni hukumu yako hiyo sasa kama watu walikuwa saba na sasa wako wanne wengine wako wapi? Inamaana hao wengine hukumu yao walitoka waliobaki ndiyo magaidi unamshutumu rais? Huna akili wewe
Zero brain.uoni hata aibu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi .

Mh Rais alitoa kauli hii hadharani tena kwa kujiamini kabisa , Alipokuwa anahojiwa na BBC ambalo ni shirika la Utangazaji la kimataifa, maana yake ni kwamba habari yake hiyo ilisikika Duniani mote .

Bali sasa ni dhahiri shahili kwamba kauli ile haikuwa ya kweli baada ya Mpelelezi Mkuu na nguli wa kesi hii mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye kitengo hicho , aliyesomea Botswana , Inspector Tumaini Swilla kukanusha jambo hilo Mahakamani mbele ya Mtukufu Jaji Tiganga , Swilla akijibu swali la Wakili wa Utetezi Kibatala , ameiambia mahakama kwamba Watuhumiwa wa Ugaidi wako wanne na ni ambao wameshitakiwa Mahakamani na wala hakuna mwingine yoyote aliyefungwa miongoni mwao .

Kwa kufupisha : Ni nani alimdanganya Mh Rais kuhusu jambo hili kiasi cha kumdhalilisha mbele ya jamii ? je anastahili kuendelea kubaki ofisini , na kwanini asikamatwe na kushitakiwa kwa kumdanganya Rais?


View attachment 2120063

Pia, soma: Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa
Kusema ukweli nimesikitika kwa hili lililotokea kwa Rais wetu. Natamani Rais akija afanye jambo kwa wote waliofanya hadi akautangazia ulimwengu vile.....


1644929137529.png
 
Sasa si atoe amri ya kuachiwa? Si uwezo huo anao?

Alafu huyu rais wenu kwanini ni mwepesi namna hii? Kama anadanganywa kwa vitu vidogo namna hii vipi vile vikubwa?
Kumbe saizi sio Rais wenu?😀
 
Kabla haujaandika makala ulitakiwa ujue ugaidi ni nini na kesi za ugaidi ni zipi... Then ukue siro aliulizwa swali gani na katika mazingira gani na uyo mahakamani anaulizwa swali gani ja katika mazingira gani.

Issue za ugaidi sio kama kesi za kuiba kuku...

Ugaidi na kuuwa kwa kutumia silaha unajua kama ni kesi tofauti kabisa ingawaje zoote zinaweza sababisha mauaji ?????
Ni Ujinga mtupu unaojitahidi kueleza. Siro sio mpelelezi wa kesi na hajui chochote ndio maana jamuhuri haija muweka bwana zero Kama shahidi.

Mtu mwenye taarifa zote za kesi ni mpelelezi aliyepo Mahakamani ambaye ameulizwa swali na Kibatala na amelijibu kuwa hakuna mtu aliyehukumiwa. Sasa kama wewe hutaki majibu ya Shahidi wenu wa michongo Mwambie Hangaya au wew mwenyewe mwende mkamthibitishie Mh. jaji ni mtuhumiwa gani alisha hukumiwa ila leo Jaji amesha andika hakuna aliye hukumiwa ktk kesi hii.
 
fanyeni kazi mjenge taifa nyie watu,kesi ya mbowe haiwasaidii chochote kuinua uchumi wako ,wa taifa.
mipuuzi km nyinyi utakuta mmejazana maofisini humo mnapiga porojo tu za kesi sijui ya nini upuuzi mtupu.huku kazi za watu zinalala
 
Narudia tena hauwezi kumdanganya rais hata Siku Moja, Rais anavyanzo vingi vya tarifa hivo hauwezi kumdanganya,hata Kama alidanganywa sasahivi ameisha jua ukweli Mbona hatuoni akimwachilia?
naomba kwa heshima na taadhima uende youtube sikiliz mazungumzo ya Furaha Dominic na Nyanda wa Star tv. Ndio utajua hii nchi ikoje
 
Hii dhana ya kusema Rais kadanganywa naikataa kabisa title ilitakiwa kuwa kwanini Rais kaudanganya ulimwengu?

Kusema Rais kapotoshwa au kadanganywa ni kumfanya adeke ajione yeye ni wakudekezwa na siyo responsible kama Rais!

Rais anatakiwa kuwa makini kwa kila anachotamka au kutenda lakini zaidi anatakiwa kuwa mtu wa kufatilia mambo muhimu zaidi !

Hivi Samia alishindwa kujipa muda na kuchunguza kama kweli wahusika wamesha hukumiwa au lah..kama jambo dogo kama hili bado tunasingizia kuwa Rais anapotoshwa sasa kazi yake ni nini pale chamwino?

Rais anapotoshwa vipi wakati anavyo vyombo vingi vya kujiridhisha?

Ukweli ni kwamba Samia ni mvivu sana wa kufatilia mambo no wonder awezi kujiridhisha hata kwa mambo madogo na makubwa...

Rais Samia yeye ndio Rais awezi kupotishwa bali anajipotosha na kuudanganya Umme wa wa tanzania.
 

Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi .

Mh Rais alitoa kauli hii hadharani tena kwa kujiamini kabisa , Alipokuwa anahojiwa na BBC ambalo ni shirika la Utangazaji la kimataifa, maana yake ni kwamba habari yake hiyo ilisikika Duniani mote .

Bali sasa ni dhahiri shahili kwamba kauli ile haikuwa ya kweli baada ya Mpelelezi Mkuu na nguli wa kesi hii mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye kitengo hicho , aliyesomea Botswana , Inspector Tumaini Swilla kukanusha jambo hilo Mahakamani mbele ya Mtukufu Jaji Tiganga , Swilla akijibu swali la Wakili wa Utetezi Kibatala , ameiambia mahakama kwamba Watuhumiwa wa Ugaidi wako wanne na ni ambao wameshitakiwa Mahakamani na wala hakuna mwingine yoyote aliyefungwa miongoni mwao .

Kwa kufupisha : Ni nani alimdanganya Mh Rais kuhusu jambo hili kiasi cha kumdhalilisha mbele ya jamii ? je anastahili kuendelea kubaki ofisini , na kwanini asikamatwe na kushitakiwa kwa kumdanganya Rais?


View attachment 2120063

Pia, soma: Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa
 
Emmanuel Macron. If you know what I mean[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa yeye ni robot, aliambiwa Jambo moja kwa moja anaamini? Mbona magazeti natv kila Mara walikua wakireport?

Watu hawataki kukubali kuwa Samia ni tabia yake ya kutofatilia mambo ya msingi na kujipa muda....
Hivi kweli Rais anawezaje kufanganywa pamoja na kuwa na vyanzo vingi vya taarifa? Lazima tukubali Samia alisema uongo yeye mwenyewe tusimsingizie mtu yeyote!
 
na hicho ndicho tulichotaka kithibite wazi aumbuke yeye na team yake.
Ana umbuka vipi sasa na wakati atakuwa katimiza lengo?.Kifupi ni kwamba Mbowe ilikuwa ni lazima akae kizuizini ili kupisha serikalini mpya na iliyoingia madarakani kwa ghafla na yeye akaanza kuichanganya na mambo ya katiba.Tambueni tu kuwa siasa ni sayansi.
 
nina uhakika huyu mama hakudanganywa na mtu. Bali uwezo wake uliishia hapo.Si unaona hata mambo basic kwenye katiba hayajui?!
Kumbuka siasa ni sayansi,kitendo cha Mbowe kukalishwa mahabusu kwa mwaka mmoja tu ni kutimia kwa lengo la serikali.Lengo la serikali lilikuwa ni kuondoa buguza katika kipindi kigumu cha mpito kufuatia kuondoka kwa aliyekuwa Rais na kiti chake kukaliwa na mama.
 
Back
Top Bottom