Aliyemdanganya Rais kwamba kuna waliofungwa kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe akamatwe haraka

Aliyemdanganya Rais kwamba kuna waliofungwa kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe akamatwe haraka

Msichojua ni kwamba Raisi ndiyo injia wa hili jambo, ukweli wote anaujua na ni mpango wa raisi na vyombo vyake kuhakikisha Mbowe anabaki ndani hata kama ni katika mzingira ya uonezi. kwasababu uwezo wa Mbowe wa kufanya siasa amewazidi kwa mbali sana hawa CCM.
niwakumbushe tu; Taifa letu kwa sasa lipo kwenye mapito magumu sana miaka mitano ya Magu na hata sasa na siku za usoni tutaendelea kupita kwenye hili tanuri mpaka wanachi watakapo amua kusema basi (japo ccm hawaogopi kuiba haki ya wananchi inayopitia box la kura), vinginevyo hakuna namna tutatoka katika hili giza. Mara nyingi tumeshuhudia viongozi wakubwa kabisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiongea waziwazi juu ya mahaba yao na CCM hata kama ni kwa kuvuja sheria ama kukiuka dhamana za viapo vyao, na hii yote ni kwamba wameamua kuliteketeza taifa kwaajili ya maslahi ya kundi dogo la watu waliyoshindwa kufanya siasa za kistaarabu.
Kesi imetungwa enzi za Magufuli wala haina ubishi. Fujo za katiba Mpya ndio zikafanya iibuliwe lakini ilishatungwa na ni ya uongo toka zamani
 
Kwanza kabisa umeandika kishabiki halafu hujaandika alicho kisema rais mpendwa na wananchi samia suluhu hassan, alichokisema ni kuwa kuna wengine wameshahukumiwa sasa wewe kwa akili yako fupi unajuwa mtu akihukumiwa anaenda jela tu hata ukiachiiwa ni hukumu yako hiyo sasa kama watu walikuwa saba na sasa wako wanne wengine wako wapi? Inamaana hao wengine hukumu yao walitoka waliobaki ndiyo magaidi unamshutumu rais? Huna akili wewe
Wewe ndo huna akili na umeonyesha akili yako jinsi ilivyo finyu hapa.
1. Kwanza hukumu hutolewa na mahakama sio polis
2. Pili hilo swali ameulizwa leo shahidi upande wa serilaki na kibatala kasema hakuna waliohukumiwa
 
Kwani yeye Samia alikuwa anaishi nchi hipi, mpaka kudanganywa?acheni propaganda za kitoto Samia anajua kila kitu.

Hakuna propaganda hapo, mwanamke kudanganywa na kutongozwa mpaka kuingia line, ni jambo la kawaida! Au umesahau ukiondoa nafasi aliyo nayo, bado jinsia yake inabaki pale pale?

Kimsingi Ndugai safari hii alikuwa na akili sana, lakini pia aliwaza mbali.
 
Wewe ndo huna akili na umeonyesha akili yako jinsi ilivyo finyu hapa.
1. Kwanza hukumu hutolewa na mahakama sio polis
2. Pili hilo swali ameulizwa leo shahidi upande wa serilaki na kibatala kasema hakuna waliohukumiwa
Aliyeshuriki kuwakamata na kuwafungulia mashtaka Insp Tumaina Sostenes Swilla ndio aliwaachia hao watuhumiwa wengine Elia Kaaya, Khalidi na Muhina
 

Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi hii wamekwishahukumiwa kifungo jela baada ya kukiri makosa yao ya Ugaidi .

Mh Rais alitoa kauli hii hadharani tena kwa kujiamini kabisa , Alipokuwa anahojiwa na BBC ambalo ni shirika la Utangazaji la kimataifa, maana yake ni kwamba habari yake hiyo ilisikika Duniani mote .

Bali sasa ni dhahiri shahili kwamba kauli ile haikuwa ya kweli baada ya Mpelelezi Mkuu na nguli wa kesi hii mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya 20 kwenye kitengo hicho , aliyesomea Botswana , Inspector Tumaini Swilla kukanusha jambo hilo Mahakamani mbele ya Mtukufu Jaji Tiganga , Swilla akijibu swali la Wakili wa Utetezi Kibatala , ameiambia mahakama kwamba Watuhumiwa wa Ugaidi wako wanne na ni ambao wameshitakiwa Mahakamani na wala hakuna mwingine yoyote aliyefungwa miongoni mwao .

Kwa kufupisha : Ni nani alimdanganya Mh Rais kuhusu jambo hili kiasi cha kumdhalilisha mbele ya jamii ? je anastahili kuendelea kubaki ofisini , na kwanini asikamatwe na kushitakiwa kwa kumdanganya Rais?


View attachment 2120063

Pia, soma: Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa
Nyoka Swila ameshapondwa kichwa!Nimemuona kidando akijaribu kumzoazoa kwenye damu lakini maiti ya jana
 
Hakuna propaganda hapo, mwanamke kudanganywa na kutongozwa mpaka kuingia line, ni jambo la kawaida! Au umesahau ukiondoa nafasi aliyo nayo, bado jinsia yake inabaki pale pale?

Kimsingi Ndugai safari hii alikuwa na akili sana, lakini pia aliwaza mbali. Wakati fulani tunatakiwa tu tuukubali huu msemi wa kikatili wa "Never trust a woman"
Narudia tena hauwezi kumdanganya rais hata Siku Moja, Rais anavyanzo vingi vya tarifa hivo hauwezi kumdanganya,hata Kama alidanganywa sasahivi ameisha jua ukweli Mbona hatuoni akimwachilia?
 
Kwanza kabisa umeandika kishabiki halafu hujaandika alicho kisema rais mpendwa na wananchi samia suluhu hassan, alichokisema ni kuwa kuna wengine wameshahukumiwa sasa wewe kwa akili yako fupi unajuwa mtu akihukumiwa anaenda jela tu hata ukiachiiwa ni hukumu yako hiyo sasa kama watu walikuwa saba na sasa wako wanne wengine wako wapi? Inamaana hao wengine hukumu yao walitoka waliobaki ndiyo magaidi unamshutumu rais? Huna akili wewe
hili jinga linaweza kupenga kamasi tu. hivi husikii mpelelezi akisema hakuna mtu aliyehukumiwa?
 
Kwanza kabisa umeandika kishabiki halafu hujaandika alicho kisema rais mpendwa na wananchi samia suluhu hassan, alichokisema ni kuwa kuna wengine wameshahukumiwa sasa wewe kwa akili yako fupi unajuwa mtu akihukumiwa anaenda jela tu hata ukiachiiwa ni hukumu yako hiyo sasa kama watu walikuwa saba na sasa wako wanne wengine wako wapi? Inamaana hao wengine hukumu yao walitoka waliobaki ndiyo magaidi unamshutumu rais? Huna akili wewe
Hao watatu walihukumiwa lini? Walihukumiwa na mahakama ipi? Na ni kina nani kwa majina? Kama kesi ni moja yenye washtakiwa Saba ilikuaje hukumu ya watatu itoke kabla kesi haijaisha? Kwa ufupi mi nahisi rais alidhamiria kusema uwongo. Huyu rais hakumpa pole mh. Mbowe alipopatwa na msiba?

Rais ampe pole mtuhumiwa wa ugaidi! Sishawishiki alidanganywa, sababu ingalikuwepo kesi ya uhaini mahakamani Samia mwenyewe angekuwa anaijua na kuifuatilia kwa vile alikuwa makamu wa rais, na kwa nafasi hiyo anapaswa kujua masuala nyeti yanayohusu usalama wa nchi.
 
Mimi sina shida na waliomwambia ila hofu yangu ni kweli Rais hana umakini kiasi hiki??, Hivi unawezaje kutoka hadharani km Rai namba 1 wa Nchi kusema jambo la Uongo hasa kwa kiongozi wa chama??.

Binafs nitakuwa wa mwisho kuamini kama Rais hakuwa na taarifa za mchongo wa kesi hii, bali kinachotokea mahakamn kwa mashahidi hawakutegemea kupata heavy cross examination kias hicho.

Kwa hili limeonesha uwezo mdogo alionao Rais kutafakari na kuchagua mambo ya kusema.
 
siyo kukwama hivi kweli hata kama hujui kabisa watu walikuwa saba kiatala kauliza akajibiwa ndiyo sasa wapo wanne wengine wako wapi? nakwama nini sasa? hebu nijibu wanne wapo wapi?
Wee kapuku mimi ni mdau wa kesi hii , hivi hawa akina kaaya na urio ndio waliohukumiwa ? unadhani unaweza kudanganya jf kiboya namna hiyo ?
 
Kwanza kabisa umeandika kishabiki halafu hujaandika alicho kisema rais mpendwa na wananchi samia suluhu hassan, alichokisema ni kuwa kuna wengine wameshahukumiwa sasa wewe kwa akili yako fupi unajuwa mtu akihukumiwa anaenda jela tu hata ukiachiiwa ni hukumu yako hiyo sasa kama watu walikuwa saba na sasa wako wanne wengine wako wapi? Inamaana hao wengine hukumu yao walitoka waliobaki ndiyo magaidi unamshutumu rais? Huna akili wewe
Wewe ndio mpuuzi kabisa, kwahiyo hao wengine walifunguliwa kesi na kuhukumiwa mahakam ipi
 
Narudia tena hauwezi kumdanganya rais hata Siku Moja, Rais anavyanzo vingi vya tarifa hivo hauwezi kumdanganya,hata Kama alidanganywa sasahivi ameisha jua ukweli Mbona hatuoni akimwachilia?

Ni kwa sababu tu ya kuto kujiamini bila shaka. Hivyo ameona atumie njia hii kumyamazisha.
 
Back
Top Bottom